Tanga Pazuri Sana Sema Sijui kwa Nini Pako Vile

Tanga Pazuri Sana Sema Sijui kwa Nini Pako Vile

Tanga ushirikina sana yaani mtu akiumwa kidgo tu mawazo yashahamia kwenye kurogwa, hiyo ya uvivu ni kweli kabisa shemeji yenu akiendaga kwao basi familia yote mpaka mume wa dada yake wanakusanyika kula hapo hapo, sembe inapikwa kilo 3 mpaka 4 kwa mara moja, wali ndio kabisa unaweza sema Kuna sherehe na mtoaji wa pesa ni Mimi basi Huwa nakereka sana, mm ni mnyaturu
 
Daaah hili nalo ni shida ingine
T
Tanga ushirikina sana yaani mtu akiumwa kidgo tu mawazo yashahamia kwenye kurogwa, hiyo ya uvivu ni kweli kabisa shemeji yenu akiendaga kwao basi familia yote mpaka mume wa dada yake wanakusanyika kula hapo hapo, sembe inapikwa kilo 3 mpaka 4 kwa mara moja, wali ndio kabisa unaweza sema Kuna sherehe na mtoaji wa pesa ni Mimi basi Huwa nakereka sana, mm ni mnyaturu
Tanga ushirikina sana yaani mtu akiumwa kidgo tu mawazo yashahamia kwenye kurogwa, hiyo ya uvivu ni kweli kabisa shemeji yenu akiendaga kwao basi familia yote mpaka mume wa dada yake wanakusanyika kula hapo hapo, sembe inapikwa kilo 3 mpaka 4 kwa mara moja, wali ndio kabisa unaweza sema Kuna sherehe na mtoaji wa pesa ni Mimi basi Huwa nakereka sana, mm ni mnyaturu
😅😅😅😅😅🖖🏾
 
Salaam wote:

Tanga ni moja ya mikoa mizuri sana kuliko hata Arusha na Kilimanjaro iliyopo jirani na Tanga yenyewe. Nazungumzia hali ya hewa na mazingira masafi, Tanga wapenda usafi, nikisema Pazuri naamanisha Mazingira.

Watu wa kutokea Tanga ni wakarimu na wastaarabu kwani wengi wao ni waislamu na wanastaha sana.

Uzuri wa watu wa Tanga wanaishi vizuri sana amani tele vitendo vya mauaji ni nadra sana hii ni kwa jamii ya walio pale mjini, vile vile hata wa vijijini wapo vizuri kuliko hata mjini, hivyo huishi vizuri.

Watu wa Tanga ni wastaarabu na wameridhika, licha ya yote wengi wanaotoka Tanga kwenda dar es salaam wakirudi makwao Tanga hubadilika hivyo kuchukiza wenzao walio salia Tanga huja na tabia za ajabu ajabu kama wizi, ushoga, na ulevi wa pombe na madawa ya kulevya.

Tanga vyombo vya usafiri huendeshwa kistaarabu tofauti na mikoa mingine, ajali huwa ni nadra pia, madereva wa tanga wako makini.

Watu wa Tanga wanaotii dini sio watu wakupenda dhuluma kabisa.

Tanga pia kuna wakiristo wastaarabu sana na wapole sana, nilifurahi kusali kanisa la chumba geni pale Tanga, na kule sahare pia parokia ya Mashahidi wa Uganda kama sikukosea.

Mapishi ya Tanga hayaja wahi kuboa abadani, msosi wali nazi, wali nazi kweli, msosi samaki nazi samaki nazi kweli....

Kwenye swala la kuoa Tanga wacha kabisa watoto wamejaaliwa mashallah! yaani wafungishwa ndoa ya mkeka unapewa mwana kwa masharti ya kuishi naye kimaadili ya dini.

Mpaka sasa Tanzania nzima hakuna sehemu penye wanawake walio wazidi wanawake wa Tanga. Hii research nina uhakika nayo 100%% wanawake wa kitanga sifa ziende kwao, maua yao tuwape 😍😍😍🤩🤩

With All That bado Tanga pako na kasumba hizi ambazo zinafanya pawe pachungu kama shubiri.

1. Maendeleo Tanga hakuna. Ushirikishwaji wa chachu za kuindeleza tanga hakuna wadau hata wa nje ya tanga.

2. Watu wa Tanga wana kauvivu fulani cha kutokuwajibika kupambana na changamoto ndogo ndogo, mfano sio watu wa kupenda kufanya vitu vikubwa kama ujenzi, au kuwa na utegemezi yaani familia kubwa yakaa pamoja na mtegemezi ni mmoja au wawili kwa watu 8 au 10 ambao ni watu wazima.

