Tanga Mjini ni pagumu sana aisee

Tanga Mjini ni pagumu sana aisee

Nipo Tanga kama siku ya tano hivi nikitokea Moshi, aisee Jiji limepoa kishenzi kama Singida yani sijaona ujenzi mkubwa unaoendelea hapa hata wagorofa tatu, na kwenye viwanda tulimopita kuomba kazi na msela wangu napo kazi hamna. Sijui watu wa hili jiji wanaishije hata hivyo Kwakua Sina nauli ngoja niendelee kupambana labda nitapa kazi

NB: NILIKUWA TANGA KWAAJILI YA KUTAFUTA KAZI NGUMU ZA UJENZI NA VIWANDANI KAMA KAWAIDA YANGU KAMA KUNA MTU MWENYE CONNECTION ANIPE.
Kwanza nikupe connection,
Kazi inayolipa sana sasa hivi ni "UCHAWA"
We jipele kwenye ofisi za ccm, anza kujipendekeza
waseme vibaya wapinzani (maana hawa ndio wana sababisha ukose kazi)
uwe mwepesi kuanzisha fujo za kupiga wapinzani
msifu mama kadri utakavyo weza
mpaka mwakani, sio mwenzetu tena.
Mapambano mema
 
Nipo Tanga kama siku ya tano hivi nikitokea Moshi, aisee Jiji limepoa kishenzi kama Singida yani sijaona ujenzi mkubwa unaoendelea hapa hata wagorofa tatu, na kwenye viwanda tulimopita kuomba kazi na msela wangu napo kazi hamna. Sijui watu wa hili jiji wanaishije hata hivyo Kwakua Sina nauli ngoja niendelee kupambana labda nitapa kazi

NB: NILIKUWA TANGA KWAAJILI YA KUTAFUTA KAZI NGUMU ZA UJENZI NA VIWANDANI KAMA KAWAIDA YANGU KAMA KUNA MTU MWENYE CONNECTION ANIPE.
Jaribu uganga mkuu
 
SEMA ULITAKA UISEME TANGA. MTU ANAETAFUTA KAZI TANGU LINI AKAYAONA MAISHA RAHISI, NA MTU HUNA PESA TENA KWENYE MJI WA KIGENI.
YAANI UMEONA MAISHA YA TANGA MAGUMU, KWA SABABU TU MJI UMEPOA, NA HAUNA MAGOROFA, AMA UJENZI MKUBWA UNAONDELEA, HATA HIVYO ULIVYOVITAJA, INGEKUA KINYUME CHAKE BADO KWA WEWE USIGEONA MAISHA RAHISI SABABU HUNA PESA.

UMETOKA MOSHI MJI WENYE PILIKAPILIKA ZA WATU, TENA
WENYE MAGOROFA, NA MIRADI MIKUBWA YA UJENZI, UNAENDA KUTAFUTA KAZI TANGA, BILA KUFANYA UDADISI JUU YA MJI HO, NAKUSHAURI URUDI TU MOSHI NDUGU YANGU.
Na mimi aliponishangaza huyu mnama ni hapo kutoka moshi kwenda kutafuta maisha Tanga bora angebaki moshi au angelipa hata buku 3 asogee Arusha, maana wagosi wenyewe wametoka kwao wamekimbilia Arusha
 
Nipo Tanga kama siku ya tano hivi nikitokea Moshi, aisee Jiji limepoa kishenzi kama Singida yani sijaona ujenzi mkubwa unaoendelea hapa hata wagorofa tatu, na kwenye viwanda tulimopita kuomba kazi na msela wangu napo kazi hamna. Sijui watu wa hili jiji wanaishije hata hivyo Kwakua Sina nauli ngoja niendelee kupambana labda nitapa kazi

NB: NILIKUWA TANGA KWAAJILI YA KUTAFUTA KAZI NGUMU ZA UJENZI NA VIWANDANI KAMA KAWAIDA YANGU KAMA KUNA MTU MWENYE CONNECTION ANIPE.
Ujafika Shinyanga na lindi wewe!!
 
Kama comment yangu umeitafsiri hivyo ni sawa pia. Kwasabb ni maono yako kwa nilichoandika. Ila sina chuki na iyo race.
Acha chuki dogo kwa Tz hao wengi wao ndo wafanya biashara wakubwa
 
Hapana ugumu ukiwa na hivi vifurushi vya halotel bado vipo pataGB2 kwa 3000, Gb3 kwa 4000, GB5 kwa 5000 na Gb10 kwa10,000, Gb15 kwa 14,000 na Gb25 kwa 23000 na Gb30 kwa 26000 tu mwezi mzima.*0618370992
 
Screenshot_20241208-193256_Instagram Lite.jpg
 
Mzee wa kazi ngumu,njoo pwani wilaya ya mkuranga Kuna viwanda kibao na kazi zipo .fila mbagala dsm stand ya mbagala rangi 3 panda gari za mkuranga nauli 1400 njiani tu Kuna viwanda anzia hapo ukikosa nyoosha mpaka mkiu Kuna viwanda vya tiles na vioo.ila hata hapo njiani kisemvule ,dundani mpaka mwanambaya Kuna viwanda
Kazi kwako usije sema waja tumekunyima koneksheni bure.
 
Nenda mkoa wa Pwani, Kibaha sanasana ni mkoa unaokuwa kwa kasi na una viwanda vingi sana vikubwa na vidogo. Tanga unapoteza muda.
Kibaha inakua? haya mbona ni maajabu ni wapi huko inapokulia mwanalugali? Loliondo? ama Kwa Mathias? hii Kibaha inayozidiwa hadhi hata na Kahama hahahahahahahahahahahahahahahahahahahaha na mvua zimeanza dadeki wataita maji mma
 
Ungekaa lindi si ungekimbia 🤣🤣..
Muuloze ndege john akuambie pamepoa kama uji wa mgonjwa🤣🤣
 
Kibaha inakua? haya mbona ni maajabu ni wapi huko inapokulia mwanalugali? Loliondo? ama Kwa Mathias? hii Kibaha inayozidiwa hadhi hata na Kahama hahahahahahahahahahahahahahahahahahahaha na mvua zimeanza dadeki wataita maji mma
Hapo picha ya ndege, mlandizi, visiga kuna viwanda kibao. Hong Yu Steel, Kiluwa, Jetutuhambi, radiant, lee, global packaging, rumi and daughters, tc industries, blueline, lodhia

Mimi kibaha naijua yote. Hapo nimekupa viwanda kadhaa tu ambao nimewafanyia kazi zao. Acha kelele
 
Back
Top Bottom