Tanga: Wanawake walalamika kunyonywa maziwa na wanaume, watoto hawashibi

Kwahyo hoja haina mashiko mkuu.. mtoto kama ni utapia mlo apate tuu 😁 USIPANGIWEE
Wewe unaanzaje kuingilia falagha ya watu🤔🤔wakati wanatongozana mpaka wakakubaliana kuishi wote wewe ulikuwepo😵😵😵😵
 
😂😂😂 nyie hivi ni kweli
Daaaa! mie nilijribu kunya eebane weee!! wanawake mmejaliwa sana!!! lkn sasa na nyie mnapendaga sana hako ka mchezi sijui kuna connection gani na papuchi???

ila yanachangamsha sana wajameni mweee!! huchovu woote hakuna! nguvu za kutafuta pesa zinakuja maradufuuuu! halafu yana kismart sana!! wengi hufanya hivi...... me unampa ya ng'ombe yeye anakupa yake!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…