3. Tanga ni wabinafsi kiasi kwa wageni yaani hupenda kujitenga hivyo hakuna mchanganyiko wa biashara wala muingiliano wa watu.

4. Tanga kwenye biashara ni 0% hawajui kuuza wala hawana bidii na mteja ni wakarimu kwa wenyewe lakini kwa mteja si wakarimu.

Nimetoka tanga 2017 pakiwa pako na hali hiyo ninayo sema ila kwa sasa sijui.
Hivi ni kwan nini Tanga pazuri vile ila pako na dosari ile.....????

Tanga wanaanza weekend ijumaa....alafu kuamka kwa mishe mishe kitaa ni saa 5 asubuhi na kufunga maduka yao ni saa 10 jioni isipokuwa barabara ya 9 pale na 10 ndiyo kidogo kuna biashara.

Ukiwahi kuamka Tanga hukuti duka lilo wazi yaani saa mbili kamili asubuhi maduka yamefungwa 😁😁😁

Nilisahahu kuwa Tanga mjini hapo machizi ni wengi sana....lakini mapaka kama yote. Nyau nyingi.
Too much umwinyi is equals to 2-2
 
Tanga ushirikina sana yaani mtu akiumwa kidgo tu mawazo yashahamia kwenye kurogwa, hiyo ya uvivu ni kweli kabisa shemeji yenu akiendaga kwao basi familia yote mpaka mume wa dada yake wanakusanyika kula hapo hapo, sembe inapikwa kilo 3 mpaka 4 kwa mara moja, wali ndio kabisa unaweza sema Kuna sherehe na mtoaji wa pesa ni Mimi basi Huwa nakereka sana, mm ni mnyaturu
Nadhani wasambaa wanaongoza! Kama mmoja ana kazi au uwezo fulani ukoo mzima wanahamia hapo!
 
Ni pazuri hali ya hewa. Kuhusu wanawake kuwa makini sana. Wana mapenzi mazuri ila hawakai kwenye ndoa. Pia ukienda kikazi ukapata demu ukijieleza akakujua ukitoka unamwacha ana mimba. Kama u aheshashimu watoto basi ndio wako tena. Yeye anaendelea kulea wewe unatunza. Akiukizwa, babake yuko Dar au Arusha na sasa Dosoma. Hawachelewi kwa hilo.
 
Wenyeji wapunguze ushirikina
Tanga Ni nzuri sana ingekuwa inakimbizana na dar basi tu ushirikina umezidi
...Ni kweli. Zamani Tanga ilikuwa inakimbizana na Dar, lakini mwenzake Dar akasonga mbele yeye akabaki pale pale na kupitwa na 'watoto' ambao kwake walikuwa Hawasemi, Mwanza, Moshi, Mbeya, Morogoro n.k [emoji846] !
 
Tanga ushirikina sana yaani mtu akiumwa kidgo tu mawazo yashahamia kwenye kurogwa, hiyo ya uvivu ni kweli kabisa shemeji yenu akiendaga kwao basi familia yote mpaka mume wa dada yake wanakusanyika kula hapo hapo, sembe inapikwa kilo 3 mpaka 4 kwa mara moja, wali ndio kabisa unaweza sema Kuna sherehe na mtoaji wa pesa ni Mimi basi Huwa nakereka sana, mm ni mnyaturu
...Acha Uchoyo, Mnyaturu ! [emoji846]...
 
Nilijaribu kuishi Tangq mjini pale kwasababu niliipenda mandhari yake lakini nililazimika kurudi nyumbani Dar kwasababu maisha magumu sana pale. Tanga akieleweki mpaka vijana wazawa wa pale hawakai pale. Afadhari mikoa ya nyanda za juu kusini kuliko pwani ile.
 
Salaam wote:

Tanga ni moja ya mikoa mizuri sana kuliko hata Arusha na Kilimanjaro iliyopo jirani na Tanga yenyewe. Nazungumzia hali ya hewa na mazingira masafi, Tanga wapenda usafi, nikisema Pazuri naamanisha Mazingira.

Watu wa kutokea Tanga ni wakarimu na wastaarabu kwani wengi wao ni waislamu na wanastaha sana.

