Tanga: Mwanafunzi wa Darasa la 5 adaiwa kujinyonga. Ndugu wadai kuna kitu nyuma ya pazia kinafichwa na Shule na Polisi

Tanga: Mwanafunzi wa Darasa la 5 adaiwa kujinyonga. Ndugu wadai kuna kitu nyuma ya pazia kinafichwa na Shule na Polisi

Kuna haja ya kuweka sheria itakayoruhusu upelelezi binafsi (private investigation) maana mazingira kama haya yenye utata namna hii na the way polisi wamelalamikiwa kama wameegemea upande wa shule.

Imagine police ndio anapeleleza na anatoa report na ndio final hii sio sawa kuna mazingira police report hairidhishi hapo ndipo private investigation huwa na umuhimu wake maana ni independent investigation.

All in all mlikosea kukubali kuzika kabla ya kulazimisha postmortem na kosa kubwa mkaamua kulazimisha kuosha mwili hapo huwezi kufanya autopsy.
 
Ujumbe huu nimeukuta huko Duniani

Naomba utupazie sauti, kuhusu mtoto wetu Heri Severin Yagaza (11) ambaye anadaiwa kujinyonga shuleni. Heri alikua darasa la 5, shule ya msingi Triple A iliyopo mjini Tanga. Inadaiwa amejinyonga bwenini kwa kutumia shuka, siku ya jumatano saa 10 jioni.

Heri ni Timekeeper (wagonga kengele za vipindi mashuleni) na uongozi wa shule unadai alikua mzima wa afya na alihudhuria vipindi vyote darasani. Alikua mchangamfu kama kawaida yake na ilipofika saa 10 aligonga kengele, kisha eti akaenda bwenini kujinyonga.

Maelezo haya hayakuturidhisha, hasa ukizingatia kuwa tangu saa 10 walipodai amejinyonga, wametupa taarifa familia saa 3 usiku, mwili ukiwa umeshapelekwa Hospitali ya Bombo. Inawezekanaje mtoto ajinyonge shuleni, familia ipewe taarifa masaa matano baadae, tena baada ya kupeleka maiti mochwari?

Tulipofika Bombo, tulikuta Askari polisi na Mmiliki wa shule. Wakatufokea kwanini tumeenda wengi? Wakati wa kuingia kutambua maiti wakasema aingie mmoja tu. Akaingia mjomba wake. Alipoangalia maiti hakuona alama ya kujinyonga. Akahoji mbona mtoto haonekani kujinyonga?

Mmiliki wa Shule na Polisi wakamfokea na kudai yeye si daktari. Hata tulipoomba haki ya kuingia bwenini kuona mazingira anayodaiwa kujinyongea, uongozi wa shule ulikataa na kudai wanaoruhusiwa kuingia ni polisi peke yao.
Jana tumekaa vikao na uongozi wa shule wakasema amueni kama mnataka kuzika, au kufungua file afanyiwe postmoterm. Tukaomba haki ya kuosha mwili. Baada ya kuosha tukaambiwa tukazike kwa sababu postmoterm haiwezekani tena. Polisi wakatusukuma tukazike haraka haraka.

Baada ya kuambiwa Postmotetm haiwezekani tena kisa tumeosha mwili, tukaamua kuja kuzika nyumbani hapa Korogwe mjini kwenye makaburi ya familia. Lakini tunaamini hatujatendewa haki.

Uongozi wa shule umetoa jeneza na usafiri, lakini hawajaja msibani. Si mmiliki wa shule, mkuu wa shule, walimu wala wanafunzi wenzie waliofika msibani. Inaumiza sana na tunahisi kuna jambo limejificha. Familia tunaomba tusaidiwe kupaza sauti ili mtoto wetu apate haki yake. Tupo tayari kuahirisha mazishi ili uchunguzi wa kina ufanyike. Tafadhali share kwa wingi ili Serikali ichukue hatua.
Hiyo shule yakutia moto watoto wakiwa likizo famba saana hao watu. Hapo kuna kitu hakiko sawa mtoto kazimwa huyo au makafara yao hayo.
 
Kuna haja ya kuweka sheria itakayoruhusu upelelezi binafsi (private investigation) maana mazingira kama haya yenye utata namna hii na the way polisi wamelalamikiwa kama wameegemea upande wa shule.

Imagine police ndio anapeleleza na anatoa report na ndio final hii sio sawa kuna mazingira police report hairidhishi hapo ndipo private investigation huwa na umuhimu wake maana ni independent investigation.

