Tangazo la kifo cha Benjamin Mkapa, Kurungenzi ya Mawasiliano Ikulu lawamani. Inahitaji kusaidiwa kumsaidia Rais - Jicho Letu Ndani ya Habari

Hivi unadhani kuvaa malapulapu au hovyohovyo kwenye msimba ndio uthibitisho kuwa unamachungu sana au??
 
Natazama YouTube Tangazo la Kifo cha Baba wa Taifa kilichotangazwa na Rais Mkapa, namuona Omary Ali Juma na Sumaye pembeni. Lakini naiona speech ya Rais katika tangazo la Kifo hiko.

Kabla sijamaliza kuisikiliza ghafla natazama tangazo la kifo cha Benjamin Mkapa kilichotangazwa na Mheshimiwa Rais wetu (Sitaki kujadili sana juu ya tangazo hilo)

Nikirudi kwa tangazo la Kifo cha Mwalimu,

Mkapa alitieleza, Lini Mwalimu alikufa (Saa na muda) Wapi Mwalimu amekutwa na umauti, lakini akatueleza pia nini kimesababisha Kifo cha Mwalimu. Akatutia nguvu (Watanzania wote) akatutaka tuwe na Mshikamano, yeah niliiona Sura halisi ya Mtangazaji. Content ya Tangazo unaiona hasa.

Anyway ninyi mnaweza kutafakari msiseme sana

Fundi Mkuu
 
 
Nyerere alikufa kabla Mkapa hajaingia second term of his presidency, Mkapa naye kafa kabla Magufuli hajaingia second term of his presidency!
Mkapa alikuwa kijana wa Nyerere na Magufuli ni "kijana" wa Mkapa.
Daaaaa.....mnyie jamaaπŸ˜€πŸ˜€
 
Hakuna hata moja la msingi katika waliyoeleza ndiyomaana enzi hizo Marehemu BMW aliwaambia waandishi wengi tz wanabore,niwazito nakweli has Hawa wa star tv
 
Ni mwendelezo wa ushamba na ulimbukeni.......
Niseme pia kutangaza ule msiba usiku ule ule kuliharibu sana ratiba za kesho yake Ijumaa ambazo zilishapangwa na kuandaliwa kwa ghsrama! Chuo Kikuu cha Dar es Salaam kiliahirisha majafali yaliypkuwa yafanyika ijumaa hiyo hiyo asubuhi! Ona sasa hofu ya baadhi ta viongozivwa taasisi wameahirisha jambo ambalo halikuwa lazima kuahirisha. Graduation ilikuwa yacwatu wachache na ingeweza kufanyika bila shamrashamra pale ukumbuni mlimani city. Baadaye watu waendelee na shughuli zao na sgerehe zao kwacwale waliokwisha andaa sherehe na kusafurisha ndugu kutoka sehemu za mbali!
 
Watanzania kwa lawama hatujambo,angechelewa wanoko mkajua mapema napo mngepata la kuongea oooh mkapa ni kiongozi mkubwa kwann habari imechelewa kufikia umma.

Mimi sioni tatizo labda ungeongelea code tu maan uso unaonesha huzuni ya maumivu ya msiba....hayo mengine unataka uonekane tu umeongea .

Siku ukiacha unafiki brother ndo siku utaingia nafasi nzuri ya uongozi.

Point ni habari umepata .
 
Sas mkapa c muandishi wa hbr jmn kwahvhyo jiwe yey Ni sahii kbsa alivyofanya. Coni kosa au mnatak. Nafsi ya msigwa nn
 
Nadhani hapo mnazungumzia protokali za Rais kama taasisi,ila Rais kama anko Magu mwenyewe najua ameumia sana kuondokewa na jembe lake asingeweza kufanya yote hayo kwa mshtuko alioupata.
 
Nadhani hapo mnazungumzia protokali za Rais kama taasisi,ila Rais kama anko Magu mwenyewe najua ameumia sana kuondokewa na jembe lake asingeweza kufanya yote hayo kwa mshtuko alioupata.
sio ameacha baadhi ya details makusudi ili badae aje aseme mwenyewe ?
 
Nchi hii ukiitaja corona unakuwa Kama umemtia mtu kidole jichoni,yaani tutalinda uzembe na maamuzi ya kipuuzi ya mtu kwa gharama zozote zile hadi yeye mwenyewe atakapokufa kwa corona ndo tutaanza kuusema ukweli
 
Wabongo ndivyo tulivyo
 
Hata mm niliona kama hakujiandaa as if ametoka kugegedana chap akaibukia live kutangaza kifo. Proper way ingekuwa SAA 12 ASUBUHI AKIWA SAMBAMBA NA VIONGOZI WAANDAMIZI WENGINE. ILE AMEKAA KWENYE SOFA LAKE LA CHUMBANI HAIKUWA SAWA.

NAUNGA MKONO HOJA.
Ujuaji uliopo kwenye jukwaa Hili Kwa kweli!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…