DOKEZO Tanga: Wazee wanufaika wa TASAF wanafanyishwa kazi ndio wanapewa hela. Hivi ndivyo Serikali ilivyoelekeza?

DOKEZO Tanga: Wazee wanufaika wa TASAF wanafanyishwa kazi ndio wanapewa hela. Hivi ndivyo Serikali ilivyoelekeza?

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Mbona ndio sera ya TASAF tangu kuanzishwa kwake,yaani Kuna percent mwananchi atachangia Katika kuleta maendeleo kwenye eneo husika,na m hango wa mwananchi sio wa pesa Ila ni wa nguvukazi.....
 
Watanzania hatuna jema kwakweli na mabingwa sana wa kupepeta midomo na kutia chumvi maneno. Kama members wa JF tuwekeze kwenye kuzijua sera mbalimbali za Taifa na jinsi zinavyotekelezwa. Siyo kila neno pyeeeeepyeeeeeeee. Kweli sie ni MAKASUKU ndugu zetu hawakukosea.
 
Wasiishie kwa hao wazee hadi wadangaji kina cute wife wafanyishwe kazi ngumu

[emoji1787][emoji1787][emoji1787] unakoelekea utatembea unaongea peke yako ukiwa unanitaja, wahi haraka nikupe dawa mgonjwa wangu
 
Mimi ni Mkazi wa Mkoa wa Tanga, Wilaya Kilindi, Kijiji cha Kikunde naona huku wazee wanapata shida sana.

Wale wazee ambao hawajiwezi wanaopokea pesa za TASAF wamegeuzwa makatapila huku wanatengeneza barabara za mitaa sio mchezo.

Najiuliza kama Serikali inataka kutuulia wazee wetu waseme au ni viongozi wanahujumu Serikali basi waje waweke mambo sawa maana wanafanyishwa kazi alfajiri.

Ukiamka asubuhi unakuta barabara imenyooka utafikiri mkandarasi kanyoosha.....au Serikali imetoa fedha za barabara za mitaa huku viongozi madiwani wamekula?
Ndio hakuna Cha Bure,ila sio sawa maana wanawalimisha Barabara
 
Mimi ni Mkazi wa Mkoa wa Tanga, Wilaya Kilindi, Kijiji cha Kikunde naona huku wazee wanapata shida sana.

Wale wazee ambao hawajiwezi wanaopokea pesa za TASAF wamegeuzwa makatapila huku wanatengeneza barabara za mitaa sio mchezo.

Najiuliza kama Serikali inataka kutuulia wazee wetu waseme au ni viongozi wanahujumu Serikali basi waje waweke mambo sawa maana wanafanyishwa kazi alfajiri.

Ukiamka asubuhi unakuta barabara imenyooka utafikiri mkandarasi kanyoosha.....au Serikali imetoa fedha za barabara za mitaa huku viongozi madiwani wamekula?
Mnapoambiwa wenye akili mnapojiweka pembeni kugombea na kuwaachia mburura haya ndiyo matokeo yake.
 
Watanzania hatuna jema kwakweli na mabingwa sana wa kupepeta midomo na kutia chumvi maneno. Kama members wa JF tuwekeze kwenye kuzijua sera mbalimbali za Taifa na jinsi zinavyotekelezwa. Siyo kila neno pyeeeeepyeeeeeeee. Kweli sie ni MAKASUKU ndugu zetu hawakukosea.
Wabongo tunapepeta sana midomo..
 
Back
Top Bottom