Tanga Wilaya nyingi na Wabunge wengi lakini Watu wake Maskini tofauti na kwetu Iringa

Tanga Wilaya nyingi na Wabunge wengi lakini Watu wake Maskini tofauti na kwetu Iringa

Wasukuma mikokoteni wote wa Kariakoo na masoko yote ya DSM wanatokea Tanga
...wanasaidia sana nyinyi matajiri kuongezekewa....humkuti Mzaramo ,Mndengereko akisukuma mikokoteni kwani ni mamwinyi....

Kwa wanaoijua Tanga watakushangaa kwa kufanya "generalization" kwani hata hukohuko utamaizi wafanyakazi kazi hizo ngumu ni WASAMBAA....na si wadigo na wasegeju kwani hao nao ni MAMWINYI.....

Tuwashukuru sana wavuja jasho hawa kwa kuongezeka mzunguko wa fedha kwa hizo kazi za "blue collar jobs", ni sawa ewe dadangu mnyakyusa tajiri wa "White collar jobs"?!!
 
Uswahili mwingi huko, kwanza wanaume walio oa wanawake wa Tanga tabu na shida wanazo tena zakutosha, mwanamke hamalizi wiki yupo kwao, kuna shughuli! Sasa huyo mke chinga!
 
Sikuwahi kuamini kwamba Tanzania bado kuna Nyumba za udongo lakini huku Tanga unakutana nazo nyingi tu

Handeni na Korogwe walau Matajiri wa kichagga wamechangamsha

Huu mkoa uliathiriwa na siasa za Manamba enzi za Mkoloni

Bwashee Retired upo Tanga IPI tukuletee KADI? 😃
Tanga sio masikini si kwa GDP wala Gdp per capita, na matajiri wakubwa Tanga sio wachaga, ukitoa wahindi na waarabu kuna wasambaa wengi tu wenye ukwasi mkubwa kuliko wachaga.

Fun fact Iringa ni katika mikoa inayoongoza kwa utapiamlo, maybe mna ya kujifunza mengi toka Tanga?
 
Unawatania watani zetu kwa kuwa kule Iringa hamjaathiriwa na mifumo ya manamba wa kikoloni lakini sijui ni kipi kilichopelekea muwe na athari ya mabinti wa huko kuwa wasaidizi wa kazi za ndani huku mijini.....

Well...

UMASKINI ni fikra kabla ya mali....

Hayati JPM(resty easy ) aliwahi kuwasema ndugu zake wasukuma kuwa wao si masikini...pale ambapo mzee mmoja alipodai yeye ni maskini na maswali ya hayati JPM yakamfunua kuwa anamiliki ng'ombe 200....

Kwa hiyo UMASKINI ni fikra tu na wako waitwao MASKINI wa kipato labda kwa kutokuwa na nyumba za kisasa na mengineyo lakini ukweli unabaki ni "mentalities" zao tu.....

Hao wakazi wa Handeni wanapenda tu kuishi katika nyumba za matope na makuti.....

Serikali ya CCM imejenga miundombinu ya barabara na mengineyo ili kurahisisha huduma kwa wananchi sasa kama mwananchi anafanyiwa yote hayo na bado akabaki katika nyumba za udongo na nyasi sijui UMBADILISHE VIPI ?!!

N.B Wengi wa Manamba wa mjerumani walitokea mikoa ya bara ,wangoni ,wakurya ,wanyakyusa ,wanyamwezi , wasukuma ,wabena,waha n.k
Ukitaka kulijua hilo hebu zungukia vijiji vilivyokuwa na mashamba makubwa ya Mkonge(estates) mathalani Mwera ,Sakura ,Mikinguni ,Saadani ,Pangani na kwengineko utamaizi KIZAZI CHA MACHOTARA WA HAYO MAKABILA YA BARA NA WAZIGUA ,WABONDEI ,WADIGO ,WASEGEJU NA WASAMBAA...

#Mtu Hujikomboa Na Kuwa Bora Akitaka Ukombozi Na huo Ubora !!

