Tanga ni kama haina serikali kabisa, matapeli wa viwanja wanafanya wanavyotaka kwa kujitapa kuwa hakuna wa kuwatia nguvuni

Watu wanauza mpaka mapagala ya watu ndio washindwe kuuza kiwanja chenye trip za mawe.

Matapeli wakishajua una kiwanja sehemu halafu wewe labda upo mkoa tofauti, Hilo eneo watakuwa wanawauzia watu kila siku.
Naona mishipa ya shingo imekutoka.
Kuna watu wanauzuiwa maiji na mafuta ya upako, tena wana PhD.
Ila mimi siwezi kuuziwa kitu chochote kijinga.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…