Tanga Wilaya nyingi na Wabunge wengi lakini Watu wake Maskini tofauti na kwetu Iringa

Tanga Wilaya nyingi na Wabunge wengi lakini Watu wake Maskini tofauti na kwetu Iringa

Sikuwahi kuamini kwamba Tanzania bado kuna Nyumba za udongo lakini huku Tanga unakutana nazo nyingi tu

Handeni na Korogwe walau Matajiri wa kichagga wamechangamsha

Huu mkoa uliathiriwa na siasa za Manamba enzi za Mkoloni

Bwashee Retired upo Tanga IPI tukuletee KADI? 😃
Mkoa maskini ni Kagera
 
Sikuwahi kuamini kwamba Tanzania bado kuna Nyumba za udongo lakini huku Tanga unakutana nazo nyingi tu

Handeni na Korogwe walau Matajiri wa kichagga wamechangamsha

Huu mkoa uliathiriwa na siasa za Manamba enzi za Mkoloni

Bwashee Retired upo Tanga IPI tukuletee KADI? 😃
Kwenu Iringa kuna maendeleo gani. Niambie Iringa ukiacha zile squater za Mafinga ni wilaya ipi ina makao makuu yake yana hadhi ya mji (Town council?) Tanga wilaya ya Korogwe utalinganisha na wilaya ipi huko kwenu? Bado Handeni ni Town council. Tanga ni jiji, kale kamji kenu kanatakiwa kashushwe hadhi ni kadogo kamedumaa. We Tanga umefika wapi au unaishi kwa hisia! Iringa ingekuwa na maendeleo watoto wangekuwa na udumavu wa lishe? Mmeiga upumbavu kwa wachaga siyo? Nyie waandunje bado sana
 
Sikuwahi kuamini kwamba Tanzania bado kuna Nyumba za udongo lakini huku Tanga unakutana nazo nyingi tu

Handeni na Korogwe walau Matajiri wa kichagga wamechangamsha

Huu mkoa uliathiriwa na siasa za Manamba enzi za Mkoloni

Bwashee Retired upo Tanga IPI tukuletee KADI? 😃
Eti matajiri ya kichaga, we bwege umejaa ukabila, wachaga washindwe kuchangamsha kwao wachangamshe kwa watu? We jinga lao
 
Kwenu Iringa kuna maendeleo gani. Niambie Iringa ukiacha zile squater za Mafinga ni wilaya ipi ina makao makuu yake yana hadhi ya mji (Town council?) Tanga wilaya ya Korogwe utalinganisha na wilaya ipi huko kwenu? Bado Handeni ni Town council. Tanga ni jiji, kale kamji kenu kanatakiwa kashushwe hadhi ni kadogo kamedumaa. We Tanga umefika wapi au unaishi kwa hisia! Iringa ingekuwa na maendeleo watoto wangekuwa na udumavu wa lishe? Mmeiga upumbavu kwa wachaga siyo? Nyie waandunje bado sana
Maelezo Yako yote yanaunga mkono Hoja yangu

Ahsante sana 😄
 
Eti matajiri ya kichaga, we bwege umejaa ukabila, wachaga washindwe kuchangamsha kwao wachangamshe kwa watu? We jinga lao

Kabla ya kumkatalia Fanya survey uone alichoandika ni ukweli kabisa.
Nenda Handeni wachaga wamewafukuza wahindi , wahindi wameshindwa kuhimili ushindani wa biashara.
Wachaga wanaanzia shambani alfajiri msimu wa kilimo na wafanyakazi wao mchana wanakuja kufungua maduka mhindi hakuweza hiyo.
Nenda Tanga mjini siku hizi wachaga wame-dominate kwa maduka.
Mimi ni Tangaline OG lakini nimejifunza kujadili mada kwa kusimamia ukweli hata kama haunifurahishi.
 
Sikuwahi kuamini kwamba Tanzania bado kuna Nyumba za udongo lakini huku Tanga unakutana nazo nyingi tu

Handeni na Korogwe walau Matajiri wa kichagga wamechangamsha

Huu mkoa uliathiriwa na siasa za Manamba enzi za Mkoloni

Bwashee Retired upo Tanga IPI tukuletee KADI? 😃
Ulishafika Singida wee !
Ukishangaa ya Tanga utaona ya Singida !
 
