Tangazo la ajira kutoka Jeshi la Polisi Tanzania Aprili, 2024

Kwenye mfumo wa maombi hakuna sehemu ya kujaza hiyo form mkuu kwahyo achana nayo kwa saivi, ni Nida, barua ya maombi na vyeti vyako vya taaluma ndo unatumia kuo
iv kama sina nida hamna option nyngne maana kuanzia nijaze form cjapata mpk wa leo
 
Original copies za form four na six zilipotea,zipo kwenye mchakato wa kutafta mbadala
Result slip zipo,vya chuo original kipo na leseni ya kazi ipo,watazingua huko mbeleni kwenye usaili au apambane nao tu?
 
Jamani waheshimiwa habari za muda huu, mbona najaribu kuomba kazi za polisi mfumo umenigomea Mimi au na wengine pia ni ivo
 
Original copies za form four na six zilipotea,zipo kwenye mchakato wa kutafta mbadala
Result slip zipo,vya chuo original kipo na leseni ya kazi ipo,watazingua huko mbeleni kwenye usaili au apambane nao tu?
Apambane nao huwezi jua
 
afrika ni bara la matapeli , serilali iweke na salary scale kabisa mtu ujue unapambania nini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…