DOKEZO Tanga: Wazee wanufaika wa TASAF wanafanyishwa kazi ndio wanapewa hela. Hivi ndivyo Serikali ilivyoelekeza?

DOKEZO Tanga: Wazee wanufaika wa TASAF wanafanyishwa kazi ndio wanapewa hela. Hivi ndivyo Serikali ilivyoelekeza?

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'

KwetuKwanza

Member
Joined
Mar 13, 2023
Posts
82
Reaction score
150
Mimi ni Mkazi wa Mkoa wa Tanga, Wilaya Kilindi, Kijiji cha Kikunde naona huku wazee wanapata shida sana.

Wale wazee ambao hawajiwezi wanaopokea pesa za TASAF wamegeuzwa makatapila huku wanatengeneza barabara za mitaa sio mchezo.

Najiuliza kama Serikali inataka kutuulia wazee wetu waseme au ni viongozi wanahujumu Serikali basi waje waweke mambo sawa maana wanafanyishwa kazi alfajiri.

Ukiamka asubuhi unakuta barabara imenyooka utafikiri mkandarasi kanyoosha.....au Serikali imetoa fedha za barabara za mitaa huku viongozi madiwani wamekula?
 
Mimi ni Mkazi wa Mkoa wa Tanga, Wilaya Kilindi, Kijiji cha Kikunde naona huku wazee wanapata shida sana.

Wale wazee ambao hawajiwezi wanaopokea pesa za TASAF wamegeuzwa makatapila huku wanatengeneza barabara za mitaa sio mchezo.

Najiuliza kama Serikali inataka kutuulia wazee wetu waseme au ni viongozi wanahujumu Serikali basi waje waweke mambo sawa maana wanafanyishwa kazi alfajiri.

Ukiamka asubuhi unakuta barabara imenyooka utafikiri mkandarasi kanyoosha.....au Serikali imetoa fedha za barabara za mitaa huku viongozi madiwani wamekula?
Hata huku nilipo wanawafanyisha hizo kazi za kulima barabara
 
Mimi ni Mkazi wa Mkoa wa Tanga, Wilaya Kilindi, Kijiji cha Kikunde naona huku wazee wanapata shida sana.

Wale wazee ambao hawajiwezi wanaopokea pesa za TASAF wamegeuzwa makatapila huku wanatengeneza barabara za mitaa sio mchezo.

Najiuliza kama Serikali inataka kutuulia wazee wetu waseme au ni viongozi wanahujumu Serikali basi waje waweke mambo sawa maana wanafanyishwa kazi alfajiri.

Ukiamka asubuhi unakuta barabara imenyooka utafikiri mkandarasi kanyoosha.....au Serikali imetoa fedha za barabara za mitaa huku viongozi madiwani wamekula?
Nadhani walikuwa na lengo Jema kuleta maendeleo yao wenyewe .....sio kupewa bure kabisa issue wengine wazee sana....hapo ndio contradictions
 
Duh hatari sana hiyo mradi nijuavyo Mimi ni kweli hipo lakini wasimamizi wamepewa maelekezo wawachague wanufaika wa TASAF wenye nguvu ndo wafanye hiyo miradi na si Bure kunapesa wanalipwa ni kama sh elfu 3 kwa masaa matatu tu na kwa wanataka na wanaojiweza sio lazima. mbaka miradi waliopangiwa kuisha nafikiri hapo makosa yamefanywa na wasimamizi wa chini kuchagua watu wasio na sifa kufanya hiyo miradi. Hila Nia ya serikali kutoa hiyo miradi kwa wanufaika wa tasaf wenye nguvu na umri mdogo kuboost vipato vyao na si kuwatesa ndugu ni makosa tu yamefanyika hapo yatarekebishwa tu
 
Mimi ni Mkazi wa Mkoa wa Tanga, Wilaya Kilindi, Kijiji cha Kikunde naona huku wazee wanapata shida sana.

Wale wazee ambao hawajiwezi wanaopokea pesa za TASAF wamegeuzwa makatapila huku wanatengeneza barabara za mitaa sio mchezo.

Najiuliza kama Serikali inataka kutuulia wazee wetu waseme au ni viongozi wanahujumu Serikali basi waje waweke mambo sawa maana wanafanyishwa kazi alfajiri.

