Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sis huku Dar tushaichoka.Tanga: Ukame ulikuwa unatishia maisha ya watu namifugo. Sasa hivi at 8. 30 inanyesha mvua kubwa ya kutosha kwa leo. Radi, ngurumo kama kawa. Hatujui kma itaendelea au ndiyo inachombeza tu.
Huko kwenu vipi?
msiichoke please, lima kwa wingiSis huku Dar tushaichoka.
Huku Inshallah tangu January si habaTanga: Ukame ulikuwa unatishia maisha ya watu namifugo. Sasa hivi at 8. 30 inanyesha mvua kubwa ya kutosha kwa leo. Radi, ngurumo kama kawa. Hatujui kma itaendelea au ndiyo inachombeza tu.
Huko kwenu vipi?
Dar huwa hakuna mashamba mkuu.nyinyi huko Tanga limeni mtuletee chakulamsiichoke please, lima kwa wingi
Kwa mapenzi ya Mungu tumepata mvua.....Samahan retired unajua maana ya insha'Allah au umetype tu
Ngoja nitafsir ulichoandikaSamahan retired unajua maana ya insha'Allah au umetype tu
Tafsir sahihi ni mungu akipenda au mungu akitaka All in all hongeren tanga Kwa kupata mvuaKwa mapenzi ya Mungu tumepata mvua.....
asante kwa kunilimisha, but see hereNgoja nitafsir ulichoandika
" Mungu akipenda tumepata mvua " imekua sentesi tata
Noted. Basi nitaomba mods wanirekebishei kwa neno lipi la islamTafsir sahihi ni mungu akipenda au mungu akitaka
sisis tulikuwa tunakufa kwa joto na ukame wa wanyama na watuHuku Inshallah tangu January si haba
Tatizo Dar mnalima sasa, mvua mnaiangalia tu....kungekuwa na uwezo ingehamisiwa labda Morogoro.Sis huku Dar tushaichoka.
Hapo neno zuri zaidi ni mashaallahNoted. Basi nitaomba mods wanirekebishei kwa neno lipi la islam
Madale pakavu sanaSis huku Dar tushaichoka.
ASANTE SANA, NOTED WITH THANKSHapo neno zuri zaidi ni mashaallah
"Alilopenda Allah limetokea"
Kwa hiyo anadanganya. jana niliongea na kijana wangu Dar anasema kameparaza tu si mvua ya maanaMadale pakavu sana
hatar tupu jmani! Maisha vipi hapo wamesalimika? Mali?Hali katika.mto muhuwesi tunduru...aloo river ruvuma ijiandae...gauge mpk ya Saba imefunikwa sio mchezo....leo pia Lindi imetandika sio poaView attachment 2119498