TANGA: Watumishi wabainika kuongeza idadi ya Wagonjwa wa VVU ili kunufaika na Fedha za AMREF

TANGA: Watumishi wabainika kuongeza idadi ya Wagonjwa wa VVU ili kunufaika na Fedha za AMREF

Kumbe zile takwimu tanskiaga sijui mkoa flani unaongoza kwa vvu,mara mwaka flani maambukizi yameongezeka.

Kumbe data za kupikwa.bongo nyoso
 
Kumbe zile takwimu tanskiaga sijui mkoa flani unaongoza kwa vvu,mara mwaka flani maambukizi yameongezeka.

Kumbe data za kupikwa.bongo nyoso
Hivi hujiulizi kwanini takwimu za Watanzania mpaka helicopter inazunguka
Wametoa takwimu kwa mbwembwe na bashasha kwa furaha kwa sababu hela za misaada zinaongezeka
 
Baada ya kufilisi mfuko wa NHIF sasa hivi wamehamia kwenye mambo ya ukimwi hii nchi kila mtu anakula kwa urefu wa kamba yake.
 
Kama zilipikwa data za coloona ishindikane hii ya maukimwi

Idadi tu watu sijaelewa mpaka sasa et mkoa wenye vijiji vingi kama mbeya inapigwa idadi ya watu na mkoa kama mara
 
Ngoja na Mimi nianzishe chama Cha vibarua niwapige vibarua wenzangu. Naona huu ushakuwa utaratibu rasmi.
 
Nataka Kujua, Je zaidi Yaa ARV kuna kingine waathirika wa HIV wananufaika na Fedha za Amref?
Amref ni mnufaika wa kwanza!! Sema wao hawataki kuchafuka mikono yao, Takukuru huo uchunguzi walikuwa wanamchunguza nani? Uchunguzi hewa!
 
Je wangonjwa hewa wa VVU Mkoa wa Tanga nao wana matarajio ya kuja kurudishiwa miamsla yao kama wa vyeti feki?
72FA18F9-4780-48DF-9985-3AB405AF5253.jpeg
 
Back
Top Bottom