Hiyo shule yakutia moto watoto wakiwa likizo famba saana hao watu. Hapo kuna kitu hakiko sawa mtoto kazimwa huyo au makafara yao hayo.Ujumbe huu nimeukuta huko Duniani
Naomba utupazie sauti, kuhusu mtoto wetu Heri Severin Yagaza (11) ambaye anadaiwa kujinyonga shuleni. Heri alikua darasa la 5, shule ya msingi Triple A iliyopo mjini Tanga. Inadaiwa amejinyonga bwenini kwa kutumia shuka, siku ya jumatano saa 10 jioni.
Heri ni Timekeeper (wagonga kengele za vipindi mashuleni) na uongozi wa shule unadai alikua mzima wa afya na alihudhuria vipindi vyote darasani. Alikua mchangamfu kama kawaida yake na ilipofika saa 10 aligonga kengele, kisha eti akaenda bwenini kujinyonga.
Maelezo haya hayakuturidhisha, hasa ukizingatia kuwa tangu saa 10 walipodai amejinyonga, wametupa taarifa familia saa 3 usiku, mwili ukiwa umeshapelekwa Hospitali ya Bombo. Inawezekanaje mtoto ajinyonge shuleni, familia ipewe taarifa masaa matano baadae, tena baada ya kupeleka maiti mochwari?
Tulipofika Bombo, tulikuta Askari polisi na Mmiliki wa shule. Wakatufokea kwanini tumeenda wengi? Wakati wa kuingia kutambua maiti wakasema aingie mmoja tu. Akaingia mjomba wake. Alipoangalia maiti hakuona alama ya kujinyonga. Akahoji mbona mtoto haonekani kujinyonga?
Mmiliki wa Shule na Polisi wakamfokea na kudai yeye si daktari. Hata tulipoomba haki ya kuingia bwenini kuona mazingira anayodaiwa kujinyongea, uongozi wa shule ulikataa na kudai wanaoruhusiwa kuingia ni polisi peke yao.
Jana tumekaa vikao na uongozi wa shule wakasema amueni kama mnataka kuzika, au kufungua file afanyiwe postmoterm. Tukaomba haki ya kuosha mwili. Baada ya kuosha tukaambiwa tukazike kwa sababu postmoterm haiwezekani tena. Polisi wakatusukuma tukazike haraka haraka.
Baada ya kuambiwa Postmotetm haiwezekani tena kisa tumeosha mwili, tukaamua kuja kuzika nyumbani hapa Korogwe mjini kwenye makaburi ya familia. Lakini tunaamini hatujatendewa haki.
Uongozi wa shule umetoa jeneza na usafiri, lakini hawajaja msibani. Si mmiliki wa shule, mkuu wa shule, walimu wala wanafunzi wenzie waliofika msibani. Inaumiza sana na tunahisi kuna jambo limejificha. Familia tunaomba tusaidiwe kupaza sauti ili mtoto wetu apate haki yake. Tupo tayari kuahirisha mazishi ili uchunguzi wa kina ufanyike. Tafadhali share kwa wingi ili Serikali ichukue hatua.
F☆<k the policeKuna haja ya kuweka sheria itakayoruhusu upelelezi binafsi (private investigation) maana mazingira kama haya yenye utata namna hii na the way polisi wamelalamikiwa kama wameegemea upande wa shule.
Imagine police ndio anapeleleza na anatoa report na ndio final hii sio sawa kuna mazingira police report hairidhishi hapo ndipo private investigation huwa na umuhimu wake maana ni independent investigation.
All in all mlikosea kukubali kuzika kabla ya kulazimisha postmortem na kosa kubwa mkaamua kulazimisha kuosha mwili hapo huwezi kufanya autopsy.
Maiti iliyozikwa inaweza kufukuliwa na kufanyiwa uchunguzi, hilo ni jambo la kawaida endapo ndugu watadai hivyo kupitia Polisi.Jambo linatugusa Sana, lakini pia wanafamilia wamekosea. Kwanini waliomba kuosha mwili wakati walipewa chaguo la kuzika au kufungua file??tayar hapo wamewapa fursa ya kujitenga na jambo hilo.
