Sasa kama Phd holders hawajui hapo mwl wa cheti unamlaumu nini. Tatizo lilianzia kwenye azimio la Arusha. Tuendelee kuongea matope tu.
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndalichako Ana degree ngapi na je yuko competent kwenye English?Huo ndio ukweli..walimu wengi ni vilaza..mana hata ualimu wanaoenda kusomea ni wale wenye division 3 na 4 za mwisho.
#MaendeleoHayanaChama
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndali katisha sana, eti enzi zake alikuwa kipanga balaaaa, ana mi diploma, digrii, mastaz, dokta hadi uprofesa na yote hayo kayapata kwa kimomboWewe unashangaa nini hapo .
Magufuli na Ndalichako uliwahi kuwasikia kiingareza chao 😂😂😂😂
🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Mkuu sio suala la ukilaza, watu wamekimbilia mkopo na ajira za moja kwa moja. Wapo wenye division 1 hadi 3 kama ilivyo kwenye kada zingine.Huo ndio ukweli..walimu wengi ni vilaza..mana hata ualimu wanaoenda kusomea ni wale wenye division 3 na 4 za mwisho.
#MaendeleoHayanaChama
Sent using Jamii Forums mobile app
Naweza sema nafuu Kada ya ualimu na medical ndipo kuna controll, kwingineko ni majanga tupu. D 1 au 2 anahiliwa certificateMkuu sio suala la ukilaza, watu wamekimbilia mkopo na ajira za moja kwa moja. Wapo wenye division 1 hadi 3 kama ilivyo kwenye kada zingine.
Hilo la division 4 then uende ualimu huenda ulikuwa utaratibu wa zamani.
Na kama hadi sasa unatumika, basi hata kwenye kada zingine pia huwezi kuwakosa wenye hiyo division 4.
Na suala la changamoto za kuongea kingereza kilichonyooka sio kwa walimu tu hata kada zingine hili hawalikwepi.
Haha umemkamata vizuriSasa home boy mbona unakanyaga cable na wewe.Hivi wanasema most teachers au most of teachers? Kingine hivi do we use a language or speak it?
Wanawaonea sana walimu wetuTusameheeni
hapo sasa! anamnanga asiyejua kwa kuonyesha alivyo empty kwenye jambo hilohilo. Asante kwa kichapo ulichompa.Sasa home boy mbona unakanyaga cable na wewe.Hivi wanasema most teachers au most of teachers? Kingine hivi do we use a language or speak it?
Sio kweli mkuu labda wanaosoma certificate huko wakawe walimu wa primary ila wanaosoma degree sikubaliani na weweHuo ndio ukweli..walimu wengi ni vilaza..mana hata ualimu wanaoenda kusomea ni wale wenye division 3 na 4 za mwisho.
#MaendeleoHayanaChama
Sent using Jamii Forums mobile app
No way out....tumekubaliWanawaonea sana walimu wetu
Hawajui kama nyinyi ni kada mama
hilo tangazo liko wapi sasaMwalimu yupo darasani anasema, which is talking? Wanafunzi wanaishia kushangaa.
Tangazo hili la haki elimu ni kama linadhalilisha kada ya ualimu. Je ni kweli walimu wengi hawajui Kiingereza? Sasa inakuaje mtu anafika hadi chuo kikuu hajui kimombo? Je kada nyingine nazo vipi kuhusu kujua kiingereza kwa watu wake?
My take:
Tangazo lile lipigwe stop asap!
Ni kweli, binafsi undergraduate nimefundishwa na lecturers wa chuo wenye Phd kabisa ila kingereza kina wapiga chengaWewe unataka kukuza mada tu, kuna watu na digrii 3 wameshindwa na wakatetewa kwamba kiingereza siyo muhimu, halafu wewe unaongelea walimu?
Huwezi compromise facts with hearsay!! sio walimu tu hata graduates wengi english ni tatizoMwalimu yupo darasani anasema, which is talking? Wanafunzi wanaishia kushangaa.
Tangazo hili la haki elimu ni kama linadhalilisha kada ya ualimu. Je ni kweli walimu wengi hawajui Kiingereza? Sasa inakuaje mtu anafika hadi chuo kikuu hajui kimombo? Je kada nyingine nazo vipi kuhusu kujua kiingereza kwa watu wake?
My take:
Tangazo lile lipigwe stop asap!