Ndebile
JF-Expert Member
- Sep 14, 2011
- 7,745
- 11,267
Siku ukisikia idadi ya watu waliochanjwa chanjo za uviko kuanzia Sept, Oct na Novemba mwaka huu utazimia...hii ndio Tanzania iliyofunguliwa!Yanarudi yale yale ya Covid-19,kwahiyo kumbe kuna michezo ya kupikwa takwimu ili muonekane wagonjwa wengi,watu wapige hela.
Jiwe alikuwa sahihi kuzuia baadhi ya NGO hapa nchini. iCap, Marie Stopes, nk wanachokifanya hapa Kanda ya ziwa Mungu anawaona!
Ona sasa watumishi wameamua kupika takwimu za waathirika kisa 20,000/= kwa siku, huku WHO inatuweka kwenye "nchi zenye wahonjwa wengi wa ukimwi" Kisha Madelu anaenda kukopa pesa za "kuongeza kasi ya mapambano dhidi ya ukimwi" na kununua ma vx V8!