Tangazo la kifo cha Benjamin Mkapa, Kurungenzi ya Mawasiliano Ikulu lawamani. Inahitaji kusaidiwa kumsaidia Rais - Jicho Letu Ndani ya Habari

Hata mm niliona kama hakujiandaa as if ametoka kugegedana chap akaibukia live kutangaza kifo. Proper way ingekuwa SAA 12 ASUBUHI AKIWA SAMBAMBA NA VIONGOZI WAANDAMIZI WENGINE. ILE AMEKAA KWENYE SOFA LAKE LA CHUMBANI HAIKUWA SAWA.

NAUNGA MKONO HOJA.
Alafu wakamchukua video kwa camera ya simu.
 
Mkapa ni wa tz na sisi tuko tanzania na taratibu za tz ndizo tunazotaka
Raisi ni taasisi; na taasisi kwenye kutoa habari lazima izingatie namna gani habari yao itatafsiriwa.

Labda kwa waandishi wetu inaweza kuwa shida walichofanya ikulu.

Lakini kumuamsha raisi usiku ili tu atoe habari ya kifo cha aliekuwa kiongozi wa nchi in ‘real time’ yeye mwenyewe. Kwengine kote duniani symbolically Ikulu wameonyesha heshima kubwa na kuipa uzito wa kitaifa kifo cha Mkapa kwa watu aliowatumikia.

Hayo mengine story tu sijui sheria na namna Mkapa alivyotangaza kifo cha Nyerere; otherwise they did their best as far as those who can interpret the meaning of institutional reporting.
 
Ina maana mpaka sasa hujui kafia wapi or how long did it take you to learn that.

It was a developing story mengine yanafuata kadri muda unavyosogea.

Ulishaambiwa hospital Dar inatosha labda awakutaja kwa sababu maalum pengine watu wangeweza jazana hospitali usiku wa manane na hakukuwa na security (for crowd control purposes) who knows the exact reasons.

Ikulu awakukurupuka kwa hili wameonyesha weledi mkubwa sana.
 
Ulitaka akae kimya ili Kigogo ndo atangulie kupost? Umefeli sana. Mambo ya dressing code tupa kule, hayawezi kumfufua marehemu. Honera sana JPM kwa uwazi.
😲😲😲😲 Uwazi upi. Sifia sifia zitaachwa lini?!!? Mwenyewe juzi kati kawaumbua mnaomsifia na kutaka kumfurahisha. Bado hamjakoma tu!
 
Huwaga unakuwa na Point za kisomi sema tatizo wajumbe wengi wa CCM hawana elimu wao hawajui chambua code kabisa.

Nafasi nzuri ni Mzee baba akuteuwe ndo waeza julikana
Kikao cha ghafla cha wajumbe tumekujadili. Maadhimio ni Ole wako siku utakayoomba ridhaa kugombea jimbo au kata basi utajua hatuna elimu.
 
Hakuna weledi uliotumika, eti watu wajazane hospitali ili iweje? Waende kuiba mwili wa marehemu, Narudia tena kwa maoni yangu kuchemsha wala sikulazimishi ukubaliane na mimi kwani kila mtu ana utashi wake.
Ndio tatizo lako unachukulia kifo cha raisi poa; wasanii tu wakifa hospital inajaa mpaka, seuse raisi.

Mambo mengine kubishana tabu sasa raisi afiche hospital wakati muda mfupi kila mtu atajua ili iweje.

Kama ulivyosema kila mtu abaki na mtazamo wake be it wako sio sahihi.
 
Umeandika utopolo hatari
 

Duh kaka Paskali, sasa hapa si utataka Gerson Msigwa afukuzwe kazi.. 😅 Makosa yapo tu, ujue msiba mkubwa kama huu huwa hakuna Official known reporting standard ya kuutangazia umma wa watanzania na dunia nzima, kuna ku panic, maumivu ya watoa taarifa, na kumbuka wangechelewa hadi 12 asubuhi ujue watu wengine labda wangepata taarifa kabla na kuanza kutoa mitandaoni.. Mm binafsi naona tusiangalie sana kuwa perfect, sote tumepata taarifa na tumeelewa na tumeupokea msiba kwa masikitiko makubwa sana ni wetu sote. Mengine tumuachie Mungu.
 
kwa hiyo ilitakiwa make up, suti nyeusi, na bla bla nyingi tu kutangaza msiba?

Bwana hayo yoote marehemu hatuoni na wala hawezi fufuka

RIP BWM
 
Haya upo sahihi siku nyingine akipigiwa simu za msiba usiku avute shuka alale nimekupata mpaka asubuhi asubiri ndege imfikishe waziri mkuu huko alipo na mama samia wavae suti nyeusi, waite vyombo vya habari japo wao sio medics waliomtibu waelezee msiba wakiulizwa medical condition za marehemu sijui kama wanazijua; si ndio.

You are 100% mchana mwema.
 
Excellent article 👊🏽 but remember that you’re dealing with MKURUPUKAJI ambaye HASHAURIKI hivyo kuna uwezekano mkubwa lawama zako ziko misplaced.

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…