Uzuri wa watu wa Tanga wanaishi vizuri sana amani tele vitendo vya mauaji ni nadra sana hii ni kwa jamii ya walio pale mjini, vile vile hata wa vijijini wapo vizuri kuliko hata mjini, hivyo huishi vizuri.

Watu wa Tanga ni wastaarabu na wameridhika, licha ya yote wengi wanaotoka Tanga kwenda dar es salaam wakirudi makwao Tanga hubadilika hivyo kuchukiza wenzao walio salia Tanga huja na tabia za ajabu ajabu kama wizi, ushoga, na ulevi wa pombe na madawa ya kulevya.

Tanga vyombo vya usafiri huendeshwa kistaarabu tofauti na mikoa mingine, ajali huwa ni nadra pia, madereva wa tanga wako makini.

Watu wa Tanga wanaotii dini sio watu wakupenda dhuluma kabisa.

Tanga pia kuna wakiristo wastaarabu sana na wapole sana, nilifurahi kusali kanisa la chumba geni pale Tanga, na kule sahare pia parokia ya Mashahidi wa Uganda kama sikukosea.

Mapishi ya Tanga hayaja wahi kuboa abadani, msosi wali nazi, wali nazi kweli, msosi samaki nazi samaki nazi kweli....

Kwenye swala la kuoa Tanga wacha kabisa watoto wamejaaliwa mashallah! yaani wafungishwa ndoa ya mkeka unapewa mwana kwa masharti ya kuishi naye kimaadili ya dini.

Mpaka sasa Tanzania nzima hakuna sehemu penye wanawake walio wazidi wanawake wa Tanga. Hii research nina uhakika nayo 100%% wanawake wa kitanga sifa ziende kwao, maua yao tuwape 😍😍😍🤩🤩

With All That bado Tanga pako na kasumba hizi ambazo zinafanya pawe pachungu kama shubiri.

1. Maendeleo Tanga hakuna. Ushirikishwaji wa chachu za kuindeleza tanga hakuna wadau hata wa nje ya tanga.

2. Watu wa Tanga wana kauvivu fulani cha kutokuwajibika kupambana na changamoto ndogo ndogo, mfano sio watu wa kupenda kufanya vitu vikubwa kama ujenzi, au kuwa na utegemezi yaani familia kubwa yakaa pamoja na mtegemezi ni mmoja au wawili kwa watu 8 au 10 ambao ni watu wazima.

3. Tanga ni wabinafsi kiasi kwa wageni yaani hupenda kujitenga hivyo hakuna mchanganyiko wa biashara wala muingiliano wa watu.

4. Tanga kwenye biashara ni 0% hawajui kuuza wala hawana bidii na mteja ni wakarimu kwa wenyewe lakini kwa mteja si wakarimu.

Nimetoka tanga 2017 pakiwa pako na hali hiyo ninayo sema ila kwa sasa sijui.
Hivi ni kwan nini Tanga pazuri vile ila pako na dosari ile.....????

Tanga wanaanza weekend ijumaa....alafu kuamka kwa mishe mishe kitaa ni saa 5 asubuhi na kufunga maduka yao ni saa 10 jioni isipokuwa barabara ya 9 pale na 10 ndiyo kidogo kuna biashara.

Ukiwahi kuamka Tanga hukuti duka lilo wazi yaani saa mbili kamili asubuhi maduka yamefungwa 😁😁😁

Nilisahahu kuwa Tanga mjini hapo machizi ni wengi sana....lakini mapaka kama yote. Nyau nyingi.
Kweli ulipaswa kuwa bonge la jiji baada tu ya Dar lakini ndio hivyo serikali yetu huwa hainaga mipango ya kuendeleza miji inaachwa tu ikue hovyo hovyo.
 
Salaam wote:

Tanga ni moja ya mikoa mizuri sana kuliko hata Arusha na Kilimanjaro iliyopo jirani na Tanga yenyewe. Nazungumzia hali ya hewa na mazingira masafi, Tanga wapenda usafi, nikisema Pazuri naamanisha Mazingira.

Watu wa kutokea Tanga ni wakarimu na wastaarabu kwani wengi wao ni waislamu na wanastaha sana.

Uzuri wa watu wa Tanga wanaishi vizuri sana amani tele vitendo vya mauaji ni nadra sana hii ni kwa jamii ya walio pale mjini, vile vile hata wa vijijini wapo vizuri kuliko hata mjini, hivyo huishi vizuri.

