polokwane
JF-Expert Member
- Dec 16, 2018
- 3,361
- 5,842
Nikuulize kwanza wewe unaakili timamu? Maana sidhani hata kama unaelimu yeyote ile laa! Kama unayo basi ndo hizo div 4 za mwisho na hasa kwa mawazo yako nayo yaona hapaUna akili timamu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nikuulize kwanza wewe unaakili timamu? Maana sidhani hata kama unaelimu yeyote ile laa! Kama unayo basi ndo hizo div 4 za mwisho na hasa kwa mawazo yako nayo yaona hapaUna akili timamu?
Majibu yako yana onesha kabisa wewe bado mtoto mdogo lakini akili pia huna kichwan mweupe kabisa stress zako za kufeli unaona uje uzimalizie huku.Wewe ni choko tu kama huyo boya mwenzako
Kumbe?Kwa hiyo unakubali lugha inasumbua walimu wetu, si tu kwa kuongea bali hata kusoma na kuandika?Usicho kijua kuhusu lugha ni kwamba kuna lugha ya mazungumzo na lugha ya kufundisha hivi ni vitu viwili tofauti kwa walio soma linguistic wananielewa vyema lakin wewe sidhani kama utanielewa maana nakuona kabisa kichwani mtupu ingawa wewe unajiona mahiri.
Na ndio maana wakenya ni walimu wazuri sana wa kiswahili na wana aminika mataifa ya wasio tumia kiswahili lakini wana kiswahili kibovu sana cha kuongea.
Nia ukweli wala hakuna anaedhalilishwa, waalimu wajitahidi kuwa proffesional na waongeze elimu waachane na habari za kuisaidia ccm kuiba na kuhesabu sensaMwalimu yupo darasani anasema, which is talking? Wanafunzi wanaishia kushangaa.
Tangazo hili la haki elimu ni kama linadhalilisha kada ya ualimu. Je ni kweli walimu wengi hawajui Kiingereza? Sasa inakuaje mtu anafika hadi chuo kikuu hajui kimombo? Je kada nyingine nazo vipi kuhusu kujua kiingereza kwa watu wake?
My take:
Tangazo lile lipigwe stop asap!
------
Usinichekeshe, wewe unayetaka haki elimu iende kwenye sector za afya wakati sole purpose yake ni elimu ulipata division ngapi? One? Kwa walimu kama walioneshwa kwenye tangazo sio? Pathetic.Nikuulize kwanza wewe unaakili timamu? Maana sidhani hata kama unaelimu yeyote ile laa! Kama unayo basi ndo hizo div 4 za mwisho na hasa kwa mawazo yako nayo yaona hapa
Nilikuwa nawajibu bila ya kutukana wala kuita watu majina ya kudhalilisha ila nyinyi ustaarabu umewapita kushoto.Majibu yako yana onesha kabisa wewe bado mtoto mdogo lakini akili pia huna kichwan mweupe kabisa stress zako za kufeli unaona uje uzimalizie huku.
Ni utoto tu ndiyo unao kusumbua. Ukikua utaacha.Wewe ni choko tu kama huyo boya mwenzako
SawaSasa tunatakiwa tupambane na walimu, wao ndio wanafundisha watu. Sisi wote tumepita darasani.
Sawa mwalimu.Ni utoto tu ndiyo unao kusumbua. Ukikua utaacha.
Kwa mtazamo wangu sioni sababu ya kuona tangazo ni baya na tuwe pia tunapokea mrejesho hata kama unauma au laa.wengi tunapenda kusifiwa au kupata mrejesho chanya.kiukweli watanzania wengi lugha hii inatusumbua kwa sababu mazingira tuliyotoka ama mfumo wetu wa elimu pia unachangia.Mwalimu yupo darasani anasema, which is talking? Wanafunzi wanaishia kushangaa.
Tangazo hili la haki elimu ni kama linadhalilisha kada ya ualimu. Je ni kweli walimu wengi hawajui Kiingereza? Sasa inakuaje mtu anafika hadi chuo kikuu hajui kimombo? Je kada nyingine nazo vipi kuhusu kujua kiingereza kwa watu wake?
My take:
Tangazo lile lipigwe stop asap!
------
That's nice!You are now debating!🤣🤣Sasa home boy mbona unakanyaga cable na wewe.Hivi wanasema most teachers au most of teachers? Kingine hivi do we use a language or speak it?
But they are the very people who taught you how to read,write and count.Shame.Huo ndio ukweli..walimu wengi ni vilaza..mana hata ualimu wanaoenda kusomea ni wale wenye division 3 na 4 za mwisho.
#MaendeleoHayanaChama
Sent using Jamii Forums mobile app