Mgelisusia maiti mpaka daktari wenu awepo amchunguzeUjumbe huu nimeukuta huko Duniani
Naomba utupazie sauti, kuhusu mtoto wetu Heri Severin Yagaza (11) ambaye anadaiwa kujinyonga shuleni. Heri alikua darasa la 5, shule ya msingi Triple A iliyopo mjini Tanga. Inadaiwa amejinyonga bwenini kwa kutumia shuka, siku ya jumatano saa 10 jioni.
Heri ni Timekeeper (wagonga kengele za vipindi mashuleni) na uongozi wa shule unadai alikua mzima wa afya na alihudhuria vipindi vyote darasani. Alikua mchangamfu kama kawaida yake na ilipofika saa 10 aligonga kengele, kisha eti akaenda bwenini kujinyonga.
Maelezo haya hayakuturidhisha, hasa ukizingatia kuwa tangu saa 10 walipodai amejinyonga, wametupa taarifa familia saa 3 usiku, mwili ukiwa umeshapelekwa Hospitali ya Bombo. Inawezekanaje mtoto ajinyonge shuleni, familia ipewe taarifa masaa matano baadae, tena baada ya kupeleka maiti mochwari?
Tulipofika Bombo, tulikuta Askari polisi na Mmiliki wa shule. Wakatufokea kwanini tumeenda wengi? Wakati wa kuingia kutambua maiti wakasema aingie mmoja tu. Akaingia mjomba wake. Alipoangalia maiti hakuona alama ya kujinyonga. Akahoji mbona mtoto haonekani kujinyonga?
Mmiliki wa Shule na Polisi wakamfokea na kudai yeye si daktari. Hata tulipoomba haki ya kuingia bwenini kuona mazingira anayodaiwa kujinyongea, uongozi wa shule ulikataa na kudai wanaoruhusiwa kuingia ni polisi peke yao.
Jana tumekaa vikao na uongozi wa shule wakasema amueni kama mnataka kuzika, au kufungua file afanyiwe postmoterm. Tukaomba haki ya kuosha mwili. Baada ya kuosha tukaambiwa tukazike kwa sababu postmoterm haiwezekani tena. Polisi wakatusukuma tukazike haraka haraka.
Baada ya kuambiwa Postmotetm haiwezekani tena kisa tumeosha mwili, tukaamua kuja kuzika nyumbani hapa Korogwe mjini kwenye makaburi ya familia. Lakini tunaamini hatujatendewa haki.
Uongozi wa shule umetoa jeneza na usafiri, lakini hawajaja msibani. Si mmiliki wa shule, mkuu wa shule, walimu wala wanafunzi wenzie waliofika msibani. Inaumiza sana na tunahisi kuna jambo limejificha. Familia tunaomba tusaidiwe kupaza sauti ili mtoto wetu apate haki yake. Tupo tayari kuahirisha mazishi ili uchunguzi wa kina ufanyike. Tafadhali share kwa wingi ili Serikali ichukue hatua.
Hahaha....aseehh...huyo mwalimu asithubutu Kwa Binti Yangu aseehh....Hizi Shule hizi!,
jirani yangu bintiye amepata upofu, alipigwa bakora na Mwalimu,akawa anazizuia kwa mkono,kipande kikaruka kwa nguvu na kugusa jicho, wamekaa na mtoto wiki nzima jicho linatoa maji, mpka Matroni alipomjulisha kwa siri mamake! Kwenda ndiyo wakampeleka KCMC!, baada ya mwezi mmoja kulazwa KCMC, wakatoa taarifa mtoto apelekwe India!,ndiyo amerudi ana wiki moja,jicho bado halioni...
