Tanganyika na Tanzania ya ovyo ni zao la Hayati Mwalimu Nyerere

Tanganyika na Tanzania ya ovyo ni zao la Hayati Mwalimu Nyerere

Hapo nakuunga mkono Kwa asilimia 100, Mtoto aliyezaliwa wakati Nyerere ametoka kwenye uongozi wengine wanaitwa Babu huku mtu analalamika kwasababu ya Nyerere. hiyo ni akili kweli
Hayo ni matope sio akili ! Wajerumani wangeendelea kujadili ubaya wa Hitler wasingekuwa walivyo leo vinara wa uchumi katika bara la Ulaya !!

Wao walichukua mazuri yake na wakayatupilia mbali mabaya yake !!
 
Madudu Matupu ,
Munadanganyika na Ukubwa wa miili yao na uzuri wa suti zao
Watanganyika waliosomeshwa na Nyerere hawajui sheria wala kiengereza
Bado wewe ni mtumwa wa akili. Kwani walilazimisha lugha ya Kiingereza kitumike, walishindwa nini kuandika mkataba Kwa kiswahili kama Kiingereza inawashinda
 
Wema wa Mwalimu Nyerere ndio unaomsababisha Wapemba wenye chuki leo wamtukane.
Waingereza walipompa visiwa vya Zanzibar badala ya kumuacha kinyago Sultani walichokichonga wenyewe Waingereza baada ya kumpora Mreno kisiwa mwaka 1836.

Mwalimu Nyerere angeunda tu Tanzania ya serikali moja.
Kwa huruma yake kwa hawa Wapemba wanaomtukana leo kawaruhusu kuwa na kijiserikali chao.
Mwaka jana eti hata katiba ya Tanzania imebadilishwa itamke Zanzibar ni nchi?
Ikifuatia mabadilika ya katiba ya Zanzibar ya 2010 aliotengeneza Aman Karume aliekuwa na nia ya kuvunja Muungano hadi alianzisha vikundi vya kigaidi vilivyofadhiliwa na Mamlaka ya Mapato Zanzibar.

Leo Wapemba wamejaa huko bara kila idara na teuzi za kimkakati kabisa za kuihujumu na kuicontrol Tanganyika.
Ardhi na visiwa vya Tanganyika vimeporwa juzi tu wamesainiana eti hadi visiwa vilivyoko kusini mashariki mwa Daressalaam eti bado ni ramani ya Zanzibar, maana yake Dar imeporwa bahari, mfano kisiwa cha Latham, wavuvi wa Dar wanaitwa Fungu Mbaraka, sikuizi kimebadilishwa jina kinaitwa Fungu Kizimkazi.

Watumishi Wapemba waliokula neema huko Dodoma kwa kula kuku kwa mrija na kubebwa kwa misafara, mfano DC Sadiiiifa Jumwa kurudi huku Unguja nasikia huko Wilayani kwake Kaskazini A anawaambukiza wanawake wa asili ya Tanganyika kwa makusudi kabisa huku akijua yeye sio mzima tena kwa kuwabaka wengine na kesi zipo lakini analindwa.

Huku town huja na kuranda kwenye Mabar kuwatafuta wabongo awaangamize bila huruma.

Nimetoa mifano midogo tu ya Wapemba na hujuma ambayo hapa tunaona ncha tu, watafika mbali sana katika kuihujumu Tanganyika, wao wote lao ni moja, asikudanganye mtu, na ndio maana asilimia 100 yao wapo chama cha upinzani cha Hizbu kwa sasa wameikodi ACT ila Zitto akizingua wao wanahama kwa sekunde moja tu na kwenda chama che agenda ya Zanzibar kuwa nchi kamili na muungano ubaki kama wa EAC au SADC.
Ukimuona Mzanzibari CCM chama cha Mwalimu Nyerere wanae mchukia ujue yupo kimaslahi, na ndio maana wanajisikia vibaya sana kuvaa kijani. Mimi mwenyewe sio CCM ila naandika ukweli the ground situation hapa serikalini znz nilipo hali ni mbaya, Mwinyi wanasema ni mwizi wa kuletwa tu na wabongo, hawamkubali.

Wazanzibari wangebaki tu Makamu wa Rais tu madhali kwao nchi yao ina hii serikali kamili, huko Tanganyika wangekuwepo kulinda maslaha ya Zanzibar tu ndani ya Muungano.
Wapemba ndiyo watawala wa Zanzibar kwa sasa au wakati wowote baada ya Mapinduzi?
 
