Tangazo la Haki Elimu linadhalilisha kada ya Ualimu

Tangazo la Haki Elimu linadhalilisha kada ya Ualimu

Ila elimu ya Tanzania ngumu sana. Unakuta mwalimu anasoma pwenti Kwa lugha ya kiingereza ila katika kuifafanua na kuielezea anatumia kiswahili Kwa 100%, wanafunzi wanakuwa wameelewa vizuri pwenti baada ya ufafanuzi.

Mwalimu anahamia Mada nyingine na mtindo ni huo huo. Na akiuliza wanafunzi kama wameelewa wanajibu Kwa sauti kabisa ndiyoooo maana ufafanuzi umetolewa Kwa lugha Yao.

Shida inakuja katika mitihani ambayo haipimi uelewa ila inapima kile mwalimu anachotaka. Mwanafunzi ana ufafanuzi na maelezo ya kiswahili kichwani ila mtihani unahitaji kingereza kilichonyooka. Shida kubwa iko hapa.

Mbali na kubadilisha mbinu za ufundishaji na ujifunzaji, pia kazi kubwa inahitajika katika mabadiliko ya mitaala na lugha rasmi ya kutumika katika ujifunzaji na ufundishaji. Ni muhimu sana kuzingatia Hilo suala la Lugha. Wengi wana Kwama hapo.
 
Watanzania sisi ni mabingwa wa kutema shombo sasa mnataka tuteme na yai watu watakimbiaa!
 
Tuacheni unafki, asilimia kubwa ya walimu wanaongea broken english.
Tuje kwako Mheshimiwa, wewe kama wewe, unaweza kuongea lugha ipi kwa ufasaha, na pasipo kukosea matamshi yake?

Au ndiyo kusema unamnyooshea mwenzako kidole kimoja 👉 halafu vidole vingine vinaelekea kwako!
 
Tuje kwako Mheshimiwa, wewe kama wewe, unaweza kuongea lugha ipi kwa ufasaha, na pasipo kukosea matamshi yake?

Au ndiyo kusema unamnyooshea mwenzako kidole kimoja 👉 halafu vidole vingine vinaelekea kwako!
Mimi ni mwalimu?
Umesoma ulichoandika?

Kwa hiyo excuse yako ni kwamba kisa mimi siwezi kuongea fluently basi na mwalimu nae abutue!! Upo serious?

Maana ya kuwa mwalimu ni kuwa kiongozi, endapo mwalimu anaongea broken basi mimi mwanafunzi kuna asilimia kubwa sana ntafuata nyayo za mwalimu.
 
Mimi ni mwalimu?
Umesoma ulichoandika?

Kwa hiyo excuse yako ni kwamba kisa mimi siwezi kuongea fluently basi na mwalimu nae abutue!! Upo serious?

Maana ya kuwa mwalimu ni kuwa kiongozi, endapo mwalimu anaongea broken basi mimi mwanafunzi kuna asilimia kubwa sana ntafuata nyayo za mwalimu.
Sasa kama unaona hao walimu asilimia kubwa wanaongea broken english, si ukasomee basi huo ualimu ili uwe mwalimu bora kuliko hao wengine!

Bila shaka wewe na hao haki elimu, akili zenu zinafanana. Mnapenda tu kutoa kasoro, kunyanyapaa watu wengine, huku mkiwa ni useless.
 
Ila elimu ya Tanzania ngumu sana. Unakuta mwalimu anasoma pwenti Kwa lugha ya kiingereza ila katika kuifafanua na kuielezea anatumia kiswahili Kwa 100%, wanafunzi wanakuwa wameelewa vizuri pwenti baada ya ufafanuzi.

Mwalimu anahamia Mada nyingine na mtindo ni huo huo. Na akiuliza wanafunzi kama wameelewa wanajibu Kwa sauti kabisa ndiyoooo maana ufafanuzi umetolewa Kwa lugha Yao.

Shida inakuja katika mitihani ambayo haipimi uelewa ila inapima kile mwalimu anachotaka. Mwanafunzi ana ufafanuzi na maelezo ya kiswahili kichwani ila mtihani unahitaji kingereza kilichonyooka. Shida kubwa iko hapa.