Kwa asilimia kubwa kabisa ameuawa huyo. Kwanza mtoto wa 11 ana mawazo gani mpaka ajinyonge? Huyo alipigwa na mwalimu akafa halafu wakatunga. Ila hii nchi wananchi wake sijui wamepuliziwa nini. Tukio kama hilo polisi anawezaje kuwalazimisha? Kwa nini wasiji-organize walete vurugu kubwa kabisa? Halafu kwa nini wakimbilie kuosha mwili wakati mambo mengine bado? (siungi mkono kuwa mwili ukishaoshwa huwezi kufanyiwa post mortem kama hao vilaza walivyosema) And finally.... walikuwa wanalala bweni? Kwa nini wazazi wengine wana mawazo mgando namna hii? Mtoto mdogo namna hiyo kwa nini aende shule ya bweni? Tanzania ina matatizo makubwa ya uongozi. Ila wananchi nao ni tatizo kubwa zaidi.Ujumbe huu nimeukuta huko Duniani
Naomba utupazie sauti, kuhusu mtoto wetu Heri Severin Yagaza (11) ambaye anadaiwa kujinyonga shuleni. Heri alikua darasa la 5, shule ya msingi Triple A iliyopo mjini Tanga. Inadaiwa amejinyonga bwenini kwa kutumia shuka, siku ya jumatano saa 10 jioni.
Heri ni Timekeeper (wagonga kengele za vipindi mashuleni) na uongozi wa shule unadai alikua mzima wa afya na alihudhuria vipindi vyote darasani. Alikua mchangamfu kama kawaida yake na ilipofika saa 10 aligonga kengele, kisha eti akaenda bwenini kujinyonga.
Maelezo haya hayakuturidhisha, hasa ukizingatia kuwa tangu saa 10 walipodai amejinyonga, wametupa taarifa familia saa 3 usiku, mwili ukiwa umeshapelekwa Hospitali ya Bombo. Inawezekanaje mtoto ajinyonge shuleni, familia ipewe taarifa masaa matano baadae, tena baada ya kupeleka maiti mochwari?
Tulipofika Bombo, tulikuta Askari polisi na Mmiliki wa shule. Wakatufokea kwanini tumeenda wengi? Wakati wa kuingia kutambua maiti wakasema aingie mmoja tu. Akaingia mjomba wake. Alipoangalia maiti hakuona alama ya kujinyonga. Akahoji mbona mtoto haonekani kujinyonga?
Mmiliki wa Shule na Polisi wakamfokea na kudai yeye si daktari. Hata tulipoomba haki ya kuingia bwenini kuona mazingira anayodaiwa kujinyongea, uongozi wa shule ulikataa na kudai wanaoruhusiwa kuingia ni polisi peke yao.
Jana tumekaa vikao na uongozi wa shule wakasema amueni kama mnataka kuzika, au kufungua file afanyiwe postmoterm. Tukaomba haki ya kuosha mwili. Baada ya kuosha tukaambiwa tukazike kwa sababu postmoterm haiwezekani tena. Polisi wakatusukuma tukazike haraka haraka.
Baada ya kuambiwa Postmotetm haiwezekani tena kisa tumeosha mwili, tukaamua kuja kuzika nyumbani hapa Korogwe mjini kwenye makaburi ya familia. Lakini tunaamini hatujatendewa haki.
Uongozi wa shule umetoa jeneza na usafiri, lakini hawajaja msibani. Si mmiliki wa shule, mkuu wa shule, walimu wala wanafunzi wenzie waliofika msibani. Inaumiza sana na tunahisi kuna jambo limejificha. Familia tunaomba tusaidiwe kupaza sauti ili mtoto wetu apate haki yake. Tupo tayari kuahirisha mazishi ili uchunguzi wa kina ufanyike. Tafadhali share kwa wingi ili Serikali ichukue hatua.
Hata secondary labda iwe advance ila hizi o level ni vema mtoto umuone Kila jioniPoleni Sana.
Ila mara 100 mtoto wa primary awe anarudi nyumbani Jioni.
Bweni atakuta sekondari
Samahani mkuu.....Inaonyesha wanafamilia ni watata kusabaibsha uongozi wa shule kushindwa kushiriki mazishi.
