GoldDhahabu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2023
- 7,189
- 10,375
- Thread starter
- #41
Wakitusaidia na sisi turejeshewe Tanganyika yetu itatosha!Kwahiyo Zanzibar iwaombe radhi watanganyika
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wakitusaidia na sisi turejeshewe Tanganyika yetu itatosha!Kwahiyo Zanzibar iwaombe radhi watanganyika
Zanzibar Haina Jeshi. Zanzibar ipo mikononi mwa Tanganyika. Itaanzaje kufurukuta?Tatizo ni kwamba Zanzibar hawataki kujitegemea na wanapenda vya bure kutoka Tanganyika. Bajeti ya Zanzibar inatoka bara la sivyo Zanzibar wangekuwa wameshavunja muungano kitambo.
Kinanachosikitisha ni hao CCM kuuza nchi mchana kweupe kwa waarabu!
Walipe bill ya umeme
Viongozi kutoka Zanzibar hata rais wa Zanzibar ndio wanaojua madhara ya kuvunja muungano, hao wengine wanajisemea tu. Zanzibar haijaweza bado kujitegemea kifedha siku wakiweza muungano utavunjika hapo hapo!
Huo mkataba wa bandari kuukubali inabidi uwe fisadiUlitaka waiuze kwa wazungu au wachina ?? mbona Waturuki wapo wanajenga reli na ni waislamu ??
Huo mkataba wa bandari kuukubali inabidi uwe fisadi
Uchaguzi mkuuKwani walifisidi kitu gani ??
Kwahiyo waingereza waliogopa kupigwa na Nyerere wakageuza meli?Sii kweli!, baada ya yale Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, Manowari za Uingereza zilitia nanga Mombasa tayari kuivamia Zanzibar, kuikomboa. Karume akaja kwa Nyerere kuomba ulinzi, ndipo, Nyerere akamshauri Karume tuungane kuwa nchi moja, Karume akajibu hata leo, wewe Rais mimi Makamo.
Utatenganishaje hao na wabunge walioko bungeni?Uchaguzi alifisidi Kikwete, Mkapa na Magufuli
Tundu Lissu kasema...Ukiona mtu anasema,inasemekana......... achana naye....hapa ungekuja na facts na siyo gossip
Please Sir! Usimwite mzee "ka", plse!!!Ila Ka Nyerere kalikuwa kichwa kale kajamaa aisee. Sijui kalimwingiaje Karume mpaka akaingia kingi kwenye hili limuungano la kimagumashi 😁😁😁
Utatenganishaje hao na wabunge walioko bungeni?
Walipitishwa ili iweje?walipitishwa na Magufuli
Kama utakuwa umesoma vizuri history, muungano wa Tanganyika na Zanzibr una mkono mrefu. Kumbukumbu zinaonyesha kwa wakati huo, vita baridi kati ya ukomunism na ubepari ulikuwa upo katika kilele.Sii kweli!, baada ya yale Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, Manowari za Uingereza zilitia nanga Mombasa tayari kuivamia Zanzibar, kuikomboa. Karume akaja kwa Nyerere kuomba ulinzi, ndipo, Nyerere akamshauri Karume tuungane kuwa nchi moja, Karume akajibu hata leo, wewe Rais mimi Makamo.
Sii kweli, huo ni uongo wa wapinga Mapinduzi Matukufu, ukweli ni huu Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar: Kumbe Waarabu Hawakufukuzwa! Walikimbia Wenyewe - Mzee Sukari
Sii kweli
Sii kweli
Sii kweli, Zanzibar ilikuwa sehemu ya Tanganyika kabla haijamegeka!. Hivyo ni sehemu yetu kihalali kabisa!.
Sii kweli
ni kweli ila mengine ni ya kweli, mengine ni ya uongo!
Si kweli
Na kama ni uongo?.
Uungwana ni vitendo ni kweli kuna ndivyo sivyo
Naunga mkono hoja na hata mimi hili nilishauri Wanzanzibar amueni moja, ama acheni kelele za muungano!, ama pigeni Kura ya Maoni, muamue moja
Hapa tuko pamoja.
P
Kama hautojali, naomba nikuulize hili! Yalikuwa Mapinduzi Tukufu au Mauaji Katili?Kama utakuwa umesoma vizuri history, muungano wa Tanganyika na Zanzibr una mkono mrefu. Kumbukumbu zinaonyesha katika wakati huo, vita baridi kati ya ukomunism na ubepari ulikuwa upo katika kilele.
Kipindi hicho Tanganyika halikuwa taifa la kijamaa na wala Zanzibar vilevile.
Zanzibar ni kisiwa, ni kisiwa kilichowahi tawala mpaka ndani mwa nyika. Ni Taifa lililoogopeka kuanguka katika mikono ya kicommunism ambayo ingeweza kuathiri Afrika Mashariki yote kutokana na itikadi na hali iliyokuwepo wakati ule kipindi amvacho nchi nyingi ziliangukia katika mkono wa Marxism-Lenism.
Pamoja na hilo lipo pia suala la imani, na rasilimali fedha iliyokuwa nayo Zanzibar vyote hivi vilivutia Muungano baina ya nchi hizi mbili.
Pasi na kuficha, ni kweli Tanganyika ilikuwa na mkono mzuri katika mapinduzi matukufu ya Zanzibar. Lakini kwa sasa faida zake Muungano ni kubwa zaidi kwa maslahi mapana ya Taifa, sote wa Bara na Visiwani.
N.B: ZANZIBAR LILIKUWA NI TAIFA HALALI LENYE MAMLAKA YAKE KAMILI KUITWA NCHI. KAMWE NDUGU PASKO ZANZIBAR HAIKUWA SEHEMU YA TANGANYIKA.