Hili sio kweli ni propaganda, Nyerere alirithi legacy ya wakoloni ambao walijenga shule kwenye maeneo yaliyokua na wakristo wengi kwa kutumia wamisionary, then pia utamaduni WA kusoma secular education haukuwa muhimu kwa waslam kutokana na mapokea ya dini yenyewe ambayo iliwekwa zaidi kwenye elimu ya dini .Huyu jama kapokelewa na waislamu wa pwani wakamuamini wakamsaidia kwa harakati zote alivyo pata uraisi akaanza kubaguwa waislamu kisiasa na kielimu, kafiri ni kafiri ata umsaidie je atakuja kukupenda
Ingekua Nyerere ana ubaguzi basi pia angekua mbaguzi WA kikabila au kikanda, maana mara haukua mkoa ambao una shule nyingi .
Waislam wanalalamika walifanyiwa ubaguzi lakni hawaelezi huo ulifanyikaje, yaani hawatoi ushahidi.