Kiranja Mkuu
JF-Expert Member
- Feb 18, 2010
- 4,219
- 4,608
Uhuru wa TanzaniaTar 17 mwezi ujao nini kilitokea?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uhuru wa TanzaniaTar 17 mwezi ujao nini kilitokea?
Utatawala bila kuwa na Dira??CHADEMA ilishawahi tawala Tanzania??Tuongelee vitu ambvyo vipo na si mawazo fikirishi au nadharia.
Dira ni Uhuru na Watu,Kazi na MaendeleoUtatawala bila kuwa na Dira??
Mwezi ujao ni february kuna uhuru gani kwenye historia mwezi huoUhuru wa Tanzania
Usimsahau Massawe na Mushi
Hahaha....... bwashee umetisha sana!
Upupu mtupu phew. Maaavi harufu mbaya hiiKuna mahali nchi ilipita kwenye bonde la uvuli wa mauti. Matajiri wakaambiwa wataishi kama mashetani, masikini wakaambiwa watalimia meno.
Nchi ikakosa furaha, kiwango cha huzuni kikawa kikubwa na kutamalaki hadi nchi jirani.
Unyama na ukatili tu, uliwaendea hadi vifaranga na ng'ombe.
Ni kweli kazi ya ujenzi tuliiona, ila ukiukwaji wa mikataba unatugharimu hadi leo. Mali za taifa zinakamatwa kufidia maamuzi mabaya yaliyofanywa na mtu mmoja.
Wafanyakazi hawakuwahi kupandishiwa mishahara. Kilio hakikuwa kwao peke yao. Kilio kiliwafikia wakulima wa mbaazi, ufuta, choroko, dengu, kunde na korosho.
Giza likizidi ujue mapambazuko yamekaribia. Tanganyika ilipata uhuru wake 09 Dec 1961. Tanzania 🇹🇿 tukajitwalia uhuru wetu tarehe 17th March 2021
Siyo kweli.Kuna mahali nchi ilipita kwenye bonde la uvuli wa mauti. Matajiri wakaambiwa wataishi kama mashetani, masikini wakaambiwa watalimia meno.
Nchi ikakosa furaha, kiwango cha huzuni kikawa kikubwa na kutamalaki hadi nchi jirani.
Unyama na ukatili tu, uliwaendea hadi vifaranga na ng'ombe.
Ni kweli kazi ya ujenzi tuliiona, ila ukiukwaji wa mikataba unatugharimu hadi leo. Mali za taifa zinakamatwa kufidia maamuzi mabaya yaliyofanywa na mtu mmoja.
Wafanyakazi hawakuwahi kupandishiwa mishahara. Kilio hakikuwa kwao peke yao. Kilio kiliwafikia wakulima wa mbaazi, ufuta, choroko, dengu, kunde na korosho.
Giza likizidi ujue mapambazuko yamekaribia. Tanganyika ilipata uhuru wake 09 Dec 1961. Tanzania 🇹🇿 tukajitwalia uhuru wetu tarehe 17th March 2021
Corona ilitufaa sanaKuna mahali nchi ilipita kwenye bonde la uvuli wa mauti. Matajiri wakaambiwa wataishi kama mashetani, masikini wakaambiwa watalimia meno.
Nchi ikakosa furaha, kiwango cha huzuni kikawa kikubwa na kutamalaki hadi nchi jirani.
Unyama na ukatili tu, uliwaendea hadi vifaranga na ng'ombe.
Ni kweli kazi ya ujenzi tuliiona, ila ukiukwaji wa mikataba unatugharimu hadi leo. Mali za taifa zinakamatwa kufidia maamuzi mabaya yaliyofanywa na mtu mmoja.
Wafanyakazi hawakuwahi kupandishiwa mishahara. Kilio hakikuwa kwao peke yao. Kilio kiliwafikia wakulima wa mbaazi, ufuta, choroko, dengu, kunde na korosho.
Giza likizidi ujue mapambazuko yamekaribia. Tanganyika ilipata uhuru wake 09 Dec 1961. Tanzania [emoji1241] tukajitwalia uhuru wetu tarehe 17th March 2021
Ni upumbavu kwa wapumbavu kama wewe. Ishukuriwe CoronaUmeandika hapo ili upate likes nyingi na comments ila ukae ukijua tu kuwa ulichokifanya ni upumbavu wa kiwango cha juu.
Utawala wa MagumashiUtawala wa Magufuri.
Hivi una uhakika ilikuwa tarehe 17?? Na sio 9??kuuliza sio ujinga msimishambulieDah natamani kama tuwe tunafanya sherehe za uhuru wa Tanzania kila March 17