All in all mlikosea kukubali kuzika kabla ya kulazimisha postmortem na kosa kubwa mkaamua kulazimisha kuosha mwili hapo huwezi kufanya autopsy.
F☆<k the police
 
Jambo linatugusa Sana, lakini pia wanafamilia wamekosea. Kwanini waliomba kuosha mwili wakati walipewa chaguo la kuzika au kufungua file??tayar hapo wamewapa fursa ya kujitenga na jambo hilo.
Maiti iliyozikwa inaweza kufukuliwa na kufanyiwa uchunguzi, hilo ni jambo la kawaida endapo ndugu watadai hivyo kupitia Polisi.
 
Ujumbe huu nimeukuta huko Duniani

Naomba utupazie sauti, kuhusu mtoto wetu Heri Severin Yagaza (11) ambaye anadaiwa kujinyonga shuleni. Heri alikua darasa la 5, shule ya msingi Triple A iliyopo mjini Tanga. Inadaiwa amejinyonga bwenini kwa kutumia shuka, siku ya jumatano saa 10 jioni.

Heri ni Timekeeper (wagonga kengele za vipindi mashuleni) na uongozi wa shule unadai alikua mzima wa afya na alihudhuria vipindi vyote darasani. Alikua mchangamfu kama kawaida yake na ilipofika saa 10 aligonga kengele, kisha eti akaenda bwenini kujinyonga.

Maelezo haya hayakuturidhisha, hasa ukizingatia kuwa tangu saa 10 walipodai amejinyonga, wametupa taarifa familia saa 3 usiku, mwili ukiwa umeshapelekwa Hospitali ya Bombo. Inawezekanaje mtoto ajinyonge shuleni, familia ipewe taarifa masaa matano baadae, tena baada ya kupeleka maiti mochwari?

Tulipofika Bombo, tulikuta Askari polisi na Mmiliki wa shule. Wakatufokea kwanini tumeenda wengi? Wakati wa kuingia kutambua maiti wakasema aingie mmoja tu. Akaingia mjomba wake. Alipoangalia maiti hakuona alama ya kujinyonga. Akahoji mbona mtoto haonekani kujinyonga?

Mmiliki wa Shule na Polisi wakamfokea na kudai yeye si daktari. Hata tulipoomba haki ya kuingia bwenini kuona mazingira anayodaiwa kujinyongea, uongozi wa shule ulikataa na kudai wanaoruhusiwa kuingia ni polisi peke yao.
Jana tumekaa vikao na uongozi wa shule wakasema amueni kama mnataka kuzika, au kufungua file afanyiwe postmoterm. Tukaomba haki ya kuosha mwili. Baada ya kuosha tukaambiwa tukazike kwa sababu postmoterm haiwezekani tena. Polisi wakatusukuma tukazike haraka haraka.

Baada ya kuambiwa Postmotetm haiwezekani tena kisa tumeosha mwili, tukaamua kuja kuzika nyumbani hapa Korogwe mjini kwenye makaburi ya familia. Lakini tunaamini hatujatendewa haki.

Uongozi wa shule umetoa jeneza na usafiri, lakini hawajaja msibani. Si mmiliki wa shule, mkuu wa shule, walimu wala wanafunzi wenzie waliofika msibani. Inaumiza sana na tunahisi kuna jambo limejificha. Familia tunaomba tusaidiwe kupaza sauti ili mtoto wetu apate haki yake. Tupo tayari kuahirisha mazishi ili uchunguzi wa kina ufanyike. Tafadhali share kwa wingi ili Serikali ichukue hatua.
Mgelisusia maiti mpaka daktari wenu awepo amchunguze
 
Hizi Shule hizi!,

jirani yangu bintiye amepata upofu, alipigwa bakora na Mwalimu,akawa anazizuia kwa mkono,kipande kikaruka kwa nguvu na kugusa jicho, wamekaa na mtoto wiki nzima jicho linatoa maji, mpka Matroni alipomjulisha kwa siri mamake! Kwenda ndiyo wakampeleka KCMC!, baada ya mwezi mmoja kulazwa KCMC, wakatoa taarifa mtoto apelekwe India!,ndiyo amerudi ana wiki moja,jicho bado halioni...
Hahaha....aseehh...huyo mwalimu asithubutu Kwa Binti Yangu aseehh....
Ama zake a.a zangu
Hizi Shule hizi ACHA tuuu
 
Ujumbe huu nimeukuta huko Duniani

Naomba utupazie sauti, kuhusu mtoto wetu Heri Severin Yagaza (11) ambaye anadaiwa kujinyonga shuleni. Heri alikua darasa la 5, shule ya msingi Triple A iliyopo mjini Tanga. Inadaiwa amejinyonga bwenini kwa kutumia shuka, siku ya jumatano saa 10 jioni.

