Tanganyika na Tanzania ya ovyo ni zao la Hayati Mwalimu Nyerere

Tanganyika na Tanzania ya ovyo ni zao la Hayati Mwalimu Nyerere

Hallo,

Moja kwa moja kwenye uzi, katika kumzungumzia J.K.Nyerere upande wake wa mazuri ndio unaotukuzwa sana kwa sifa kedekede hali hii imefanya upande wake mbovu kutokuzungumzwa.

Katika makosa makubwa aliyofanya huyu mzee ni kutengeneza taifa la kijinga, sio upande wa Tanganyika wala sio huu muungano uchwara wa kipuuzi aliouasisi mambo kote hovyo hovyo.

Nyerere aligeuza kikundi chake (wanasiasa) Tanganyika na Tanzania kuwa miungu watu, wao ndio sheria, amri na watafasiri haki kwa Watanganyika na Watanzania.

Nyerere alitengeneza Watanganyika kuwa mazezeta yake ya ndio mzee kwa kila uchafu utakaofikiriwa na kiongozi yeyote mwenye mamlaka hapa nchini. Hali hii imepelekea kutumiwa na Marais wote waliomfuata sioni ikikoma mbele bila jitihada stahiki kuchukuliwa.

Leo Tanganyika na Tanzania anaweza akaongoza nchi hata mtoto mdogo wa miaka miwili na hakuna reaction yoyote itafanyika. Hata jiwe linaweza kugeuzwa Rais na hakuna kitu chochote kitatokea nchini.

Mwalimu Nyerere alijenga taifa la kifala sana kuwahi kuliona duniani mpaka sasa kwa umri huu nilio nao.

Next thread nita zungumzia makosa yake katika vyombo vya ulinzi na usalama, vyama vya ushirika, vyama vya siasa.
Kama mtu mmoja aliweza kufanya hayo yote uliyoyaandika hapa, na baada hata ya wewe mwenye utambuzi na kujielewa kutokea na kuendelea kuwa na mambo hayo hayo aliyoyaasisi huyo mtu, tena akiwa alishaondoka siku nyingi, bado mambo yake na matendo yake yanakuzungusha akili wewe, hapa watu wamwone nani mwenye akili timamu, wewe chizi, au huyo aliyeweza kushikilia akili za watu?

Wewe umefanya nini kubadili mwelekeo huo hadi sasa?
 
Hao hao wawili watatu wangekuwa wanalaumu Marehemu huku wakiendelea kucheza bao unadhani wangefanikiwa ?
Hao na utajiri wao ni asilimia ngapi kwenye GDP ya nchi!?.. unaelewa walau kanuni ndogo tu za uchumi!?
 
Mi najua Malaysia tu ndo mfano wenu, Malaysia haikupigana senseless war
Kwa Data ambazo zipo
Mwaka 1985 Tanzania ilikuwa namba 62 Kwa GDP duniani
Mwaka 1995 Tanzania ilikuwa namba 103 Kwa GDP duniani
Mwaka 2005 Tanzania ilikuwa namba 91 Kwa GDP duniani
Mwaka 2015 Tanzania ilikuwa 86
Mwaka 2020 Tanzania ilikuwa namba 74

"List of countries by past and projected GDP (PPP) - Wikipedia" List of countries by past and projected GDP (PPP) - Wikipedia
 
Kwa Data ambazo zipo
Mwaka 1985 Tanzania ilikuwa namba 62 Kwa GDP duniani
Mwaka 1995 Tanzania ilikuwa namba 103 Kwa GDP duniani
Mwaka 2005 Tanzania ilikuwa namba 91 Kwa GDP duniani
Mwaka 2015 Tanzania ilikuwa 86
Mwaka 2020 Tanzania ilikuwa namba 74

"List of countries by past and projected GDP (PPP) - Wikipedia" List of countries by past and projected GDP (PPP) - Wikipedia
Mwinyi Kwa miaka 10 kapiga 41 nyuma Mkapa Kwa miaka 10 kapiga 12 mbele Kikwete Kwa miaka 10 kapiga 5 mbele na Magufuli Kwa miaka 5 kapiga 12 mbele
 
Kama Nyerere alikosea wewe unashindwa nini kurekebisha makosa yake?

Wewe ndie mjinga zaidi ya Nyerere, kwasababu tatizo unaliona, lakini umeamua kuliacha hivyo hivyo huku ukibaki kumlaumu Nyerere.
Kurekebisha makosa ya nyerere ni mpaka utoe damu

Na bado watz hatujapitia magumu yakutufanya tuwe tayar kufa
 
Wewe ama ni mnufaika wa mfumo uliopo au umeamua kuwa chawa mfumo uliopo bila kujitambua ndo maana unatoa ushuzi wako wa maharage ya mbeya. Mtanzania mwenye akili iliyokaa sawa hawezi kuutetea mfumo wa uendeshaji wa nchi uliopo. Haya yote muasisi wake n Mwalimu.
Wewe ndio wale mnaamini Kama ulizaliwa familia maskini basi na wewe utaishia kuwa maskini

Nyerere aliondoka madarakani miaka karibu 40 iliyopita. Waliofata Kama walishindwa kuweka misingi mipya mizuri basi sio kosa la nyerere

Kila siku tunawasifu Singapore na china kwa mapinduzi waliofanya, wangekua na akili za kulaumu waliopita basi nao wangeendelea kuwa maskini

Waziri anaiba pesa Leo hii, alafu hafanywi kitu tunaishia kusema kosa ni la nyerere
 
Taifa gani Africa Sio la kifala angalau ukitoa Yale ya kiarabu
Africa ya weusi yote inafanana
 
Kama huwezi unasubiria Nyerere afufuke?
Wewe kama unaweza anza leo kukosoa viongozi hadharani ukiwa mwenyewe?

Tatizo sio kwamba siwezi kurekebisha, tatizo ni uoga wa watanzania kuku unga mkono wakati unapombana na kundi kubwa la wanasiasa wanyonyaji.
 
Huyu jama kapokelewa na waislamu wa pwani wakamuamini wakamsaidia kwa harakati zote alivyo pata uraisi akaanza kubaguwa waislamu kisiasa na kielimu, kafiri ni kafiri ata umsaidie je atakuja kukupenda
Huo ni upuzi na usengenyaji wa jinsi ke wewe sio lijari na BADALA YA WATOTO WAKO UWAPELEKE TUTISION UNAWAPELEKA MADRASA WAKIJIFUNZE...... ELIMIKA
 
Back
Top Bottom