Sikuwahi kuamini kwamba Tanzania bado kuna Nyumba za udongo lakini huku Tanga unakutana nazo nyingi tu

Handeni na Korogwe walau Matajiri wa kichagga wamechangamsha

Huu mkoa uliathiriwa na siasa za Manamba enzi za Mkoloni

Bwashee Retired upo Tanga IPI tukuletee KADI? 😃
Unawatania watani zetu kwa kuwa kule Iringa hamjaathiriwa na mifumo ya manamba wa kikoloni lakini sijui ni kipi kilichopelekea muwe na athari ya mabinti wa huko kuwa wasaidizi wa kazi za ndani huku mijini.....

Well...

UMASKINI ni fikra kabla ya mali....

Hayati JPM(resty easy ) aliwahi kuwasema ndugu zake wasukuma kuwa wao si masikini...pale ambapo mzee mmoja alipodai yeye ni maskini na maswali ya hayati JPM yakamfunua kuwa anamiliki ng'ombe 200....

Kwa hiyo UMASKINI ni fikra tu na wako waitwao MASKINI wa kipato labda kwa kutokuwa na nyumba za kisasa na mengineyo lakini ukweli unabaki ni "mentalities" zao tu.....

Hao wakazi wa Handeni wanapenda tu kuishi katika nyumba za matope na makuti.....

Serikali ya CCM imejenga miundombinu ya barabara na mengineyo ili kurahisisha huduma kwa wananchi sasa kama mwananchi anafanyiwa yote hayo na bado akabaki katika nyumba za udongo na nyasi sijui UMBADILISHE VIPI ?!!

N.B Wengi wa Manamba wa mjerumani walitokea mikoa ya bara ,wangoni ,wakurya ,wanyakyusa ,wanyamwezi , wasukuma ,wabena,waha n.k
Ukitaka kulijua hilo hebu zungukia vijiji vilivyokuwa na mashamba makubwa ya Mkonge(estates) mathalani Mwera ,Sakura ,Mikinguni ,Saadani ,Pangani na kwengineko utamaizi KIZAZI CHA MACHOTARA WA HAYO MAKABILA YA BARA NA WAZIGUA ,WABONDEI ,WADIGO ,WASEGEJU NA WASAMBAA...

#Mtu Hujikomboa Na Kuwa Bora Akitaka Ukombozi Na huo Ubora !!

#JMT milele dumu !
 
Huwa wanasema ni Watu wa Tanga ili muwakubali kirahisi sababu wanawake wa kitanga kwa wastani wanakubalika na wanaume wengi kwenye jamii .
Ile ni Mbinu ya kuvutia soko lao tu.
Fuatilia uone.
Sawa....

Ila kwa nini wasiwe na wakimakonde ilihali nao ni mabingwa katika "uwanda ule" ?!! Ha ha ha
 
Kwenu Iringa kuna maendeleo gani. Niambie Iringa ukiacha zile squater za Mafinga ni wilaya ipi ina makao makuu yake yana hadhi ya mji (Town council?) Tanga wilaya ya Korogwe utalinganisha na wilaya ipi huko kwenu? Bado Handeni ni Town council. Tanga ni jiji, kale kamji kenu kanatakiwa kashushwe hadhi ni kadogo kamedumaa. We Tanga umefika wapi au unaishi kwa hisia! Iringa ingekuwa na maendeleo watoto wangekuwa na udumavu wa lishe? Mmeiga upumbavu kwa wachaga siyo? Nyie waandunje bado sana
Cheki sasa chuki yako kwa wachagga inakutoa ufahamu, mtu anaongelea tanga wewe unamwambia kaiga wachagga upumbavu, kuna upumbavu zaidi ya huo? Jinga kabisa
 
Sikuwahi kuamini kwamba Tanzania bado kuna Nyumba za udongo lakini huku Tanga unakutana nazo nyingi tu

Handeni na Korogwe walau Matajiri wa kichagga wamechangamsha

Huu mkoa uliathiriwa na siasa za Manamba enzi za Mkoloni

Bwashee Retired upo Tanga IPI tukuletee KADI? 😃
Acha kulinganisha Iringa na vitu vya hovyo! 🚮🚮🚮
 
Back
Top Bottom