Tanganyika ilipata uhuru wake 09 Dec 1961. Tanzania 🇹🇿 tukajitwalia uhuru wetu tarehe 17th March 2021

Tanganyika ilipata uhuru wake 09 Dec 1961. Tanzania 🇹🇿 tukajitwalia uhuru wetu tarehe 17th March 2021

Bujibuji Simba Nyamaume

JF-Expert Member
Joined
Feb 4, 2009
Posts
76,107
Reaction score
160,001
Kuna mahali nchi ilipita kwenye bonde la uvuli wa mauti. Matajiri wakaambiwa wataishi kama mashetani, masikini wakaambiwa watalimia meno.

Nchi ikakosa furaha, kiwango cha huzuni kikawa kikubwa na kutamalaki hadi nchi jirani.

Unyama na ukatili tu, uliwaendea hadi vifaranga na ng'ombe.

Ni kweli kazi ya ujenzi tuliiona, ila ukiukwaji wa mikataba unatugharimu hadi leo. Mali za taifa zinakamatwa kufidia maamuzi mabaya yaliyofanywa na mtu mmoja.

Wafanyakazi hawakuwahi kupandishiwa mishahara. Kilio hakikuwa kwao peke yao. Kilio kiliwafikia wakulima wa mbaazi, ufuta, choroko, dengu, kunde na korosho.

Giza likizidi ujue mapambazuko yamekaribia. Tanganyika ilipata uhuru wake 09 Dec 1961. Tanzania 🇹🇿 tukajitwalia uhuru wetu tarehe 17th March 2021
 
Kuna mahali nchi ilipita kwenye bonde la uvuli wa mauti. Matajiri wakaambiwa wataishi kama mashetani, masikini wakaambiwa watalimia meno...
Ni Uhuru gani Tanzania ilio upata 17 march 2021 ? Na kutoka chini ya mtawala/mkoloni[utawala/ukoloni] gani ?
 
Tz iliingia choo cha kike, yahani ushamba wa kisukuma ukaja kuwa ushamba wa taifa watu kujazana uwanja wa ndege kuipokea ndege
Afadhali kujazana kupokea kilicho chako kuliko kusafiri umbali mrefu nje ya nchi kwenda kupiga picha na wasanii na kwenye makaburi ya watu
 
Kuna mahali nchi ilipita kwenye bonde la uvuli wa mauti. Matajiri wakaambiwa wataishi kama mashetani, masikini wakaambiwa watalimia meno...
Kwani yale majambazi ya mali za watu waliokuwa nae wamekufa??!!Bado kabisa Uhuru wa haki za watu hapo Tanzania tusijidanganye kwamba kuondoka yeye kila kitu kitakuwa sawa.
 
Tuchunguze vizuri inawezekana yule mtu aliacha mimba nyingi sana kwa wana jf akiwemo mleta mada
 
Back
Top Bottom