je parle
JF-Expert Member
- Nov 28, 2018
- 2,022
- 3,919
Nina andika kwa masikitiko makubwa huu mji wa tanga umekuwa wa hovyo mno .As if if hakuna serikali inayofanya kazi zake kwa weledi. Hii mata ya changani kuna huyu mwenyekiti anaitwa masumbuko sijui aliwezeje kukalia kiti cha kuwa mwenyekiti. Yan hana weledi alafu ni tapeli na nusu wao pamoja na baraza lote la kata. Huyu mwenye kiti wanapita na vijana wake. MTAJA, NA KIJANA MWENGINE ANAITWA SEMINDU. Hawa kazi yao kubwa ni kuangalia sehemu gani kuna kiwanja hakija jengwa.
Wakishaona hivyo wanaleta mteja kuja kununua ki siri siri ,watu wengi wameshalizwa kwa style hii. Alafu mzigo wanagawana na mwenyekiti, na siku ukija kugundua kiwanja chako kimeuzwa mara mbili ndio hapo mwenyekiti anaanza kukupiga danadana hadi ukate tamaa. Na katika madai wakishakuona utawazidi nguvu wanakupa kiwanja kingine cha mtu mwingine ambae hajajenga na yeye akija kugundua kesi inakuwa tena kupelekeshana hivyo hivyo.
Rushwa ni kubwa sana inafanyika hapa kichangani. Serikali ya jamhuri imeshindwa kuwafunga hawa watu watatu mwenyekiti masumbuko, mjata,na semindu. Kwanza hawa wanahatibu sifa ya watu wa tanga ya ukarimu na kupendana. Nina wasiwasi hawa jamaa watatu sio raia wa Tanzania.
Tunaomba uhamiaji pia kuwafuatilia kujua uraia wao. Huyu mmoja semindu alishawai kuuza kiwanja cha mdigo mmoja akarogwa ikawa anaona usiku tu lakin mchana haoni .ila baadae vikao vingi vilifanyika na akasamehewa ila sasa wamerudia michezo yao ile ile.
Na hata akipelekwa polisi hapo chumbageni ni kama tu hamna kitu siku mbili wameachiwa kwa dhamana na wanaenda kuuza tena viwanja.
Wakishaona hivyo wanaleta mteja kuja kununua ki siri siri ,watu wengi wameshalizwa kwa style hii. Alafu mzigo wanagawana na mwenyekiti, na siku ukija kugundua kiwanja chako kimeuzwa mara mbili ndio hapo mwenyekiti anaanza kukupiga danadana hadi ukate tamaa. Na katika madai wakishakuona utawazidi nguvu wanakupa kiwanja kingine cha mtu mwingine ambae hajajenga na yeye akija kugundua kesi inakuwa tena kupelekeshana hivyo hivyo.
Rushwa ni kubwa sana inafanyika hapa kichangani. Serikali ya jamhuri imeshindwa kuwafunga hawa watu watatu mwenyekiti masumbuko, mjata,na semindu. Kwanza hawa wanahatibu sifa ya watu wa tanga ya ukarimu na kupendana. Nina wasiwasi hawa jamaa watatu sio raia wa Tanzania.
Tunaomba uhamiaji pia kuwafuatilia kujua uraia wao. Huyu mmoja semindu alishawai kuuza kiwanja cha mdigo mmoja akarogwa ikawa anaona usiku tu lakin mchana haoni .ila baadae vikao vingi vilifanyika na akasamehewa ila sasa wamerudia michezo yao ile ile.
Na hata akipelekwa polisi hapo chumbageni ni kama tu hamna kitu siku mbili wameachiwa kwa dhamana na wanaenda kuuza tena viwanja.