Karume aliuawa mwaka 1972, aliacha chama cha ASP kikiwa madarakani. Miaka mitano baadaye ASP ikauunganishwa na TANU kuunda CCM.
Natafakari tu kama Karume alitaka vyama navyo viunganishwe, ikawa sababu ya kuuawa. 💬 🤔
Karume alikuwa muuaji alipata kinachostahili , msitafute sababu za uongo kwanini aliuliwa.
 
Karume aliuawa mwaka 1972, aliacha chama cha ASP kikiwa madarakani. Miaka mitano baadaye ASP ikauunganishwa na TANU kuunda CCM.
Natafakari tu kama Karume alitaka vyama navyo viunganishwe, ikawa sababu ya kuuawa. 💬 🤔
1. Karume kauwawa na Wazanzibari wenye asili ya kiarabu hao hao ambae alioa kwao kumbe hawajasamehe ndugu zao kuondolewa, na taarifa yako lile lilikuwa jaribio la Mapinduzi mengine nchi irudi kwa Waarabu koko (Wamanga ambao wapo, yaani watoto maji ya kunde ya Waarabu wa zamani)
2. Zanzibar ipo mbioni kuvunja CCM ili Zanzibar iwe na ASP au CCM yake. Ndicho alichokisema Ali Karume akafukuzwa chama, alikataa swala lililo iva la siri kuwa Zanzibar isiende tena Dodoma, yaani Muungano ndio bye bye.
Hili jambo alilijaribu sana Amani Karume alipokuwa Rais wa Zanzibar 2000 hadi 2010 kuondoa CCM Zanzibar, irudi kwenye ASP ili Zanzibar iwe na Mamlaka kamili. Ajenda hii ipo hewani sasa Zanzibar itoke kwenye makucha ya CCM dhumuni kuu wasiletewe tena Rais aliepitishwa Dodoma na pia wakishinda wapinzani (waarabu hizbu wanaojiita ACT kwa muda tu) basi CCM kubwa ya Tanganyika isiingilie ushindi huo.
 
Kama wanapenda sana kujadili mapungufu ya Nyerere wajadili Kwa wakati ule siyo Kwa wakati huu. Nchi ngapi ambazo tulikuwa tunalingana uchumu wakati wa Nyerere na Leo wametuacha mbali, hapo Nyerere anahusikaje
 
Mtikila alianza kupinga muungano Nyerere akiwa hai, Nyerere ameshafariki kumlaumu ni kazi bure na Haina maana mbona vitu vingi wamebadilisha wakati Nyerere ameshafariki. kama wameweza kubadilisha hivi vitu hata muungano wanaweza kubadilisha.
 
Wewe huwa sikuelewi, tafsiri ulichoandika kwa Kiswahili.
Utakuwa mtu wa bara, huwezi kufahamu mentality ya Zanzibar. Yaani huyooooooo ni CCM damu nae au ndio kafuata neema tu kama walivyo Wazanzibari 100% wa kuzaliwa? Mzanzibari anakuwa na chuki ya chama cha Mwalimu Nyerere lakini wanafuata vyeo na pesa hivyo wanajificha, kila kila akipata fursa anavaa japo kwa siri rangi zao zamani nyekundu ya Cuf, sikuizi zambarau ya ACT ilimradi chama kinachounga mkono Mamlaka kamili ya Zanzibar.
Swali ni je huyo sasa yaani huyo huyo je nae ni kindaki ndaki au ni kama Amani Karume ambae sio CCM lakini aliweza kuigiza hadi akapata urais wa Zanzibar?
Muulize mpinzani yeyote anajua Karume ni ACT (sio ya Zitto, ya Waarabu alqaeda Hizbu)
 
Utakuwa mtu wa bara, huwezi kufahamu mentality ya Zanzibar. Yaani huyooooooo ni CCM damu nae au ndio kafuata neema tu kama walivyo Wazanzibari 100% wa kuzaliwa? Mzanzibari anakuwa na chuki ya chama cha Mwalimu Nyerere lakini wanafuata vyeo na pesa hivyo wanajificha, kila kila akipata fursa anavaa japo kwa siri rangi zao zamani nyekundu ya Cuf, sikuizi zambarau ya ACT ilimradi chama kinachounga mkono Mamlaka kamili ya Zanzibar.
Swali ni je huyo sasa yaani huyo huyo je nae ni kindaki ndaki au ni kama Amani Karume ambae sio CCM lakini aliweza kuigiza hadi akapata urais wa Zanzibar?
Muulize mpinzani yeyote anajua Karume ni ACT.
Sasa cha ajabu ni nini hapo?
 
