cotyledon
JF-Expert Member
- Aug 25, 2018
- 2,260
- 1,629
Hao hao wawili watatu wangekuwa wanalaumu Marehemu huku wakiendelea kucheza bao unadhani wangefanikiwa ?Watu,wawili watatu siyo!?..wakati wa Nyerere ikiwa na baiskeli na radio we tajiri
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hao hao wawili watatu wangekuwa wanalaumu Marehemu huku wakiendelea kucheza bao unadhani wangefanikiwa ?Watu,wawili watatu siyo!?..wakati wa Nyerere ikiwa na baiskeli na radio we tajiri
Kama mtu mmoja aliweza kufanya hayo yote uliyoyaandika hapa, na baada hata ya wewe mwenye utambuzi na kujielewa kutokea na kuendelea kuwa na mambo hayo hayo aliyoyaasisi huyo mtu, tena akiwa alishaondoka siku nyingi, bado mambo yake na matendo yake yanakuzungusha akili wewe, hapa watu wamwone nani mwenye akili timamu, wewe chizi, au huyo aliyeweza kushikilia akili za watu?Hallo,
Moja kwa moja kwenye uzi, katika kumzungumzia J.K.Nyerere upande wake wa mazuri ndio unaotukuzwa sana kwa sifa kedekede hali hii imefanya upande wake mbovu kutokuzungumzwa.
Katika makosa makubwa aliyofanya huyu mzee ni kutengeneza taifa la kijinga, sio upande wa Tanganyika wala sio huu muungano uchwara wa kipuuzi aliouasisi mambo kote hovyo hovyo.
Nyerere aligeuza kikundi chake (wanasiasa) Tanganyika na Tanzania kuwa miungu watu, wao ndio sheria, amri na watafasiri haki kwa Watanganyika na Watanzania.
Nyerere alitengeneza Watanganyika kuwa mazezeta yake ya ndio mzee kwa kila uchafu utakaofikiriwa na kiongozi yeyote mwenye mamlaka hapa nchini. Hali hii imepelekea kutumiwa na Marais wote waliomfuata sioni ikikoma mbele bila jitihada stahiki kuchukuliwa.
Leo Tanganyika na Tanzania anaweza akaongoza nchi hata mtoto mdogo wa miaka miwili na hakuna reaction yoyote itafanyika. Hata jiwe linaweza kugeuzwa Rais na hakuna kitu chochote kitatokea nchini.
Mwalimu Nyerere alijenga taifa la kifala sana kuwahi kuliona duniani mpaka sasa kwa umri huu nilio nao.
Next thread nita zungumzia makosa yake katika vyombo vya ulinzi na usalama, vyama vya ushirika, vyama vya siasa.
Hao na utajiri wao ni asilimia ngapi kwenye GDP ya nchi!?.. unaelewa walau kanuni ndogo tu za uchumi!?Hao hao wawili watatu wangekuwa wanalaumu Marehemu huku wakiendelea kucheza bao unadhani wangefanikiwa ?
Kwa Data ambazo zipoMi najua Malaysia tu ndo mfano wenu, Malaysia haikupigana senseless war
Mwinyi Kwa miaka 10 kapiga 41 nyuma Mkapa Kwa miaka 10 kapiga 12 mbele Kikwete Kwa miaka 10 kapiga 5 mbele na Magufuli Kwa miaka 5 kapiga 12 mbeleKwa Data ambazo zipo
Mwaka 1985 Tanzania ilikuwa namba 62 Kwa GDP duniani
Mwaka 1995 Tanzania ilikuwa namba 103 Kwa GDP duniani
Mwaka 2005 Tanzania ilikuwa namba 91 Kwa GDP duniani
Mwaka 2015 Tanzania ilikuwa 86
Mwaka 2020 Tanzania ilikuwa namba 74
"List of countries by past and projected GDP (PPP) - Wikipedia" List of countries by past and projected GDP (PPP) - Wikipedia
Kurekebisha makosa ya nyerere ni mpaka utoe damuKama Nyerere alikosea wewe unashindwa nini kurekebisha makosa yake?
Wewe ndie mjinga zaidi ya Nyerere, kwasababu tatizo unaliona, lakini umeamua kuliacha hivyo hivyo huku ukibaki kumlaumu Nyerere.
Wewe ndio wale mnaamini Kama ulizaliwa familia maskini basi na wewe utaishia kuwa maskiniWewe ama ni mnufaika wa mfumo uliopo au umeamua kuwa chawa mfumo uliopo bila kujitambua ndo maana unatoa ushuzi wako wa maharage ya mbeya. Mtanzania mwenye akili iliyokaa sawa hawezi kuutetea mfumo wa uendeshaji wa nchi uliopo. Haya yote muasisi wake n Mwalimu.
Africa inafanana shida sio viongoziMwalimu Nyerere alijenga taifa la kifala sana kuwahi kuliona duniani mpaka sasa kwa umri huu nilio nao..... hapa ndio nimekuelewa
Wewe kama unaweza anza leo kukosoa viongozi hadharani ukiwa mwenyewe?Kama huwezi unasubiria Nyerere afufuke?
Huo ni upuzi na usengenyaji wa jinsi ke wewe sio lijari na BADALA YA WATOTO WAKO UWAPELEKE TUTISION UNAWAPELEKA MADRASA WAKIJIFUNZE...... ELIMIKAHuyu jama kapokelewa na waislamu wa pwani wakamuamini wakamsaidia kwa harakati zote alivyo pata uraisi akaanza kubaguwa waislamu kisiasa na kielimu, kafiri ni kafiri ata umsaidie je atakuja kukupenda
Hapo sasa !Mtu kuwa kilaza/fisadi Kwa sasa Nyerere aliyefariki zaidi miaka 23 iliyopita anahusikaje?
Kuyumbayumba ndiyo mwwndo wa ngalawaKwa Data ambazo zipo
Mwaka 1985 Tanzania ilikuwa namba 62 Kwa GDP duniani
Mwaka 1995 Tanzania ilikuwa namba 103 Kwa GDP duniani
Mwaka 2005 Tanzania ilikuwa namba 91 Kwa GDP duniani
Mwaka 2015 Tanzania ilikuwa 86
Mwaka 2020 Tanzania ilikuwa namba 74
"List of countries by past and projected GDP (PPP) - Wikipedia" List of countries by past and projected GDP (PPP) - Wikipedia