Ukiamka asubuhi unakuta barabara imenyooka utafikiri mkandarasi kanyoosha.....au Serikali imetoa fedha za barabara za mitaa huku viongozi madiwani wamekula?
Lete picha tuwaone hao wazee unaosema wametumikishwa, kapicha itapendeza sana
 
Lete picha tuwaone hao wazee unaosema wametumikishwa, kapicha itapendeza sana
stock-photo-indian-old-man-at-years-1444793774~2.jpg
 
Mimi ni Mkazi wa Mkoa wa Tanga, Wilaya Kilindi, Kijiji cha Kikunde naona huku wazee wanapata shida sana.

Wale wazee ambao hawajiwezi wanaopokea pesa za TASAF wamegeuzwa makatapila huku wanatengeneza barabara za mitaa sio mchezo.

Najiuliza kama Serikali inataka kutuulia wazee wetu waseme au ni viongozi wanahujumu Serikali basi waje waweke mambo sawa maana wanafanyishwa kazi alfajiri.

Ukiamka asubuhi unakuta barabara imenyooka utafikiri mkandarasi kanyoosha.....au Serikali imetoa fedha za barabara za mitaa huku viongozi madiwani wamekula?
Watu wakilindi wazigua na wanguo ukitaka kugbana nao wambie wamchague mtu wa chama pinzani mbona watakuloga,hacha wakomeshwe
 
Mamlaka za huko zinakiuka haki za wazee na haki ya kuishi kwa sababu kazi ngumu zinaweza kumuwahisha kwenye kifo mzee.

Ukiwa mzee mwili unakuwa umechoka ndio maana nchi za watu wenye akili zinathamini wazee.

Ukizeeka unatakiwa kufanya kazi ndogo ndogo kama sehemu ya mazoezi na siyo kazi nzito kama hizo za kulima barabara.

Sent from my Infinix X612 using JamiiForums mobile app
 
Mimi ni Mkazi wa Mkoa wa Tanga, Wilaya Kilindi, Kijiji cha Kikunde naona huku wazee wanapata shida sana.

Wale wazee ambao hawajiwezi wanaopokea pesa za TASAF wamegeuzwa makatapila huku wanatengeneza barabara za mitaa sio mchezo.

Najiuliza kama Serikali inataka kutuulia wazee wetu waseme au ni viongozi wanahujumu Serikali basi waje waweke mambo sawa maana wanafanyishwa kazi alfajiri.

Ukiamka asubuhi unakuta barabara imenyooka utafikiri mkandarasi kanyoosha.....au Serikali imetoa fedha za barabara za mitaa huku viongozi madiwani wamekula?
CCM haina huruma

Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
 
Vijana, watu wakubwa na wazee wanaangamia. Hii Tanzania kila mtu hataki kazi eti ni utumwa
 
Mimi ni Mkazi wa Mkoa wa Tanga, Wilaya Kilindi, Kijiji cha Kikunde naona huku wazee wanapata shida sana.

Wale wazee ambao hawajiwezi wanaopokea pesa za TASAF wamegeuzwa makatapila huku wanatengeneza barabara za mitaa sio mchezo.

Najiuliza kama Serikali inataka kutuulia wazee wetu waseme au ni viongozi wanahujumu Serikali basi waje waweke mambo sawa maana wanafanyishwa kazi alfajiri.

Ukiamka asubuhi unakuta barabara imenyooka utafikiri mkandarasi kanyoosha.....au Serikali imetoa fedha za barabara za mitaa huku viongozi madiwani wamekula?
Inasaidia sana kuwatoa uvivu. Ukweli halisi TASAF 3 na 4 ni mwiba mkali kwa Serekali yetu. Unatengeneza Masikini wengi zaidi
 
Mimi ni Mkazi wa Mkoa wa Tanga, Wilaya Kilindi, Kijiji cha Kikunde naona huku wazee wanapata shida sana.

Wale wazee ambao hawajiwezi wanaopokea pesa za TASAF wamegeuzwa makatapila huku wanatengeneza barabara za mitaa sio mchezo.

Najiuliza kama Serikali inataka kutuulia wazee wetu waseme au ni viongozi wanahujumu Serikali basi waje waweke mambo sawa maana wanafanyishwa kazi alfajiri.

Ukiamka asubuhi unakuta barabara imenyooka utafikiri mkandarasi kanyoosha.....au Serikali imetoa fedha za barabara za mitaa huku viongozi madiwani wamekula?
WANAFANYA usiku?
 
Kuna watu wana laana jmn hao watu ni kama baba zao na mama zao ila hawaoni aibu.Hiyo laana itarudi kwa watoto wao
 
hii nchi kuna watu wanakwenda kanisani na misikitini lakini mwisho wa siku sidhani kama inawasaidia, ni dhambi sana aisee.
 
Back
Top Bottom