Usimsahau figo76 naye ni mdangaji mpaka anawapelekea Wateja wa mwanza KWasiishie kwa hao wazee hadi wadangaji kina cute wife wafanyishwe kazi ngumu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usimsahau figo76 naye ni mdangaji mpaka anawapelekea Wateja wa mwanza KWasiishie kwa hao wazee hadi wadangaji kina cute wife wafanyishwe kazi ngumu
Wasiishie kwa hao wazee hadi wadangaji kina cute wife wafanyishwe kazi ngumu
Ndio hakuna Cha Bure,ila sio sawa maana wanawalimisha BarabaraMimi ni Mkazi wa Mkoa wa Tanga, Wilaya Kilindi, Kijiji cha Kikunde naona huku wazee wanapata shida sana.
Wale wazee ambao hawajiwezi wanaopokea pesa za TASAF wamegeuzwa makatapila huku wanatengeneza barabara za mitaa sio mchezo.
Najiuliza kama Serikali inataka kutuulia wazee wetu waseme au ni viongozi wanahujumu Serikali basi waje waweke mambo sawa maana wanafanyishwa kazi alfajiri.
Ukiamka asubuhi unakuta barabara imenyooka utafikiri mkandarasi kanyoosha.....au Serikali imetoa fedha za barabara za mitaa huku viongozi madiwani wamekula?
Mnapoambiwa wenye akili mnapojiweka pembeni kugombea na kuwaachia mburura haya ndiyo matokeo yake.Mimi ni Mkazi wa Mkoa wa Tanga, Wilaya Kilindi, Kijiji cha Kikunde naona huku wazee wanapata shida sana.
Wale wazee ambao hawajiwezi wanaopokea pesa za TASAF wamegeuzwa makatapila huku wanatengeneza barabara za mitaa sio mchezo.
Najiuliza kama Serikali inataka kutuulia wazee wetu waseme au ni viongozi wanahujumu Serikali basi waje waweke mambo sawa maana wanafanyishwa kazi alfajiri.
Ukiamka asubuhi unakuta barabara imenyooka utafikiri mkandarasi kanyoosha.....au Serikali imetoa fedha za barabara za mitaa huku viongozi madiwani wamekula?
kiswahili si unijui bali ni hunijuiJiheshimu sikujui unijui
Wabongo tunapepeta sana midomo..Watanzania hatuna jema kwakweli na mabingwa sana wa kupepeta midomo na kutia chumvi maneno. Kama members wa JF tuwekeze kwenye kuzijua sera mbalimbali za Taifa na jinsi zinavyotekelezwa. Siyo kila neno pyeeeeepyeeeeeeee. Kweli sie ni MAKASUKU ndugu zetu hawakukosea.