Tanga Wilaya nyingi na Wabunge wengi lakini Watu wake Maskini tofauti na kwetu Iringa

Eti matajiri ya kichaga, we bwege umejaa ukabila, wachaga washindwe kuchangamsha kwao wachangamshe kwa watu? We jinga lao
Mkuu ni chungu lakini dawa, wachaga wape heshima yao. Mnatia aibu haswa, miti ya matunda imejaa hakuna hata kiwanda kimoja cha juice, kutwa mnacheza bao na kulogana. Acheni uvivu
 
Mkuu ni chungu lakini dawa, wachaga wape heshima yao. Mnatia aibu haswa, miti ya matunda imejaa hakuna hata kiwanda kimoja cha juice, kutwa mnacheza bao na kulogana. Acheni uvivu
Umewahi ona mchaga mkulima, mfugaji, mvuvi? Kwa taarifa yako hakuna kabila wavivu km wachaga. Wachaga ni wachuuzi si wazalishaji.
 
Ni mshamba pekee naweza mdharau msuma tolori au makuli wa Dar
 
Tanga hakuna umaskini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…