Tangawizi, limao, apple vinegar na vitunguu swaum vimeniletea shida

Asante kwa ushauri mkuu Mzizi.
 
Hebu tujuze lengo hasa la kunywa izo vitu ilikuwa ni nini!
 
mchanganyiko wa tangawizi na vitunguu swaumu unapelekea damu iwe nyembamba sana, ukiendelea kunywa unaweza kushangaa damu inakutoka puani, kwa sababu inakuwa imekuwa nyembemba sana, moyo ukisukuma inakwenda kasi zaidi kuliko ikiwa viscous, kuwa makini
 
Asante k
Asante kwa ushauri mkuu
 
Mamchanganyiko mengine sumu!!
 
Kaa! Jamaaa una moyo yaani APPLE CIDER VINEGAR,HALAFU NA TANGAWIZ HALAFU TENA KITUNGUU SWAUM mmmmmh mkuu pole Sana .wakati mwingine changanya na zako!
 
Huo mchanganyiko unajibu nini? Au unamsaidia nini? Hizo punje za kitunguu swaum,unazitwanga au unachanganyaje kwenye huo mchanganyiko? Unakunywa kila siku au?.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…