njumu za kosovo
JF-Expert Member
- Mar 9, 2017
- 3,820
- 9,625
Nilishawahi kusema hapa fatilia sana watu wenye aka aka mitaani mara nyingi wanakua sio watu wazuri kabisa hebu fikiria mtu anaitwa nabii mwitu hapo kuna nini sasa au nabii kokoMtu anaitwa bagidadi
Kuna mdau,humu alicmnt "inawezekana pia ametekwa" dada yangu kipenziHabari za nuda huu ni:
Mwili wa Ali Baghdad wapatikana Sahare. Kutoka baharini. Haijathibitishwa ikiwa alijiua au aliuawa. Alidaiwa pesa na watu wengi. Angeweza pia kuuawa.
Nawashangaa wakosa sera hawajasema huyu nae alitekwa.
Siyo "mwanaume wa pwani", sema Waislam siyo rahisi kuuwa.Itakuwa labda hayo mambo ya madeni na tabia za mke kumpa jakamoyo.
Maana wanaume wa Pwani sio rahisi kumdhuru mwanamke Eti sababu ya wivu wa mapenzi huwa sio rahisi.
Labda itokee kwa nadra Iła naona sio rahisi
Siyo "mwanaume wa pwani", sema Waislam siyo rahisi kuuwa.
Waislam tuna talaka na khuluu. Tunaiuwa ndoa siyo mtu.
Uislam mwema sana.
Muchunguzi kazi anayo mbona!!Ya korogwe hayatulia limeibuka lingine huko tanga
Ova
Umejuaje kama ghost lina mental case?Nitakuwa Chizi kuvurugwa na Maghost.
Ni kwel mkuu Dr Matola PhD , kuwa na uwezo wa kumpuuza mwanamke ni kitu muhimu sana.Punguzeni mdomo, wanaume wenye uthubutu wa kumpuuza mwanamke na kwenda kula tungi lako bar tuko wachache.
Nimeshashuudia kwa macho mke anamtukana matusi ya nguoni mume wake bila aibu, halafu mwingine anasema hawa watoto siyo wako na kila aina ya kashfa wakati watoto kiuhalisia huyo ndio biological father lakini mwanamke anamprovoke mwanaume makusudi kabisa.
Duh, kaacha kitendawili kigumu huku iraiani kwani itakuwa ngumu kumjuwa aliyeko nyuma ya mauaji ya wao wote. Mungu ampumzishe panapo mstahili.Habari za nuda huu ni:
Mwili wa Ali Baghdad wapatikana Sahare. Kutoka baharini. Haijathibitishwa ikiwa alijiua au aliuawa. Alidaiwa pesa na watu wengi. Angeweza pia kuuawa.
Nawashangaa wakosa sera hawajasema huyu nae alitekwa.
Ni mwenye asili ya kiarabuMtu anaitwa bagidadi