ASIWAJU
JF-Expert Member
- Nov 18, 2022
- 1,938
- 1,632
Utawala wa Magufuli au CCM ?Utawala wa Magufuri aka makomeo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utawala wa Magufuli au CCM ?Utawala wa Magufuri aka makomeo.
Watu wamepumua jana kwenye mkutano wa Chadema Maaskari waliulinda msafara wa Mbowe na mji ulikuwa umetulia shwari zile ngojera za mwendazake kuwa mikutano ya siasa inahamasisha fujo ziliwaibisha wafuasi wake.Kwani yale majambazi ya mali za watu waliokuwa nae wamekufa??!!Bado kabisa Uhuru wa haki za watu hapo Tanzania tusijidanganye kwamba kuondoka yeye kila kitu kitakuwa sawa.
Utawala wa Magufuri.Utawala wa Magufuli au CCM ?
Utawala wa huyo Magufuli ulianza toka lini ?Utawala wa Magufuri.
Hao wanasema tu, ila mioyoni mwao wanaugua kwa uchungu walionao kutokana na hali ta sasa. Labda kama ni uhuru wa mafisadi na mashoga...ila kama ni uhuru wa wananchi, wengi wanalia.Umeandika hapo ili upate likes nyingi na comments ila ukae ukijua tu kuwa ulichokifanya ni upumbavu wa kiwango cha juu.
Bujibuji ni kidume dereva wa daladalaTuchunguze vizuri inawezekana yule mtu aliacha mimba nyingi sana kwa wana jf akiwemo mleta mada
Kweli kabisa mkuu uhuru wa kulamba asali
Ita vyovyote, sema vyovyote mimi nitabaki kuwa Bujibuji Simba NyamaumeBujibuji ni kidume dereva wa daladala
Kabla ya vyeti feki alikuwa anaendesha SU kwa wazee wa Bandari
Kubali kutokubalianaIla watanganyika mna shangaza sana...anyway wapumbavu nao huzeeka..
Jamaa alifikiri wewe ni KeIta vyovyote, sema vyovyote mimi nitabaki kuwa Bujibuji Simba Nyamaume
Mbowe na Lisu ndio wako Huru kiukweliUite vyovyote lakini sasa tuko huru
Tuchunguze vizuri inawezekana yule mtu aliacha mimba nyingi sana kwa wana jf akiwemo mleta mada
Anaonea wasichana ni mkiukaji wa haki za binadamuBujibuji kwao ni kule wanakotandikwa makofi na Simalenga
Aiseeh mjerumani alikuwa katirii😂😂Kuna mahali nchi ilipita kwenye bonde la uvuli wa mauti. Matajiri wakaambiwa wataishi kama mashetani, masikini wakaambiwa watalimia meno.
Nchi ikakosa furaha, kiwango cha huzuni kikawa kikubwa na kutamalaki hadi nchi jirani.
Unyama na ukatili tu, uliwaendea hadi vifaranga na ng'ombe.
Ni kweli kazi ya ujenzi tuliiona, ila ukiukwaji wa mikataba unatugharimu hadi leo. Mali za taifa zinakamatwa kufidia maamuzi mabaya yaliyofanywa na mtu mmoja.
Wafanyakazi hawakuwahi kupandishiwa mishahara. Kilio hakikuwa kwao peke yao. Kilio kiliwafikia wakulima wa mbaazi, ufuta, choroko, dengu, kunde na korosho.
Giza likizidi ujue mapambazuko yamekaribia. Tanganyika ilipata uhuru wake 09 Dec 1961. Tanzania 🇹🇿 tukajitwalia uhuru wetu tarehe 17th March 2021
Tar 17 mwezi ujao nini kilitokea?Tarehe 17 mwezi ujao tunafanya tafrija
Nchi haindelei kwa mikutano ya siasa tunazungumzia uhuru wa kumiliki mali na kuwekeza Tanzania.Chadema haiwezi kusaidia nchi kama hawaelewi maana ya uchumi huru na kutambua haki zake na kukaribusha wawekezajiWatu wamepumua jana kwenye mkutano wa Chadema Maaskari waliulinda msafara wa Mbowe na mji ulikuwa umetulia shwari zile ngojera za mwendazake kuwa mikutano ya siasa inahamasisha fujo ziliwaibisha wafuasi wake.
kwa mtawala katili akiitwa Magofool kutoka nchi ya ChattleNi Uhuru gani Tanzania ilio upata 17 march 2021 ? Na kutoka chini ya mtawala/mkoloni[utawala/ukoloni] gani ?
Kuna wamjua alikuwa mzinifu Mshenzi sana yuleTuchunguze vizuri inawezekana yule mtu aliacha mimba nyingi sana kwa wana jf akiwemo mleta mada
CHADEMA ilishawahi tawala Tanzania??Tuongelee vitu ambvyo vipo na si mawazo fikirishi au nadharia.Nchi haindelei kwa mikutano ya siasa tunazungumzia uhuru wa kumiliki mali na kuwekeza Tanzania.Chadema haiwezi kusaidia nchi kama hawaelewi maana ya uchumi huru na kutambua haki zake na kukaribusha wawekezaji