Kirchhoff
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 5,735
- 8,541
Nielezee zaidi mkuuViko vingi sana mpaka hela ndugu .
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nielezee zaidi mkuuViko vingi sana mpaka hela ndugu .
Sio muda watasema Tanzania kuna visa kadhaa vya Ebola ili wale pesa ya Ebola.Au ndiyo maana wahusika wanajitahidi wagonjwa wa Covid-19 wawe wengi? Hivi vitu hewa vimerudi kwa kasi ya mwanga. Rasilimali za Bongo zimeanza tena kupigika kama ngoma.
a.k.a urefu wa kambaMambo ya kujiongeza
Ova
Akitangaza tu, atatimuliwa saa saba usiku kama yule wa Zika virus 🙂Sio muda watasema Tanzania kuna visa kadhaa vya Ebola ili wale pesa ya Ebola.
Hata mm nililijuwa hili kuwa takwimu za bongo Ni za mapishi never trustAsilimia 99 ya Data Tanzania ni za KUPIKA.
Hivi hujiulizi kwanini takwimu za Watanzania mpaka helicopter inazungukaKumbe zile takwimu tanskiaga sijui mkoa flani unaongoza kwa vvu,mara mwaka flani maambukizi yameongezeka.
Kumbe data za kupikwa.bongo nyoso
Hilo ndio jibu pigia mstari!Yanarudi yale yale ya Covid-19,kwahiyo kumbe kuna michezo ya kupikwa takwimu ili muonekane wagonjwa wengi,watu wapige hela...!
Hasa Jiwe alijua kupika data aiseeAsilimia 99 ya Data Tanzania ni za KUPIKA.
Ina maana Amref wanajua nini kinaendelea sasa hao watu wa afya wanasajili vipi watu hewa?Amref wenyewe wezi wanawapiga wafadhili wao (Wazungu). Mla huliwa bro
Amref ni mnufaika wa kwanza!! Sema wao hawataki kuchafuka mikono yao, Takukuru huo uchunguzi walikuwa wanamchunguza nani? Uchunguzi hewa!Nataka Kujua, Je zaidi Yaa ARV kuna kingine waathirika wa HIV wananufaika na Fedha za Amref?
Urefu wa kamba, wito wa rais!Bongo hii kuanzia Juu mpaka chini ni upigaji tu.