Watu wa Tanga ni wastaarabu na wameridhika, licha ya yote wengi wanaotoka Tanga kwenda dar es salaam wakirudi makwao Tanga hubadilika hivyo kuchukiza wenzao walio salia Tanga huja na tabia za ajabu ajabu kama wizi, ushoga, na ulevi wa pombe na madawa ya kulevya.

Tanga vyombo vya usafiri huendeshwa kistaarabu tofauti na mikoa mingine, ajali huwa ni nadra pia, madereva wa tanga wako makini.

Watu wa Tanga wanaotii dini sio watu wakupenda dhuluma kabisa.

Tanga pia kuna wakiristo wastaarabu sana na wapole sana, nilifurahi kusali kanisa la chumba geni pale Tanga, na kule sahare pia parokia ya Mashahidi wa Uganda kama sikukosea.

Mapishi ya Tanga hayaja wahi kuboa abadani, msosi wali nazi, wali nazi kweli, msosi samaki nazi samaki nazi kweli....

Kwenye swala la kuoa Tanga wacha kabisa watoto wamejaaliwa mashallah! yaani wafungishwa ndoa ya mkeka unapewa mwana kwa masharti ya kuishi naye kimaadili ya dini.

Mpaka sasa Tanzania nzima hakuna sehemu penye wanawake walio wazidi wanawake wa Tanga. Hii research nina uhakika nayo 100%% wanawake wa kitanga sifa ziende kwao, maua yao tuwape 😍😍😍🤩🤩

With All That bado Tanga pako na kasumba hizi ambazo zinafanya pawe pachungu kama shubiri.

1. Maendeleo Tanga hakuna. Ushirikishwaji wa chachu za kuindeleza tanga hakuna wadau hata wa nje ya tanga.

2. Watu wa Tanga wana kauvivu fulani cha kutokuwajibika kupambana na changamoto ndogo ndogo, mfano sio watu wa kupenda kufanya vitu vikubwa kama ujenzi, au kuwa na utegemezi yaani familia kubwa yakaa pamoja na mtegemezi ni mmoja au wawili kwa watu 8 au 10 ambao ni watu wazima.

3. Tanga ni wabinafsi kiasi kwa wageni yaani hupenda kujitenga hivyo hakuna mchanganyiko wa biashara wala muingiliano wa watu.

4. Tanga kwenye biashara ni 0% hawajui kuuza wala hawana bidii na mteja ni wakarimu kwa wenyewe lakini kwa mteja si wakarimu.

Nimetoka tanga 2017 pakiwa pako na hali hiyo ninayo sema ila kwa sasa sijui.
Hivi ni kwan nini Tanga pazuri vile ila pako na dosari ile.....????

Tanga wanaanza weekend ijumaa....alafu kuamka kwa mishe mishe kitaa ni saa 5 asubuhi na kufunga maduka yao ni saa 10 jioni isipokuwa barabara ya 9 pale na 10 ndiyo kidogo kuna biashara.

Ukiwahi kuamka Tanga hukuti duka lilo wazi yaani saa mbili kamili asubuhi maduka yamefungwa 😁😁😁

Nilisahahu kuwa Tanga mjini hapo machizi ni wengi sana....lakini mapaka kama yote. Nyau nyingi.
Kwa kutusagià huko lazima tutakutumia zongo uhangaike nalo.
 
Tanga ushirikina sana yaani mtu akiumwa kidgo tu mawazo yashahamia kwenye kurogwa, hiyo ya uvivu ni kweli kabisa shemeji yenu akiendaga kwao basi familia yote mpaka mume wa dada yake wanakusanyika kula hapo hapo, sembe inapikwa kilo 3 mpaka 4 kwa mara moja, wali ndio kabisa unaweza sema Kuna sherehe na mtoaji wa pesa ni Mimi basi Huwa nakereka sana, mm ni mnyaturu
Mkuu hapo kwenye ushirikina ni hulka za baadhi ya watu, na kuhusu maendeleo ya mji hata serikali na viongozi waliopo wanachangia sana kwa kutokuipa kipaumbele Tanga. Na watu wanaridhika mapema sana kiasi kwamba mtu akiwa na uhakika wa kula na kulala haumizi akili yake kabisa! Mjini pale wengi wanaringia majumba ya urithi! Pia kuna fitna na chuki sana kwenye nyanja mbalimbali mfano siasa, michezo n.k
 
Back
Top Bottom