🥹Hizi Shule hizi!,
jirani yangu bintiye amepata upofu, alipigwa bakora na Mwalimu,akawa anazizuia kwa mkono,kipande kikaruka kwa nguvu na kugusa jicho, wamekaa na mtoto wiki nzima jicho linatoa maji, mpka Matroni alipomjulisha kwa siri mamake! Kwenda ndiyo wakampeleka KCMC!, baada ya mwezi mmoja kulazwa KCMC, wakatoa taarifa mtoto apelekwe India!,ndiyo amerudi ana wiki moja,jicho bado halioni...
Hizi Shule hizi!,
jirani yangu bintiye amepata upofu, alipigwa bakora na Mwalimu,akawa anazizuia kwa mkono,kipande kikaruka kwa nguvu na kugusa jicho, wamekaa na mtoto wiki nzima jicho linatoa maji, mpka Matroni alipomjulisha kwa siri mamake! Kwenda ndiyo wakampeleka KCMC!, baada ya mwezi mmoja kulazwa KCMC, wakatoa taarifa mtoto apelekwe India!,ndiyo amerudi ana wiki moja,jicho bado halioni...
Ukweli utakuja juu tu.Ujumbe huu nimeukuta huko Duniani
Naomba utupazie sauti, kuhusu mtoto wetu Heri Severin Yagaza (11) ambaye anadaiwa kujinyonga shuleni. Heri alikua darasa la 5, shule ya msingi Triple A iliyopo mjini Tanga. Inadaiwa amejinyonga bwenini kwa kutumia shuka, siku ya jumatano saa 10 jioni.
Heri ni Timekeeper (wagonga kengele za vipindi mashuleni) na uongozi wa shule unadai alikua mzima wa afya na alihudhuria vipindi vyote darasani. Alikua mchangamfu kama kawaida yake na ilipofika saa 10 aligonga kengele, kisha eti akaenda bwenini kujinyonga.
Maelezo haya hayakuturidhisha, hasa ukizingatia kuwa tangu saa 10 walipodai amejinyonga, wametupa taarifa familia saa 3 usiku, mwili ukiwa umeshapelekwa Hospitali ya Bombo. Inawezekanaje mtoto ajinyonge shuleni, familia ipewe taarifa masaa matano baadae, tena baada ya kupeleka maiti mochwari?
Tulipofika Bombo, tulikuta Askari polisi na Mmiliki wa shule. Wakatufokea kwanini tumeenda wengi? Wakati wa kuingia kutambua maiti wakasema aingie mmoja tu. Akaingia mjomba wake. Alipoangalia maiti hakuona alama ya kujinyonga. Akahoji mbona mtoto haonekani kujinyonga?
Mmiliki wa Shule na Polisi wakamfokea na kudai yeye si daktari. Hata tulipoomba haki ya kuingia bwenini kuona mazingira anayodaiwa kujinyongea, uongozi wa shule ulikataa na kudai wanaoruhusiwa kuingia ni polisi peke yao.
Jana tumekaa vikao na uongozi wa shule wakasema amueni kama mnataka kuzika, au kufungua file afanyiwe postmoterm. Tukaomba haki ya kuosha mwili. Baada ya kuosha tukaambiwa tukazike kwa sababu postmoterm haiwezekani tena. Polisi wakatusukuma tukazike haraka haraka.
Baada ya kuambiwa Postmotetm haiwezekani tena kisa tumeosha mwili, tukaamua kuja kuzika nyumbani hapa Korogwe mjini kwenye makaburi ya familia. Lakini tunaamini hatujatendewa haki.
Uongozi wa shule umetoa jeneza na usafiri, lakini hawajaja msibani. Si mmiliki wa shule, mkuu wa shule, walimu wala wanafunzi wenzie waliofika msibani. Inaumiza sana na tunahisi kuna jambo limejificha. Familia tunaomba tusaidiwe kupaza sauti ili mtoto wetu apate haki yake. Tupo tayari kuahirisha mazishi ili uchunguzi wa kina ufanyike. Tafadhali share kwa wingi ili Serikali ichukue hatua.