#JMT milele dumu !
Exactly mtu anaemiliki Ng'ombe 200 sio masikini kama vile mtu mwenye Ekari kadhaa za minazi sio masikini hata kama anaishi nyumba iliowezekwa na makuti.
 
Watu wa Tanga hii isiwasumbue hata kidogo,ishini katika nyumba zenu kwa utakatifu na kutenda haki Kati ya ndugu na majirani zenu wa mikoani

Kwa maana siyo nyumba peke yake zinazojengwa Kwa udongo bali hata miili yetu iliumbwa Kwa udongo.Kwahiyo ukiidharau nyumba ya udongo umeudharau mwili wako mwenyewe.
 
Wasukuma mikokoteni wote wa Kariakoo na masoko yote ya DSM wanatokea Tanga
Ni wasambaa and trust me hio kazi ni above average kwa malipo kwa Mtanzania.

Msukuma mkokoteni na wabeba mizigo wengi wanalaza 20-30K kwa siku atleast hapa Kkoo.

hii hela ni zaidi ya Take home ya Tra, Mwalimu, Wahasibu, Hr Na wafanyakazi wengi wa serikalini, nafahamu maafisa Kata na Tarafa hawapati hio hela Take home, inakaribiana na hela ya Daktari.

So kwa wao kujipatia kipato cha halali bila kufanya ufisadi kikubwa hivyo ni mfano wa kuigwa kabisa.
 
Kwenu Iringa kuna maendeleo gani. Niambie Iringa ukiacha zile squater za Mafinga ni wilaya ipi ina makao makuu yake yana hadhi ya mji (Town council?) Tanga wilaya ya Korogwe utalinganisha na wilaya ipi huko kwenu? Bado Handeni ni Town council. Tanga ni jiji, kale kamji kenu kanatakiwa kashushwe hadhi ni kadogo kamedumaa. We Tanga umefika wapi au unaishi kwa hisia! Iringa ingekuwa na maendeleo watoto wangekuwa na udumavu wa lishe? Mmeiga upumbavu kwa wachaga siyo? Nyie waandunje bado sana
. Umetoa hoja kwa hasira sana, ila tanga ni jiji la hovyo sana..


. Jiji la tanga kwa Sasa limeshikiliwa na wabena.. Ila wazawa hamna kitu pale ni mwendo wa kulala vibarazani tu kama wajawazito.. 🙂 🙂

. Hata sa100 leo ameamua kutembelea chopa tu, maana barabara za tanga hazieleweki..
 
Ni wasambaa and trust me hio kazi ni above average kwa malipo kwa Mtanzania.

Msukuma mkokoteni na wabeba mizigo wengi wanalaza 20-30K kwa siku atleast hapa Kkoo.

hii hela ni zaidi ya Take home ya Tra, Mwalimu, Wahasibu, Hr Na wafanyakazi wengi wa serikalini, nafahamu maafisa Kata na Tarafa hawapati hio hela Take home, inakaribiana na hela ya Daktari.

So kwa wao kujipatia kipato cha halali bila kufanya ufisadi kikubwa hivyo ni mfano wa kuigwa kabisa.
Wala sijabisha mkuu, lakini mbona wanalala kwenye kolido za maduka?
 
Wala sijabisha mkuu, lakini mbona wanalala kwenye kolido za maduka?
Sio wasambaa aisee, utofautishe wasambaa na waha, wasambaa wengi wanajielewa, nadra kuwa kuta wanalala ovyo nje unless labda ana tatizo kama pombe zilizopitiliza, drug addict etc.
 
. Umetoa hoja kwa hasira sana, ila tanga ni jiji la hovyo sana..


. Jiji la tanga kwa Sasa limeshikiliwa na wabena.. Ila wazawa hamna kitu pale ni mwendo wa kulala vibarazani tu kama wajawazito.. 🙂 🙂

. Hata sa100 leo ameamua kutembelea chopa tu, maana barabara za tanga hazieleweki..
Tanga wabena ni kina nani, ht hivyo km ni kwl hewana, ni watanzania, nchi yetu ni moja tuache ukabila. Tuache ligi za kikabila, Tanga is a great region.
 