Huwezi kurekebisha makosa ya Nyerere wakati mifumo mibovu aliyoiasisi bado ipo na inatetewa vikali na wanaonufaika na mifumo hiyo mibovu. Ni hadi Watanzania watakapo pata shuluba ya kutosha na kuamka ndipo marekebisho ya mifumo ya nchi hii inaweza kufanyika. Kwa sasa wewe na wewe tuendelee kunwa bia za ofa na wanzuki.

Nyerere ana mazuri yake mengi. Lakini kwenye muundo huu wa Muungano, Katiba na siasa za ujamaa aliyoiasisi kwa nguvu zote alichemka.
Hakuna ulichoandika hapa.

Kwanini isiwezekane kurekebisha? hivi hata mnajua mnachokiandika kweli?

Kwani hayo makosa ya Nyerere yamegeuka maandiko ya kwenye biblia mpaka yasirekebishike?

Kama unaandika kuna mifumo mibovu aliyoasisi Nyerere inayowanufaisha wale wanaoitetea, sasa kwanini upoteze muda wako kumlaumu Nyerere ambaye hayupo, na kuwaacha hao walafi waliopo sasa?

Nyie ni wapuuzi, naona baada ya propaganda yenu ya udini kufeli, mmemgeukia Nyerere, hapo ndio mmefeli kabisa, katafuteni ujinga mwingine, yule mzee muacheni apumzike kwa amani.
 
Hallo,

Moja kwa moja kwenye uzi, katika kumzungumzia J.K.Nyerere upande wake wa mazuri ndio unaotukuzwa sana kwa sifa kedekede hali hii imefanya upande wake mbovu kutokuzungumzwa.

Katika makosa makubwa aliyofanya huyu mzee ni kutengeneza taifa la kijinga, sio upande wa Tanganyika wala sio huu muungano uchwara wa kipuuzi aliouasisi mambo kote hovyo hovyo.

Nyerere aligeuza kikundi chake (wanasiasa) Tanganyika na Tanzania kuwa miungu watu, wao ndio sheria, amri na watafasiri haki kwa Watanganyika na Watanzania.

Nyerere alitengeneza Watanganyika kuwa mazezeta yake ya ndio mzee kwa kila uchafu utakaofikiriwa na kiongozi yeyote mwenye mamlaka hapa nchini. Hali hii imepelekea kutumiwa na Marais wote waliomfuata sioni ikikoma mbele bila jitihada stahiki kuchukuliwa.

Leo Tanganyika na Tanzania anaweza akaongoza nchi hata mtoto mdogo wa miaka miwili na hakuna reaction yoyote itafanyika. Hata jiwe linaweza kugeuzwa Rais na hakuna kitu chochote kitatokea nchini.

Mwalimu Nyerere alijenga taifa la kifala sana kuwahi kuliona duniani mpaka sasa kwa umri huu nilio nao.

Next thread nita zungumzia makosa yake katika vyombo vya ulinzi na usalama, vyama vya ushirika, vyama vya siasa.
Uko sahihi.
 
Sasa cha ajabu ni nini hapo?
Hujajibu, kwa hio ni CCM kweli au kafata pesa? Mana kuna siku kauli zamtoka kama zile za Karume kuwaita CCM mkutano mkuu Dodoma kuwa ni vichwa vya samaki tu ( japo alizidi Konyagi siku akinywa kwa chupa ya maji)
 
Wewe ama ni mnufaika wa mfumo uliopo au umeamua kuwa chawa mfumo uliopo bila kujitambua ndo maana unatoa ushuzi wako wa maharage ya mbeya. Mtanzania mwenye akili iliyokaa sawa hawezi kuutetea mfumo wa uendeshaji wa nchi uliopo. Haya yote muasisi wake n Mwalimu.
Hata hunielewi, wengi hamna akili ukiwemo, ndio maana hata nikisoma mengi uliyoandika, naona ni maneno machafu tu, inaonesha vile ubongo wako ulivyojaa uchafu pia.

Nyerere kama alikosea, hawa waliopo wanafanyaje kurekebisha makosa yake? kwanini muwaache wao waendelee kuyutafuna badala yake mpoteze muda wenu kumshambulia Nyerere ambaye alishasema tunaiga ujinga wake, badala ya mazuri yake?

Hamjielewi, kwa ujinga wenu mnapoteza klmuda kulea tatizo, badala ya kuliondoa kwa kuwaambia ukweli waliopo.
 
Back
Top Bottom