Sildenafil Citrate
JF-Expert Member
- Jan 29, 2021
- 577
- 2,595
Wanaume wametajwa kuwa kikwazo kikubwa kwa wanawake wanaonyonyesha kwa kutokutoa muda wa kupumzika vizuri pamoja na kusababisha stress zinazofanya washindwe kuzalisha maziwa ya kutosha kunyonyesha watoto.
Wanawake wilayani Handeni mkoani Tanga wametoa malalamiko hayo mbele ya mkuu wao wa wilaya Mhe. Siriel Mchembe ambao pamoja na madai hayo, wamedai kuwa baadhi ya wanaume hao huenda mbali zaidi kwa kunyonya maziwa yao hasa wakati wa usiku.
DC Mchembe amekemea tabia hii ya wanaume na kuwaomba waache mara moja pamoja na kuwasihi wawapatie muda wa kupumzika wanawake ili watengeneze chakula cha kutoshea mahitaji ya watoto.
Chanzo: Clouds TV
Wanawake wilayani Handeni mkoani Tanga wametoa malalamiko hayo mbele ya mkuu wao wa wilaya Mhe. Siriel Mchembe ambao pamoja na madai hayo, wamedai kuwa baadhi ya wanaume hao huenda mbali zaidi kwa kunyonya maziwa yao hasa wakati wa usiku.
DC Mchembe amekemea tabia hii ya wanaume na kuwaomba waache mara moja pamoja na kuwasihi wawapatie muda wa kupumzika wanawake ili watengeneze chakula cha kutoshea mahitaji ya watoto.
Chanzo: Clouds TV