Heri ni Timekeeper (wagonga kengele za vipindi mashuleni) na uongozi wa shule unadai alikua mzima wa afya na alihudhuria vipindi vyote darasani. Alikua mchangamfu kama kawaida yake na ilipofika saa 10 aligonga kengele, kisha eti akaenda bwenini kujinyonga.

Maelezo haya hayakuturidhisha, hasa ukizingatia kuwa tangu saa 10 walipodai amejinyonga, wametupa taarifa familia saa 3 usiku, mwili ukiwa umeshapelekwa Hospitali ya Bombo. Inawezekanaje mtoto ajinyonge shuleni, familia ipewe taarifa masaa matano baadae, tena baada ya kupeleka maiti mochwari?

Tulipofika Bombo, tulikuta Askari polisi na Mmiliki wa shule. Wakatufokea kwanini tumeenda wengi? Wakati wa kuingia kutambua maiti wakasema aingie mmoja tu. Akaingia mjomba wake. Alipoangalia maiti hakuona alama ya kujinyonga. Akahoji mbona mtoto haonekani kujinyonga?

Mmiliki wa Shule na Polisi wakamfokea na kudai yeye si daktari. Hata tulipoomba haki ya kuingia bwenini kuona mazingira anayodaiwa kujinyongea, uongozi wa shule ulikataa na kudai wanaoruhusiwa kuingia ni polisi peke yao.
Jana tumekaa vikao na uongozi wa shule wakasema amueni kama mnataka kuzika, au kufungua file afanyiwe postmoterm. Tukaomba haki ya kuosha mwili. Baada ya kuosha tukaambiwa tukazike kwa sababu postmoterm haiwezekani tena. Polisi wakatusukuma tukazike haraka haraka.

Baada ya kuambiwa Postmotetm haiwezekani tena kisa tumeosha mwili, tukaamua kuja kuzika nyumbani hapa Korogwe mjini kwenye makaburi ya familia. Lakini tunaamini hatujatendewa haki.

Uongozi wa shule umetoa jeneza na usafiri, lakini hawajaja msibani. Si mmiliki wa shule, mkuu wa shule, walimu wala wanafunzi wenzie waliofika msibani. Inaumiza sana na tunahisi kuna jambo limejificha. Familia tunaomba tusaidiwe kupaza sauti ili mtoto wetu apate haki yake. Tupo tayari kuahirisha mazishi ili uchunguzi wa kina ufanyike. Tafadhali share kwa wingi ili Serikali ichukue hatua.
Kwa asilimia kubwa kabisa ameuawa huyo. Kwanza mtoto wa 11 ana mawazo gani mpaka ajinyonge? Huyo alipigwa na mwalimu akafa halafu wakatunga. Ila hii nchi wananchi wake sijui wamepuliziwa nini. Tukio kama hilo polisi anawezaje kuwalazimisha? Kwa nini wasiji-organize walete vurugu kubwa kabisa? Halafu kwa nini wakimbilie kuosha mwili wakati mambo mengine bado? (siungi mkono kuwa mwili ukishaoshwa huwezi kufanyiwa post mortem kama hao vilaza walivyosema) And finally.... walikuwa wanalala bweni? Kwa nini wazazi wengine wana mawazo mgando namna hii? Mtoto mdogo namna hiyo kwa nini aende shule ya bweni? Tanzania ina matatizo makubwa ya uongozi. Ila wananchi nao ni tatizo kubwa zaidi.
 
Mtoto wa miaka 11 ajinyonge kisa?Acheni kufanya mizaha na watoto wa watu wajinga wakubwa.Kwanza washukuru sana hawa wazazi ni wastaarabu wengine hawaendi polisi ila hamna rangi hamtaona yaani kila aliyehusika atamfata marehemu alipo
 
Ila Wazazi wa sasa ni vilaza saaaanaaa
Mtoto wa miaka 11 boarding anaenda kufanya nini ?
Kwa nini watu tunakazania kuzaa ikiwa majukumu ya ulezi hatuyawezi
Halafu kuna jamii yetu iliyooza Kwa rushwa
Police akishikishwa pesa kidogo ,hajali chochote kupindisha Sheria
 
Hiyo familia tuwape polee...ila naweza sema umaskini + ujinga ndo umepelekea polisi kuwakandamiza.