Ni wasambaa and trust me hio kazi ni above average kwa malipo kwa Mtanzania.

Msukuma mkokoteni na wabeba mizigo wengi wanalaza 20-30K kwa siku atleast hapa Kkoo.

hii hela ni zaidi ya Take home ya Tra, Mwalimu, Wahasibu, Hr Na wafanyakazi wengi wa serikalini, nafahamu maafisa Kata na Tarafa hawapati hio hela Take home, inakaribiana na hela ya Daktari.

So kwa wao kujipatia kipato cha halali bila kufanya ufisadi kikubwa hivyo ni mfano wa kuigwa kabisa.
Msambaa miaka 15 anatafuta kazi ya kufanya hao jamaa ni mwisho sijapata kuona 🤣🤣...Msambaa anauza karanga ila miaka akienda kuoa akirudi unasikia ana duka .
 
Wala sijabisha mkuu, lakini mbona wanalala kwenye kolido za maduka?
Ile ni kutafuta ukija mila za wasambaa basi utanielewa , wasambaa kwanza kupambana kwao ni jadi yaani ,hapa home alikuja mmoja miaka 16 anataka kazi na kwao wana nyumba fresh .

Jaribu kuwauliza sema sio watu wa kik kwa sana ni wapenda biashara ndogo ndogo kikubwa atoke jasho .
 
Iringa inaongoza kwa baridi tu
Watu wa huko Iringa na kanda yao wanapenda attention sana na kujipa umuhimu kweny mikoa ya watu ,wana asili ya ukimbizi hawapendi kukaa kwao ....Wanashindwa kujua Tanga mjini ni mji wa kale sana ila haukuwahi kufanyiwa marekebisho kwa miaka mingi ..Hivyo vimkoa vyao hata hatuvijui ila wanapenda kujiona sana ushamba ni mwingi mno.
 
Tanga wabena ni kina nani, ht hivyo km ni kwl hewana, ni watanzania, nchi yetu ni moja tuache ukabila. Tuache ligi za kikabila, Tanga is a great region.
. Tanga ni kubwa kwa eneo na asilimia kubwa ni pori lakini haina Maendeleo...

. Tanga ni pakame sana..

. Tanga vyazo vikuu vya mapato ni ile bandari ndogo na Kiwanda cha cement, zaidi ya hapo hamna kiwanda kingine ni vinyumba tu vidogo vidogo..🙂 🙂

. Watu wa tanga ni wavivu kufanya kazi, kila nyumba inadaiwa mikopo ya uchochoroni( wanapenda bata lakini hawataki kufanya kazi nakufikia hatua kudumbukia kwenye mikopo isiyoeleweka)
 
Watu wa huko Iringa na kanda yao wanapenda attention sana na kujipa umuhimu kweny mikoa ya watu ,wana asili ya ukimbizi hawapendi kukaa kwao ....Wanashindwa kujua Tanga mjini ni mji wa kale sana ila haukuwahi kufanyiwa marekebisho kwa miaka mingi ..Hivyo vimkoa vyao hata hatuvijui ila wanapenda kujiona sana ushamba ni mwingi mno.
Yaani historia ya mandeleo kati ya Tanga na Iringa,ni kufananisha Mbuyu na mchicha.
 
Kabla ya kumkatalia Fanya survey uone alichoandika ni ukweli kabisa.
Nenda Handeni wachaga wamewafukuza wahindi , wahindi wameshindwa kuhimili ushindani wa biashara.
Wachaga wanaanzia shambani alfajiri msimu wa kilimo na wafanyakazi wao mchana wanakuja kufungua maduka mhindi hakuweza hiyo.
Nenda Tanga mjini siku hizi wachaga wame-dominate kwa maduka.
Mimi ni Tangaline OG lakini nimejifunza kujadili mada kwa kusimamia ukweli hata kama haunifurahishi.
🙋‍♂️✍️🎯👏👌👍👊🤝🙏
 
Tanzania yote masikini tu, hao unaowaona wana afadhari Wanamudu kula nakulala tu.

Vita yote inapaswa kuelekezwa Kwa CCM iache kunyonya watu wake.
 
Back
Top Bottom