Tanga Wilaya nyingi na Wabunge wengi lakini Watu wake Maskini tofauti na kwetu Iringa

Tanga Wilaya nyingi na Wabunge wengi lakini Watu wake Maskini tofauti na kwetu Iringa

. Tanga ni kubwa kwa eneo na asilimia kubwa ni pori lakini haina Maendeleo...

. Tanga ni pakame sana..

. Tanga vyazo vikuu vya mapato ni ile bandari ndogo na Kiwanda cha cement, zaidi ya hapo hamna kiwanda kingine ni vinyumba tu vidogo vidogo..🙂 🙂

. Watu wa tanga ni wavivu kufanya kazi, kila nyumba inadaiwa mikopo ya uchochoroni( wanapenda bata lakini hawataki kufanya kazi nakufikia hatua kudumbukia kwenye mikopo isiyoeleweka)
1. Hio cement tu kuna Viwanda vitatu ama zaidi
2. Ukiskia Chokaa na Vitu vinavyotokana na Chokaa kama grout zinatoka Tanga
3. Pengine toka uzaliwe hujawahi tumia mafuta yasiyotoka Tanga, mi viwanda mikubwa ya mafuta kina TPPL na Mamujee yote yanatoka Tanga, kuanzia Vasteline, Baby care, Cocoa Butter na mafuta karibia yote maarufu ya Tanzania.
4. Kuna Tanga Fresh, Viwanda Vya Cheese na bakery industries kibao za Tambi, Halua, na zinginezo.

Inshort Tanzania nzima ni Dar na Mwanza ndio Zimepita Tanga Kiviwanda, pengine na Pwani kwa sasa sababu ya Kutanuka kwa Dar.
 
Kwenu Iringa kuna maendeleo gani. Niambie Iringa ukiacha zile squater za Mafinga ni wilaya ipi ina makao makuu yake yana hadhi ya mji (Town council?) Tanga wilaya ya Korogwe utalinganisha na wilaya ipi huko kwenu? Bado Handeni ni Town council. Tanga ni jiji, kale kamji kenu kanatakiwa kashushwe hadhi ni kadogo kamedumaa. We Tanga umefika wapi au unaishi kwa hisia! Iringa ingekuwa na maendeleo watoto wangekuwa na udumavu wa lishe? Mmeiga upumbavu kwa wachaga siyo? Nyie waandunje bado sana
Wacha mzaha yaani Vijiji vya Korongwe na Handeni ndio ulinganishe na Mafinga?

Iringa MC Haina tofauti na Hako kamji mnaita Jiji 😂😂
 
Tanga ipo hoi kabisa, alafu unakutana na mbunge na Mkuu wa mkoa anamwambia Rais kuwa hadaiwi chochote wakati bado matundu tu ya Vyoo ni shida.. Viongozi wapo bize kusifia Sifia tu ili kupata teuzi.
Sikuwahi kuamini kwamba Tanzania bado kuna Nyumba za udongo lakini huku Tanga unakutana nazo nyingi tu

Handeni na Korogwe walau Matajiri wa kichagga wamechangamsha

Huu mkoa uliathiriwa na siasa za Manamba enzi za Mkoloni

Bwashee Retired upo Tanga IPI tukuletee KADI? 😃
 
Ndio mkoa una mawaziri wengi kwenye serikali ya Samia Tanganyika.
 
1. Hio cement tu kuna Viwanda vitatu ama zaidi
2. Ukiskia Chokaa na Vitu vinavyotokana na Chokaa kama grout zinatoka Tanga
3. Pengine toka uzaliwe hujawahi tumia mafuta yasiyotoka Tanga, mi viwanda mikubwa ya mafuta kina TPPL na Mamujee yote yanatoka Tanga, kuanzia Vasteline, Baby care, Cocoa Butter na mafuta karibia yote maarufu ya Tanzania.
4. Kuna Tanga Fresh, Viwanda Vya Cheese na bakery industries kibao za Tambi, Halua, na zinginezo.

Inshort Tanzania nzima ni Dar na Mwanza ndio Zimepita Tanga Kiviwanda, pengine na Pwani kwa sasa sababu ya Kutanuka kwa Dar.
Mwanza hakuna viwanda vingi wewe mpaka wanja wa Tanga.

Mikoa ya viwanda Tanzania
1.Pwani
2.Dar
3.Tanga
4.Arusha
5.Shy
6.Morogoro
7.Mwanza
8.Mbeya
9.Iringa
10.Moshi
 
Mwanza hakuna viwanda vingi wewe mpaka wanja wa Tanga.

Mikoa ya viwanda Tanzania
1.Pwani
2.Dar
3.Tanga
4.Arusha
5.Shy
6.Morogoro
7.Mbeya
8.Mbeya
9.Iringa
10.Moshi
Tanga niko huku miaka mingi ,viwanda vipo ila haviko active zimebaki Godowns nyingi sana ....Pwani kwa sasa kuna viwanda vingi mno hata Arusha maana nimeenda juzi hapa.
 