Ila hii kesi nzito sanaa
 
Hizi Shule hizi!,

jirani yangu bintiye amepata upofu, alipigwa bakora na Mwalimu,akawa anazizuia kwa mkono,kipande kikaruka kwa nguvu na kugusa jicho, wamekaa na mtoto wiki nzima jicho linatoa maji, mpka Matroni alipomjulisha kwa siri mamake! Kwenda ndiyo wakampeleka KCMC!, baada ya mwezi mmoja kulazwa KCMC, wakatoa taarifa mtoto apelekwe India!,ndiyo amerudi ana wiki moja,jicho bado halioni...
🥹
 
Hizi Shule hizi!,

jirani yangu bintiye amepata upofu, alipigwa bakora na Mwalimu,akawa anazizuia kwa mkono,kipande kikaruka kwa nguvu na kugusa jicho, wamekaa na mtoto wiki nzima jicho linatoa maji, mpka Matroni alipomjulisha kwa siri mamake! Kwenda ndiyo wakampeleka KCMC!, baada ya mwezi mmoja kulazwa KCMC, wakatoa taarifa mtoto apelekwe India!,ndiyo amerudi ana wiki moja,jicho bado halioni...

yaani mtu anapambana na tabia mbaya iliyopo ndani ya mtu mpaka anamuumiza mhusika.

ukiuliza ulazima wa hayo yote ni nini hata yeye hajui.

ukishaona mtoto mwoga kupita kiasi kwenye fimbo ni bora umwache,anaweza hata akaanguka akafa kwa pressure.
 
Ujumbe huu nimeukuta huko Duniani

Naomba utupazie sauti, kuhusu mtoto wetu Heri Severin Yagaza (11) ambaye anadaiwa kujinyonga shuleni. Heri alikua darasa la 5, shule ya msingi Triple A iliyopo mjini Tanga. Inadaiwa amejinyonga bwenini kwa kutumia shuka, siku ya jumatano saa 10 jioni.

Heri ni Timekeeper (wagonga kengele za vipindi mashuleni) na uongozi wa shule unadai alikua mzima wa afya na alihudhuria vipindi vyote darasani. Alikua mchangamfu kama kawaida yake na ilipofika saa 10 aligonga kengele, kisha eti akaenda bwenini kujinyonga.

Maelezo haya hayakuturidhisha, hasa ukizingatia kuwa tangu saa 10 walipodai amejinyonga, wametupa taarifa familia saa 3 usiku, mwili ukiwa umeshapelekwa Hospitali ya Bombo. Inawezekanaje mtoto ajinyonge shuleni, familia ipewe taarifa masaa matano baadae, tena baada ya kupeleka maiti mochwari?

Tulipofika Bombo, tulikuta Askari polisi na Mmiliki wa shule. Wakatufokea kwanini tumeenda wengi? Wakati wa kuingia kutambua maiti wakasema aingie mmoja tu. Akaingia mjomba wake. Alipoangalia maiti hakuona alama ya kujinyonga. Akahoji mbona mtoto haonekani kujinyonga?

Mmiliki wa Shule na Polisi wakamfokea na kudai yeye si daktari. Hata tulipoomba haki ya kuingia bwenini kuona mazingira anayodaiwa kujinyongea, uongozi wa shule ulikataa na kudai wanaoruhusiwa kuingia ni polisi peke yao.
Jana tumekaa vikao na uongozi wa shule wakasema amueni kama mnataka kuzika, au kufungua file afanyiwe postmoterm. Tukaomba haki ya kuosha mwili. Baada ya kuosha tukaambiwa tukazike kwa sababu postmoterm haiwezekani tena. Polisi wakatusukuma tukazike haraka haraka.

Baada ya kuambiwa Postmotetm haiwezekani tena kisa tumeosha mwili, tukaamua kuja kuzika nyumbani hapa Korogwe mjini kwenye makaburi ya familia. Lakini tunaamini hatujatendewa haki.

Uongozi wa shule umetoa jeneza na usafiri, lakini hawajaja msibani. Si mmiliki wa shule, mkuu wa shule, walimu wala wanafunzi wenzie waliofika msibani. Inaumiza sana na tunahisi kuna jambo limejificha. Familia tunaomba tusaidiwe kupaza sauti ili mtoto wetu apate haki yake. Tupo tayari kuahirisha mazishi ili uchunguzi wa kina ufanyike. Tafadhali share kwa wingi ili Serikali ichukue hatua.
Ukweli utakuja juu tu.

It's a matter of time
 
Back
Top Bottom