johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkoa maskini ni KageraSikuwahi kuamini kwamba Tanzania bado kuna Nyumba za udongo lakini huku Tanga unakutana nazo nyingi tu
Handeni na Korogwe walau Matajiri wa kichagga wamechangamsha
Huu mkoa uliathiriwa na siasa za Manamba enzi za Mkoloni
Bwashee Retired upo Tanga IPI tukuletee KADI? 😃
Kwenu Iringa kuna maendeleo gani. Niambie Iringa ukiacha zile squater za Mafinga ni wilaya ipi ina makao makuu yake yana hadhi ya mji (Town council?) Tanga wilaya ya Korogwe utalinganisha na wilaya ipi huko kwenu? Bado Handeni ni Town council. Tanga ni jiji, kale kamji kenu kanatakiwa kashushwe hadhi ni kadogo kamedumaa. We Tanga umefika wapi au unaishi kwa hisia! Iringa ingekuwa na maendeleo watoto wangekuwa na udumavu wa lishe? Mmeiga upumbavu kwa wachaga siyo? Nyie waandunje bado sanaSikuwahi kuamini kwamba Tanzania bado kuna Nyumba za udongo lakini huku Tanga unakutana nazo nyingi tu
Handeni na Korogwe walau Matajiri wa kichagga wamechangamsha
Huu mkoa uliathiriwa na siasa za Manamba enzi za Mkoloni
Bwashee Retired upo Tanga IPI tukuletee KADI? 😃
Magoti zote za Dsm zimejaa mabinti kutokea huko.Wasukuma mikokoteni wote wa Kariakoo na masoko yote ya DSM wanatokea Tanga
Eti matajiri ya kichaga, we bwege umejaa ukabila, wachaga washindwe kuchangamsha kwao wachangamshe kwa watu? We jinga laoSikuwahi kuamini kwamba Tanzania bado kuna Nyumba za udongo lakini huku Tanga unakutana nazo nyingi tu
Handeni na Korogwe walau Matajiri wa kichagga wamechangamsha
Huu mkoa uliathiriwa na siasa za Manamba enzi za Mkoloni
Bwashee Retired upo Tanga IPI tukuletee KADI? 😃
Maelezo Yako yote yanaunga mkono Hoja yanguKwenu Iringa kuna maendeleo gani. Niambie Iringa ukiacha zile squater za Mafinga ni wilaya ipi ina makao makuu yake yana hadhi ya mji (Town council?) Tanga wilaya ya Korogwe utalinganisha na wilaya ipi huko kwenu? Bado Handeni ni Town council. Tanga ni jiji, kale kamji kenu kanatakiwa kashushwe hadhi ni kadogo kamedumaa. We Tanga umefika wapi au unaishi kwa hisia! Iringa ingekuwa na maendeleo watoto wangekuwa na udumavu wa lishe? Mmeiga upumbavu kwa wachaga siyo? Nyie waandunje bado sana
Usipanic 😂Eti matajiri ya kichaga, we bwege umejaa ukabila, wachaga washindwe kuchangamsha kwao wachangamshe kwa watu? We jinga lao
😂😂😂Wasukuma mikokoteni wote wa Kariakoo na masoko yote ya DSM wanatokea Tanga
Magoti zote za Dsm zimejaa mabinti kutokea huko.
Eti matajiri ya kichaga, we bwege umejaa ukabila, wachaga washindwe kuchangamsha kwao wachangamshe kwa watu? We jinga lao
Wamewaonea huruma wamewachangamsha kidogoEti matajiri ya kichaga, we bwege umejaa ukabila, wachaga washindwe kuchangamsha kwao wachangamshe kwa watu? We jinga lao
Ulishafika Singida wee !Sikuwahi kuamini kwamba Tanzania bado kuna Nyumba za udongo lakini huku Tanga unakutana nazo nyingi tu
Handeni na Korogwe walau Matajiri wa kichagga wamechangamsha
Huu mkoa uliathiriwa na siasa za Manamba enzi za Mkoloni
Bwashee Retired upo Tanga IPI tukuletee KADI? 😃
Nilifika enzi za Mbunge Nalaila KiulaUlishafika Singida wee !
Ukishangaa ya Tanga utaona ya Singida !
Unawatania watani zetu kwa kuwa kule Iringa hamjaathiriwa na mifumo ya manamba wa kikoloni lakini sijui ni kipi kilichopelekea muwe na athari ya mabinti wa huko kuwa wasaidizi wa kazi za ndani huku mijini.....Sikuwahi kuamini kwamba Tanzania bado kuna Nyumba za udongo lakini huku Tanga unakutana nazo nyingi tu
Handeni na Korogwe walau Matajiri wa kichagga wamechangamsha
Huu mkoa uliathiriwa na siasa za Manamba enzi za Mkoloni
Bwashee Retired upo Tanga IPI tukuletee KADI? 😃
Sawa....Huwa wanasema ni Watu wa Tanga ili muwakubali kirahisi sababu wanawake wa kitanga kwa wastani wanakubalika na wanaume wengi kwenye jamii .
Ile ni Mbinu ya kuvutia soko lao tu.
Fuatilia uone.
Cheki sasa chuki yako kwa wachagga inakutoa ufahamu, mtu anaongelea tanga wewe unamwambia kaiga wachagga upumbavu, kuna upumbavu zaidi ya huo? Jinga kabisaKwenu Iringa kuna maendeleo gani. Niambie Iringa ukiacha zile squater za Mafinga ni wilaya ipi ina makao makuu yake yana hadhi ya mji (Town council?) Tanga wilaya ya Korogwe utalinganisha na wilaya ipi huko kwenu? Bado Handeni ni Town council. Tanga ni jiji, kale kamji kenu kanatakiwa kashushwe hadhi ni kadogo kamedumaa. We Tanga umefika wapi au unaishi kwa hisia! Iringa ingekuwa na maendeleo watoto wangekuwa na udumavu wa lishe? Mmeiga upumbavu kwa wachaga siyo? Nyie waandunje bado sana
Acha kulinganisha Iringa na vitu vya hovyo! 🚮🚮🚮Sikuwahi kuamini kwamba Tanzania bado kuna Nyumba za udongo lakini huku Tanga unakutana nazo nyingi tu
Handeni na Korogwe walau Matajiri wa kichagga wamechangamsha
Huu mkoa uliathiriwa na siasa za Manamba enzi za Mkoloni
Bwashee Retired upo Tanga IPI tukuletee KADI? 😃