Tanga ni kama haina serikali kabisa, matapeli wa viwanja wanafanya wanavyotaka kwa kujitapa kuwa hakuna wa kuwatia nguvuni

Tanga ni kama haina serikali kabisa, matapeli wa viwanja wanafanya wanavyotaka kwa kujitapa kuwa hakuna wa kuwatia nguvuni

Ebu soma hiyo kesi uone Adv. Chamani anavyosema
Haihusiani kabisa na Local governments. Hata hivyo hoja yake ya right to be heard ilishindwa.
By the way, it seems haya mambo ya shria unauelewa nayo. Ngoja nikuletee kifungu unipe tafsiri yake. Kuna appeal inakwenda CA kuomba tafsiri maana wanasema kuna mkanganyiko wa interpretation.
Kifungu gani? Maana ni lazima ardhi yeyote iliyokuwa kijijini iuzwe kwa kupitia baraza la kijiji.

Ardhi ambayo ipo serikali ya mtaa ni deemed right of occupancy inayofuata Law of Contract. Kwa sababu serikali ya mtaa haina mamlaka juu ya ardhi. Ila baadae utakapotaka kiregister, itabidi uombe consent ya Ward Development Council. Hiyo ndiyo itakayokupitishia ili ufanye survey na baada ya hapo itakuwa chini ya commissioner for lands.

Ardhi zilizokuwa surveyed zipo chini ya commissioner for lands, through municipalities or distrct/town councils. na uuzaji wake upo chini ya law of contract act na Land act. Meaning, zitakuwa na muhuri wa wakili, magistrate, TRA officer au any commissioner for Oaths.
 
Nilishawahi. Ukiwa makini huwezi kutapeliwa.
Hayo mengine ni hasira zako tu za maisha wala hazinihusu.
HAKUNA umakini Kama ni WANAOKUUZIA siyo waaminifu UTATAPELIWA tu.

Kwasababu, kwanza sheria haikusaidii wewe, iko upande wa Matapeli. Kesi zote za Madai polisi hawana nguvu nazo, unatakiwa kwenda Mahakamani.

Kawaida ya mahakama, ukifikisha Matapeli wanakubali tu kuwa unawadai lakini watalipa kidogo kidogo, so walikupiga milioni 30 tayari wameshakupa a maana Bata wasipolipa huna Cha kuwafanya.

PILI, viwanja vingi nchi hii ni upimaji shirikishi tu.

Tatu mifumo yetu ni ya KIJUHA hao unaotegemea wakusaidie mambo ya hati au haki wanakula na hao Matapeli.
 
Was not mine surely was reversed for public consumption.

The city mayor handed over the public area to Arabs in a rigged manner.
Mpaka leo pale pamejengwa ukuta na waarabu na watu hawachezi tena mpira, waarabu wamepasindika tu kwanza pasi na lolote kufanyika!! Mzalendo uwanja mkongwe wa jamii ukawa mali ya mtu kiutaniutani!!
 
Haihusiani kabisa na Local governments. Hata hivyo hoja yake ya right to be heard ilishindwa.
Hii nilitaka unisaidie issue aliyo i-raise. Haihusiani na local gov. Lakini aliafiki iende CA itolewe ufafanuzi. Kitu ambacho naona kama cae laws zilishaipatia ufafanuzi ingawa nyingi ni from HC!
 
Kobello, mimi nimevinunua vingi havijapimwa na sina tatizo hata maana n mashamba ya wenyeji wanakukatia kipande wana shida zao. Ila hakikisha siyo cha urithi!
Umenunua wapi?

Utapeli wa Ardhi haupo vijijini.

Umejaa maeneo ambayo ni hot cake, hasa kwenye majiji makubwa Kama Dar, Mwanza, nk.

Tena Mwanza Matapeli mpaka wazee na mabibi.
 
Umenunua wapi?

Utapeli wa Ardhi haupo vijijini.

Umejaa maeneo ambayo ni hot cake, hasa kwenye majiji makubwa Kama Dar, Mwanza, nk.

Tena Mwanza Matapeli mpaka wazee na mabibi.
uko sahihi. Miji midogo kama upo vile vilelakini si kama hiyo uliyoitaja. Vibibi ni mali za ukoo , wanadugu wengi mmoja anaamua kuuza shida inaanzia hapo.....
 
uko sahihi. Miji midogo kama upo vile vilelakini si kama hiyo uliyoitaja
Na kibaya zaidi Ardhi Ina utapeli wa KIMFUMO.

Yaani mtu anakutapeli halafu hakimbii Wala Nini na huna Cha kumfanya.

Sheria ya Madai ni mbovu na haina nguvu kabisa, na wanaijua.

Mtu anaweza kukuuzia eneo la kwake kabisa mkaandikishana kwa mwanasheria, mkimaliza anauza Tena kwa watu wengine hata 10.
 
Na kibaya zaidi Ardhi Ina utapeli wa KIMFUMO.

Yaani mtu anakutapeli halafu hakimbii Wala Nini na huna Cha kumfanya.

Sheria ya Madai ni mbovu na haina nguvu kabisa, na wanaijua.

Mtu anaweza kukuuzia eneo la kwake kabisa mkaandikishana kwa mwanasheria, mkimaliza anauza Tena kwa watu wengine hata 10.
Uko sahihi! Ukinunua weka hata mchanga, mawe, (ingawa navyo havisaidii sana) halafu involve majirani wakuangalizie mpaka utakapo anza ujenzi. Ni ngumu sana haya mabo ya viwanja
 
Uko sahihi! Ukinunua weka hata mchanga, mawe, (ingawa navyo havisaidii sana) halafu involve majirani wakuangalizie mpaka utakapo anza ujenzi. Ni ngumu sana haya mabo ya viwanja
Watu wanauza mpaka mapagala ya watu ndio washindwe kuuza kiwanja chenye trip za mawe.

Matapeli wakishajua una kiwanja sehemu halafu wewe labda upo mkoa tofauti, Hilo eneo watakuwa wanawauzia watu kila siku.
 
kuna viwaja vilivio imwa lazima uende aridhi kuna viwanja shamba vinaktwa vipande vipande bila kupitia aridhi na kuuzia watu kupitia serikali za mitaa
Kwanini ununue ardhi serikali za mtaa?
Huo ni ujinga.
 
Back
Top Bottom