Tanganyika na Tanzania ya ovyo ni zao la Hayati Mwalimu Nyerere

Tanganyika na Tanzania ya ovyo ni zao la Hayati Mwalimu Nyerere

Huyu jama kapokelewa na waislamu wa pwani wakamuamini wakamsaidia kwa harakati zote alivyo pata uraisi akaanza kubaguwa waislamu kisiasa na kielimu, kafiri ni kafiri ata umsaidie je atakuja kukupenda
QUR'AN ilishawaelekeza waislam wasiwafanye wakiristo wandani wao,wao wakamuweka mbele kwenye chama Chao wakampigia na chapuo,hata sheikh takadir aliposhtuka na kuwaonya,wakamgeuka,akawaambia watatawaliwa wao na vizazi vyao miaka mia,haikufika mbali,1967 makucha yakajitokeza
 
Hapo nakuunga mkono Kwa asilimia 100, Mtoto aliyezaliwa wakati Nyerere ametoka kwenye uongozi wengine wanaitwa Babu huku mtu analalamika kwasababu ya Nyerere. hiyo ni akili kweli
Hawa wapuuzi yupo aliyewatuma kumtukana Nyerere baada ya udini wao kufeli, tutaendelea kwenda sawa tu mpaka kieleweke, haachwi mjinga yeyote nyuma.
 
Na huu ndio ukweli mchungu ! Yule Mzee alishaondoka na hatorudi tena !! Ina maana alikwenda akiwa amezifungia Akili zetu kabatini na funguo ameenda nazo ?!!

Basi siye wote ni hamnazo !!
Kuna wapuuzi wametumwa kuja kusoma upepo, wanajaribu kwa Nyerere, wamefeli.
 
Hawa kweli wanaweza kuwa na uwezo mdogo wa akili au wanapotosha Kwa makusudi. Usingizie Nyerere Kwa ufisadi unaofanyika sasa? Hii ni akili kweli?
Wasiachwe, ni wapuuzi waliotumwa na watawala kuja kubadilisha upepo baada ya ule wa udini jana kufeli pale Temeke.
 
Hayo ni matope sio akili ! Wajerumani wangeendelea kujadili ubaya wa Hitler wasingekuwa walivyo leo vinara wa uchumi katika bara la Ulaya !!

Wao walichukua mazuri yake na wakayatupilia mbali mabaya yake !!
Kuna akili ndogo zinaztaka kutawala hapa JF, sharti zipigwe matofali zikafie mbali.
 
Hallo,

Moja kwa moja kwenye uzi, katika kumzungumzia J.K.Nyerere upande wake wa mazuri ndio unaotukuzwa sana kwa sifa kedekede hali hii imefanya upande wake mbovu kutokuzungumzwa.

Katika makosa makubwa aliyofanya huyu mzee ni kutengeneza taifa la kijinga, sio upande wa Tanganyika wala sio huu muungano uchwara wa kipuuzi aliouasisi mambo kote hovyo hovyo.

Nyerere aligeuza kikundi chake (wanasiasa) Tanganyika na Tanzania kuwa miungu watu, wao ndio sheria, amri na watafasiri haki kwa Watanganyika na Watanzania.

Nyerere alitengeneza Watanganyika kuwa mazezeta yake ya ndio mzee kwa kila uchafu utakaofikiriwa na kiongozi yeyote mwenye mamlaka hapa nchini. Hali hii imepelekea kutumiwa na Marais wote waliomfuata sioni ikikoma mbele bila jitihada stahiki kuchukuliwa.

Leo Tanganyika na Tanzania anaweza akaongoza nchi hata mtoto mdogo wa miaka miwili na hakuna reaction yoyote itafanyika. Hata jiwe linaweza kugeuzwa Rais na hakuna kitu chochote kitatokea nchini.

Mwalimu Nyerere alijenga taifa la kifala sana kuwahi kuliona duniani mpaka sasa kwa umri huu nilio nao.

Next thread nita zungumzia makosa yake katika vyombo vya ulinzi na usalama, vyama vya ushirika, vyama vya siasa.
Kama tunamlaumu Nyerere leo miaka 25 (robo karne) tangu afariki dunia. Basi hatujielewi na hatutakuja kujiamulia mambo.

Watoto waliozaliwa baada ya kifo chake wengi wamemaliza degrees zao. Halafu ulaumu kivuli cha nyerere ?!
 
Pole sana Kijana

MASIKINI nimekuonea huruma mno.

Humjuhi Mwalimu Nyerere.
 
Hawa wapuuzi yupo aliyewatuma kumtukana Nyerere baada ya udini wao kufeli, tutaendelea kwenda sawa tu mpaka kieleweke, haachwi mjinga yeyote nyuma.
Kwamba miaka 24;ya utawala wa Nyerere Haina athari kwa Tanzania?!..kufukia shimo la miaka 24 so kazi ndogo, ujerumani ilichakaa WWII,Leo uchumi mkubwa ulaya,ilichukua miaka mingapi?..unajua nchi aliyorithi mwinyi!?..hovyo,raia viraka tu,njaa,shule hakuna,hebu fikiria mwinyi angerithi nchi kiuchumi imechangamka Kama kipindi Cha jakaya,Leo tungekua wapi?..scent ya Nyerere itakuwepo walau kwa miaka 30 ijayo
 
Hallo,

Moja kwa moja kwenye uzi, katika kumzungumzia J.K.Nyerere upande wake wa mazuri ndio unaotukuzwa sana kwa sifa kedekede hali hii imefanya upande wake mbovu kutokuzungumzwa.

