FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 38,920
- 44,970
KachanganyaNgoja nitafsir ulichoandika
" Mungu akipenda tumepata mvua " imekua sentesi tata
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
KachanganyaNgoja nitafsir ulichoandika
" Mungu akipenda tumepata mvua " imekua sentesi tata
Nilienda TA desemba mbona njia nzima ilikuwa inanyesha mvua? Unazungumzia tanga ipi?Tanga: Ukame ulikuwa unatishia maisha ya watu namifugo. Sasa hivi at 8. 30 inanyesha mvua kubwa ya kutosha kwa leo. Radi, ngurumo kama kawa. Hatujui kma itaendelea au ndiyo inachombeza tu.
Huko kwenu vipi?
Dar ya ajabu sana. Unaweza kumwambia mtu nitachelewa kufika sababu ya mvua akahisi unamdanganya. Leo mimi nimetoka kununua maji licha ya wingu kutanda hadi kuwa giza.Nimetoka Mbezi Mwisho kupitia Kimara-Mawasiliano-Mwenge kote kuna mvua kubwa ilikuwa inanyesha.
Ila Madale, Bunju, Tegeta, Wazo ni pakavu ila wingu limetanda na upepo hamna
vilinyesha vimvua vidogo ambavyo havikuwa na maana yoyote kAtka kilimo....Nilienda TA desemba mbona njia nzima ilikuwa inanyesha mvua? Unazungumzia tanga ipi?
Naona imekata mkuu ila jion imengia hali ya hewa ya joto imepoteaTanga: Ukame ulikuwa unatishia maisha ya watu namifugo. Sasa hivi at 8. 30 inanyesha mvua kubwa ya kutosha kwa leo. Radi, ngurumo kama kawa. Hatujui kma itaendelea au ndiyo inachombeza tu.
Huko kwenu vipi?