The Palm Tree
JF-Expert Member
- Apr 13, 2013
- 7,951
- 12,541
Takribani wiki NNE au TATU zilizopita waziri wa OR - TAMISEMI Ndg Selemani Jaffo alizungumza na waandishi wa habari...
Kati ya mambo mengi aliyozungumza, aliutangazia umma pia kuwa, serikali imeshatangaza AJIRA MPYA ZA UALIMU 12,000 kwa shule za Msingi & Sekondari...
Ukiingia katika website ya TAMISEMI, utaliona tangazo hilo pia....
Aidha vijana maelfu kwa maelfu waliohitimu mafunzo ya ualimu ktk vyuo mbalimbali kwa ngazi tofauti, cheti hadi shahada wanaosota mitaani, walifurahia habari hiyo...
Haraka haraka "link" ya tangazo ikadokolewa na kuanza kusambaa kwa kasi ya umeme kupitia social medias km FB, Twitter, Instagram, WhatsApp nk wakitaarifiana kuhusu fursa hii...
Mimi ikanifikia kupitia WhatsApp nami bila kusita nikashea na baadhi ya vijana ninaowafahamu ili wajaribu kutuma maombi kubahatisha kupata kazi hiyo....
Tangazo linasema, kila muhitimu mwenye sifa aombe nafasi ONLINE kwa utaratibu ambao umeelezwa vizuri tu ndani ya tangazo hilo...
Very unfortunately, na haieleweki hasa tatizo ni nini kwani kila aliyeomba, anaambiwa asubiri "utaratibu haujakamilika, na ukishakuwa tayari utataarifiwa"...
This is a serious Joke Mh. Selemani Jaffo....!!
Wewe ukiwa kama Waziri mwenye dhamana na TAMISEMI, huwezi kutoka hadharani na kutangaza hili jambo huku ukitambua kuwa utaratibu haujakamilika.....!
Mnajua ni usumbufu kiasi gani mmesababisha kwa vijana wetu ambao wako so desperate mitaani?
Tungependa kujua haya tafadhali;
å Je, hii siyo ulaghai uleule wa miaka karibu mitano ya CCM na serikali wanayoingoza?
å Au je, hizi siyo siasa zilizile za ulaghai wa CCM zilizodumu miaka mitano sasa ya Magufuli na kukolezwa na harakati za kuelekea uchaguzi mkuu wa mwaka huu 2020 kuwahadaa watanzania??
Kati ya mambo mengi aliyozungumza, aliutangazia umma pia kuwa, serikali imeshatangaza AJIRA MPYA ZA UALIMU 12,000 kwa shule za Msingi & Sekondari...
Ukiingia katika website ya TAMISEMI, utaliona tangazo hilo pia....
Aidha vijana maelfu kwa maelfu waliohitimu mafunzo ya ualimu ktk vyuo mbalimbali kwa ngazi tofauti, cheti hadi shahada wanaosota mitaani, walifurahia habari hiyo...
Haraka haraka "link" ya tangazo ikadokolewa na kuanza kusambaa kwa kasi ya umeme kupitia social medias km FB, Twitter, Instagram, WhatsApp nk wakitaarifiana kuhusu fursa hii...
Mimi ikanifikia kupitia WhatsApp nami bila kusita nikashea na baadhi ya vijana ninaowafahamu ili wajaribu kutuma maombi kubahatisha kupata kazi hiyo....
Tangazo linasema, kila muhitimu mwenye sifa aombe nafasi ONLINE kwa utaratibu ambao umeelezwa vizuri tu ndani ya tangazo hilo...
Very unfortunately, na haieleweki hasa tatizo ni nini kwani kila aliyeomba, anaambiwa asubiri "utaratibu haujakamilika, na ukishakuwa tayari utataarifiwa"...
This is a serious Joke Mh. Selemani Jaffo....!!
Wewe ukiwa kama Waziri mwenye dhamana na TAMISEMI, huwezi kutoka hadharani na kutangaza hili jambo huku ukitambua kuwa utaratibu haujakamilika.....!
Mnajua ni usumbufu kiasi gani mmesababisha kwa vijana wetu ambao wako so desperate mitaani?
Tungependa kujua haya tafadhali;
å Je, hii siyo ulaghai uleule wa miaka karibu mitano ya CCM na serikali wanayoingoza?
å Au je, hizi siyo siasa zilizile za ulaghai wa CCM zilizodumu miaka mitano sasa ya Magufuli na kukolezwa na harakati za kuelekea uchaguzi mkuu wa mwaka huu 2020 kuwahadaa watanzania??