Tanganyika ilipata uhuru wake 09 Dec 1961. Tanzania ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ tukajitwalia uhuru wetu tarehe 17th March 2021

Upupu mtupu phew. Maaavi harufu mbaya hii
 
Siyo kweli.

Tanzania bado haijawa huru.

Chama kinachowezesha kuwepo kwa viongozi wa aina hiyo, au kinyume cha hao lakini bado hawaleti tija katika maisha ya wananchi, huo ndio ukoloni wenyewe.

Kama mkoloni alivyofurumshwa tarehe 9, 1961; huyu mkoloni CCM naye anatakiwa kuondolewa ndipo nchi hii ipate pumzi na kuwa huru kamili.
 
Corona ilitufaa sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