Tanga: Mume atuhumiwa kumuua mkewe, dada wa kazi kwa kuwanyonga na kuwatoboa macho

Tanga: Mume atuhumiwa kumuua mkewe, dada wa kazi kwa kuwanyonga na kuwatoboa macho

Wanaume wa siku hizi wana hasira za kike sana. Wanaume wa miaka hiyo walikuwa wanacheza na principles za kiume tu sio hisia.

Mwanaume anayefanya maamuzi kwa principles za kiume ikitokea mke kamtibua atampa warning,akikaidi anafanya maamuzi ya kiume.
Mke anakutibua unabeba kibegi chako,unahama nyumbani muache akae na kiburi chake. Kuendelea kufosi kukaa na mwanamke mkorofi au asiyejielewa kwa mwanaume ni kujiandalia mkeka wa matatizo.

Sasa kama hapa huyu mzee kuua chanzo chake ni kipi, why asingesepa mapema tu kabla hasira hazijamvaa.
Hujielewi wewe jitu linamiaka 60 unasema wanaume wa Sasa hivi hivi kwanini nyie wazee mnajifanya mlifanya ya maana wakati nchi ni masikini mpaka wewe mzee ni masikini wa kutupwa
 
Watu mnaosema ndoa ndio imesababisha,mkae mkijuwa mauaji yanafanyika kila sekta haijalishi watuhumiwa walikuwa katika ndoa ama vipi,mauji ni mauaji tu,kwa hiyo wale watu manofikia maamuzi ya jumla jumla kwamba chanzo no ndoa,hamna hoja inayoshawishi umma uwaelewe vizuri maana mauaji yanafanyika kila mahali na siyo kwenye ndoa tu.
 
Siku nikigundua watoto wangu ni copy ya mwanaume mwingine ntanyonga mpaka mjumbe wa nyumba kumi ukija kusuluhisha ugomvi...uenda beki tatu alijifanya kuamulia akasukumwa akafa.....

Ukisikia wanandoa wanapigana acha kuingilia wew subiri asubuhi muone nan mshindi kama kuna maiti nendeni mkazitoe sio ukisikia fujo unapeleka pua yako mtakuja kufa one day iyo ni vita ya kiroho hapo shetan huchukua point tatu na kuwapa kataa ndoa.....
 
Polisi Mkoa wa Tanga linamtafuta Alii Bagidai (60), mkazi wa Barabara ya 4, Wilaya na Jiji la Tanga kwa tuhuma za kumuua mkewe Saira Mohammed (50) na binti wa kazi anayejulikana kwa jina moja Asha (20) kwa kuwanyonga na kamba ya katani shingoni, kisha kuwatoboa macho.
Taarifa iliyotolewa na Kamanda wa Polisi Mkoa huo, Almachius Mchunguzi jana Jumatatu Septemba 30, 2024 imeeleza tukio hilo limetokea jana saa 1:00 usiku na baada ya mtuhumiwa kufanya kitendo hicho alitoroka.

Kamanda Mchunguzi ametoa wito kwa wananchi kushirikiana na Jeshi la Polisi kwa kutoa taarifa mahali atakapooneka mtuhumiwa huyo, ili akamatwa na sheria ichukue mkondo wake.

Soma Pia: Tanga: Watu watatu wafariki dunia kwa kuchomwa moto ndani ya gari Handeni

Mwenyekiti wa serikali ya mtaa, Lumumba Shemdoe amesema bado hawafahamu chanzo cha tukio, ila waliokutwa na tukio hilo wote ni wananchi wa mtaa wake.

Soma pia:
=>
Tanga: Watu watatu wafariki dunia kwa kuchomwa moto ndani ya gari Handeni
 

Attachments

  • IMG-20241001-WA0015.jpg
    IMG-20241001-WA0015.jpg
    415.1 KB · Views: 5
Wazeee wa hovyo wanywa kahawa wakiwa kijiweni wanajazana ujinga
Punguzeni mdomo, wanaume wenye uthubutu wa kumpuuza mwanamke na kwenda kula tungi lako bar tuko wachache.

Nimeshashuudia kwa macho mke anamtukana matusi ya nguoni mume wake bila aibu, halafu mwingine anasema hawa watoto siyo wako na kila aina ya kashfa wakati watoto kiuhalisia huyo ndio biological father lakini mwanamke anamprovoke mwanaume makusudi kabisa.
 
Siku nikigundua watoto wangu ni copy ya mwanaume mwingine ntanyonga mpaka mjumbe wa nyumba kumi ukija kusuluhisha ugomvi...uenda beki tatu alijifanya kuamulia akasukumwa akafa.....

Ukisikia wanandoa wanapigana acha kuingilia wew subiri asubuhi muone nan mshindi kama kuna maiti nendeni mkazitoe sio ukisikia fujo unapeleka pua yako mtakuja kufa one day iyo ni vita ya kiroho hapo shetan huchukua point tatu na kuwapa kataa ndoa.....
Kila mtu anasingizia shetani especially wabongo. Tukiacha kutumia akili na busara ndio hayo yanatokea
 
Punguzeni mdomo, wanaume wenye uthubutu wa kumpuuza mwanamke na kwenda kula tungi lako bar tuko wachache.

Nimeshashuudia kwa macho mke anamtukana matusi ya nguoni mume wake bila aibu, halafu mwingine anasema hawa watoto siyo wako na kila aina ya kashfa wakati watoto kiuhalisia huyo ndio biological father lakini mwanamke anamprovoke mwanaume makusudi kabisa.
Bila mdomo nyumba haichangamki...
 
Back
Top Bottom