Katika makosa makubwa aliyofanya huyu mzee ni kutengeneza taifa la kijinga, sio upande wa Tanganyika wala sio huu muungano uchwara wa kipuuzi aliouasisi mambo kote hovyo hovyo.

Nyerere aligeuza kikundi chake (wanasiasa) Tanganyika na Tanzania kuwa miungu watu, wao ndio sheria, amri na watafasiri haki kwa Watanganyika na Watanzania.

Nyerere alitengeneza Watanganyika kuwa mazezeta yake ya ndio mzee kwa kila uchafu utakaofikiriwa na kiongozi yeyote mwenye mamlaka hapa nchini. Hali hii imepelekea kutumiwa na Marais wote waliomfuata sioni ikikoma mbele bila jitihada stahiki kuchukuliwa.

Leo Tanganyika na Tanzania anaweza akaongoza nchi hata mtoto mdogo wa miaka miwili na hakuna reaction yoyote itafanyika. Hata jiwe linaweza kugeuzwa Rais na hakuna kitu chochote kitatokea nchini.

Mwalimu Nyerere alijenga taifa la kifala sana kuwahi kuliona duniani mpaka sasa kwa umri huu nilio nao.

Next thread nita zungumzia makosa yake katika vyombo vya ulinzi na usalama, vyama vya ushirika, vyama vya siasa.
Huko alikoenda na asirudi kabisa.
 
Kwa kosa hili alilofanya Nyerere, ndiomaana hadi leo Migodi ya Almasi, Dhahabu si mali ya Watanzania, Inaendelea kulipa madeni ya mali zile zilizotaifishwa.

Kama Hamjui basi muelewe.

Dunia ya leo ukivunja mkataba au kudhulumu maliza watu kwa mintarafu ya kisiasa, utaingiza nchi katika kulipa deni hilo hadi ifilisike.


Hivi hatuoni ajabu sisi kuwa tUnachimba Dhahabu lakini umasikini unaendelea kukua?
kulikoni?
Hapo Nyerere alifeli sana.
 
Kwamba miaka 24;ya utawala wa Nyerere Haina athari kwa Tanzania?!..kufukia shimo la miaka 24 so kazi ndogo, ujerumani ilichakaa WWII,Leo uchumi mkubwa ulaya,ilichukua miaka mingapi?..unajua nchi aliyorithi mwinyi!?..hovyo,raia viraka tu,njaa,shule hakuna,hebu fikiria mwinyi angerithi nchi kiuchumi imechangamka Kama kipindi Cha jakaya,Leo tungekua wapi?..scent ya Nyerere itakuwepo walau kwa miaka 30 ijayo
Uko sahihi kabisa ila kinachoharibu Watanzania wengi ni mapenzi tu kwa mtu wanayemwamini.
 
Kwamba miaka 24;ya utawala wa Nyerere Haina athari kwa Tanzania?!..kufukia shimo la miaka 24 so kazi ndogo, ujerumani ilichakaa WWII,Leo uchumi mkubwa ulaya,ilichukua miaka mingapi?..unajua nchi aliyorithi mwinyi!?..hovyo,raia viraka tu,njaa,shule hakuna,hebu fikiria mwinyi angerithi nchi kiuchumi imechangamka Kama kipindi Cha jakaya,Leo tungekua wapi?..scent ya Nyerere itakuwepo walau kwa miaka 30 ijayo
Umeandika ujinga mtupu, unanionesha tu ulivyo dhaifu na mvivu, ndio maana mnaishia kumlaumu Nyerere.
 
Uko sahihi kabisa ila kinachoharibu Watanzania wengi ni mapenzi tu kwa mtu wanayemwamini.
Nyie ni wavivu na wazembe wa mabadiliko ndio maana hii Tanganyika bado iko hapa, wavivu wa kifikra na kiutendaji.

Siwezi kupoteza hata sekunde moja kumlaumu Nyerere aliyeondoka duniani zaidi zaidi ya miaka 20 iliyopita, na madarakani zaidi ya miaka 30 iliyopita, kwa matatizo yanayonikuta leo?

Ukijumlisha hiyo miaka tangu Nyerere aondoke madarakani, na duniani, ni zaidi ya miaka 50! umri wa mzee huu, sasa iweje kwa miaka yote hiyo bado tusiweze kurekebisha makosa yake na kuishia kumlaumu?!

Nyie ni wajinga wapuuzi msio na aibu.
 
Kwa tukae na upumbavu mpaka kiama ama
Hatuwezi kubadilika tena kisa uongozi ulianza vibaya?

Hebu tuache yaliopita tuunde nchi mpya basi la sivyo lawama za umasikini hazitaisha
 
Hujawahi kuwa na uwezo wa kujibu hoja zangu, na kwa upeo wako na umri, hautakuwa nao mpaka unakufa.

Sorry.
Wewe una hoja au manung'uniko?..ulishawahi jibu hoja yangu,hata hii ya Leo!?..wewe ni ng'ombe,endelea kutia ulimi puani
 
Back
Top Bottom