Watu wa Tanga hii isiwasumbue hata kidogo,ishini katika nyumba zenu kwa utakatifu na kutenda haki Kati ya ndugu na majirani zenu wa mikoani

Kwa maana siyo nyumba peke yake zinazojengwa Kwa udongo bali hata miili yetu iliumbwa Kwa udongo.Kwahiyo ukiidharau nyumba ya udongo umeudharau mwili wako mwenyewe.
Uko sahihi,hata maghorofa hujengwa kwa mchanga(udongo) na cement(udongo ulaya).Kwa hiyo nyumba hata iwe vipi,ni udongo,iwe ghorofa,iwe tofali,ni udongo tu.
 
Takwimu zote zinawakataa kianpa mapato Hadi idadi ya watu.

Korongwe na Handeni ni Vijiji vya manamba 😂😂
Najua wewe mshamba wa Mbeya ila tambua sisi sio race yenu ,watu wenye utapiamlo hamna akili hata mmoja 🤣🤣.

Usifananisha Tanga na magonjwa ya zinaa huko Mafinga sijui mafiga endelee kuchambua takwimu ila kipindupindu kitawamaliza washamba nyie.
 
Sikuwahi kuamini kwamba Tanzania bado kuna Nyumba za udongo lakini huku Tanga unakutana nazo nyingi tu

Handeni na Korogwe walau Matajiri wa kichagga wamechangamsha

Huu mkoa uliathiriwa na siasa za Manamba enzi za Mkoloni

Bwashee Retired upo Tanga IPI tukuletee KADI? 😃
Nakubaliana na wewe kweli masikini kama mikoa mingine ila pia kule kupuliza kunachangia , ukisikia Mbodei anakwambia ( kaita mgima ) jua hakuna shughuli ndogo , ila wasambaa nimewamis sana , vijana ambao bado hamjaoa ebu sogeeni kule kabila la wasambaa mtanishukuru badae, ni wazuri na wachapa kazi , heshima yao ipo juu sana.

Wabondei ni wazuri sana ila eshima yao ipo chini, wazigua sikuwatafiti sana ila kwa mambo ya kienyeji na kuvunja nazi wapo vizuri
 
Hizi za Tanga zimezidi Bwashee 😄
Sio kweli,wewe itakuwa umefika vijijini,hakuna kijiji,cha mkoa wowote kisichokuwa na nyumba za udongo.Tanga,ipo wilaya inaitwa,hivyo,na mkoa mzima,pia unaitwa,Tanga.Tembelea wilaya ya Tanga,uone manispaa ya kwanza,Tanganyika.Mji wenye bandari ya bahari,usifananishe na Iringa kusiko na bahari.Bandari ya bahari,ni mlango wa dunia nzima.
 
Kabla ya kumkatalia Fanya survey uone alichoandika ni ukweli kabisa.
Nenda Handeni wachaga wamewafukuza wahindi , wahindi wameshindwa kuhimili ushindani wa biashara.
Wachaga wanaanzia shambani alfajiri msimu wa kilimo na wafanyakazi wao mchana wanakuja kufungua maduka mhindi hakuweza hiyo.
Nenda Tanga mjini siku hizi wachaga wame-dominate kwa maduka.
Mimi ni Tangaline OG lakini nimejifunza kujadili mada kwa kusimamia ukweli hata kama haunifurahishi.
Wachaga wanawatoa wahindi, WAKINGA wa IR/NjMb wanawatoa wahindi, wachaga, na Wapemba. Wakinga ni Omnipresent & Omnipotent 😂
 
Najua wewe mshamba wa Mbeya ila tambua sisi sio race yenu ,watu wenye utapiamlo hamna akili hata mmoja 🤣🤣.

Usifananisha Tanga na magonjwa ya zinaa huko Mafinga sijui mafiga endelee kuchambua takwimu ila kipindupindu kitawamaliza washamba nyie.
Takwimu zinawakataa,Vijiji vya manamba kina Korongwe na Handeni wanaoishi kwenye vijumba vya mabanda usilinganishe na Mafinga.

Achilia mbali Mbeya namba 3 Kwa GDP Tanzania,namba 3 Kwa watu wenye Mapato per Capita kubwa ikiyanguliwa na Dar na Iringa.

Mtoa mada Yako sahihi.
 
Takwimu zinawakataa,Vijiji vya manamba kina Korongwe na Handeni wanaoishi kwenye vijumba vya mabanda usilinganishe na Mafinga.

Achilia mbali Mbeya namba 3 Kwa GDP Tanzania,namba 3 Kwa watu wenye Mapato per Capita kubwa ikiyanguliwa na Dar na Iringa.

Mtoa mada Yako sahihi.
Huo ni uongo ,endeleeni kupambana na magonjwa yenu 😅
 
Back
Top Bottom