Mbali na kubadilisha mbinu za ufundishaji na ujifunzaji, pia kazi kubwa inahitajika katika mabadiliko ya mitaala na lugha rasmi ya kutumika katika ujifunzaji na ufundishaji. Ni muhimu sana kuzingatia Hilo suala la Lugha. Wengi wana Kwama hapo.
Msingi mzuri unaaza tangu primary ,tumesoma kiugumu Sana hamfundishwi kujieleza ndio hata point watoto wanashindwa kuzitetea

kingereza nacho mtihani unafika form one ndio unakutana nacho hapo inakuwa lugha ngeni kwako maana ulikotoka umepitishwa tu shwaa! Balaa zaidi linakuja mwalimu anakuchanganyia lugha kama uliyosema ,mwisho wa siku unamaliza form four kichwa cheupe English unazozijua ni zile za definition na vibroken kadhaa.

Hawa kina junior ndio wanamsingi mzuri sana na hizi English medium zao hadi nawaonea mivu
 
Sasa kama unaona hao walimu asilimia kubwa wanaongea broken english, si ukasomee basi huo ualimu ili uwe mwalimu bora kuliko hao wengine!

Bila shaka wewe na hao haki elimu, akili zenu zinafanana. Mnapenda tu kutoa kasoro, kunyanyapaa watu wengine, huku mkiwa ni useless.
Kijana!! Ambacho unashindwa kuelewa ni kipi? Endapo wewe ni Daktari basi hakikisha ni daktari bora, endapo wewe ni mwalimu basi hakikisha wewe ni mwalimu bora na si bora mwalimu.

Nchi hii imejaa watu kama nyinyi mkiambiwa mjirekebishe na kujiboresha unaona umenyanyapaliwa of which ni outright madness.

Sasa endapo kitu ambacho mwalimu mwenyewe anashindwa huyo mwanafunzi unategemea atakuwaje?
 
Huo ndio ukweli..walimu wengi ni vilaza..mana hata ualimu wanaoenda kusomea ni wale wenye division 3 na 4 za mwisho.

#MaendeleoHayanaChama

Sent using Jamii Forums mobile app
Cha kushangaza sasa ndio hao hao wenye sifa unazo zisema ndio walio kufundisha wewe hadi leo ukaweza kuwatukana , kweli maajabu ya mtoto kuutukana uchi wa mama yake ulio mzaa.
 
Kijana!! Ambacho unashindwa kuelewa ni kipi? Endapo wewe ni Daktari basi hakikisha ni daktari bora, endapo wewe ni mwalimu basi hakikisha wewe ni mwalimu bora na si bora mwalimu.

Nchi hii imejaa watu kama nyinyi mkiambiwa mjirekebishe na kujiboresha unaona umenyanyapaliwa of which ni outright madness.

Sasa endapo kitu ambacho mwalimu mwenyewe anashindwa huyo mwanafunzi unategemea atakuwaje?
Kwani kujiboresha na kuwa mwalimu bora ni kujua kuongea kingereza kwa ufasaha!? Ndivyo mlivyo kalilishwa na wajinga wenzenu kwamba kuongea kingereza ndio kustaarabika na kuwa na akili!? Kweli wajinga na watumwa wa mawazo bado mpo wengi sana nchi hii.
 
Mwalimu yupo darasani anasema, which is talking? Wanafunzi wanaishia kushangaa.

Tangazo hili la haki elimu ni kama linadhalilisha kada ya ualimu. Je ni kweli walimu wengi hawajui Kiingereza? Sasa inakuaje mtu anafika hadi chuo kikuu hajui kimombo? Je kada nyingine nazo vipi kuhusu kujua kiingereza kwa watu wake?

My take:
Tangazo lile lipigwe stop asap!

------
Kwani ni uongo?
 
Logic ya lile tangazo ni kwamba inawezekana vipi wanafunzi wafundishwe masomo kwa lugha ya kiingereza (sekondari)ikiwa walimu wenyewe hawaielewi vizuri lugha hiyo? Ndio wale wanafunzi wakatamani wangefundishwa kwa lugha ya kiswahili ili waeleww kinachofundishwa.
Hii kwangu sio ishu, eti kwamba lugha ndo chanzo cha mwanafunz kutoelewa na kufeli.. wengi wetu tumetokea shule za st.kayumba na sekondar tukasoma za kata hakuna walimu na bdo tukasoma na kufaulu vzur tuu... hilo la lugha sio point
 
Back
Top Bottom