Weeee kifo cha rais mwenye mamlaka ya kutangaza ni kiongozi wa juu so kila mtu; je kuna mtu yupo tayr kwa kesi ya msiba usio kihusu?Imefika mahali kila raia anataka awe mtu wa kwanza kutoa taarifa! Ingevuja tu taarifa mapema sana.
Rumours unazizuiaje?weeee kifo cha rais mwenye mamlaka ya kutangaza ni kiongozi wa juu so kila mtu je kuna mtu yupo tayr kwa kesi ya msiba usio kihusu
Rumors sawa ngumu labda tuseme pia kilicho changia kafia hapa hapa Bongo ingekuwa nje ya nchi hata mwaka ingekuwa siri tu.Rumours unazizuiaje?
Hapo napo pointMkuu P nadhani walilinda hiyo habari isisambae mana siku hizi wajuzi tupo wengi just imagine ingetangazwa na kigogo2014 na auongezee kwa kusema jiwe amemuuwa Bwm. huu ni ulinzi
Na kwa nini iwe siri kifo cha mtu mkubwa hivyo katika jamii?Sababu ya kifo hiki ni siri kubwa.
Lile swali aliloulizaga kwenye mkutano wa waandishi wa habari na mh.Rais linamponza sana.Naunga mkono hoja Kaka yngu na sijui kwa nini ndugu zetu awataki msaada wako pale labda kuna sehemu ulipishana nao maana nasikia rudia tena nasikia Wasukuma mnapenda sana kuweka visasi ila naomba NONGWA tuachie wenyewe Wazaramo.
Sent from my ANE-LX1 using JamiiForums mobile app
Wajuba wa WuhanHajawahi kusikika kuwa Benjamin Mkapa anasumbuliwa na maradhi yoyote, hivyo taarifa kuwa amefariki hospitali ni shocking, hospitali gani na ameumwa nini, ni maswali ambayo taarifa ya rais ilikosa.
Kiongozi kama yule hafii wadi ya Mwaisela kiasi cha kila daktari au nesi kujua kafa. Hivyo kuzuia habari hiyo masaa kama 6 tena usiku sio jambo gumu sana.Pascal Mayalla,
Kwa mitandao ya sasa, mida ya saa kumi na mbili asubuhi hiyo isingekua taarifa tena kwa umma maana nchi nzima saa saba au nane ingekua imeshajua! Labda hii ingekua tamko tu la rais ila sio taarifa!
Kuna mida codes tupa kule.
Hii ni kazi kubwa yaani hamtaki kufuata taratibu tena.Pascal Mayalla,
Kwa mitandao ya sasa, mida ya saa kumi na mbili asubuhi hiyo isingekua taarifa tena kwa umma maana nchi nzima saa saba au nane ingekua imeshajua! Labda hii ingekua tamko tu la rais ila sio taarifa!
Kuna mida codes tupa kule.