Gavano23
JF-Expert Member
- Jan 30, 2022
- 2,056
- 5,340
Mmh wameyaweka wapi mkuuYametoka leo. Watu wameitwa leo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mmh wameyaweka wapi mkuuYametoka leo. Watu wameitwa leo
Kila mtu kapokea private email yakeMmh wameyaweka wapi mkuu
Kweli mkuu?aisee hatar sanaKila mtu kapokea private email yake
Ukweli ndio huo mkuuKweli mkuu?aisee hatar sana
Maana siku hzi uhuni wa mitandao mwingiUkweli ndio huo mkuu
Mkuu hizi habari ni uhakika 100%Maana siku hzi uhuni wa mitandao mwingi
Sawa mkuu ni kada zote wametumiwa?au baadhiMkuu hizi habari ni uhakika 100%
Zote mkuu. Kama hujapata email hadi sasa consider yourself unsuccessful mkuu.Sawa mkuu ni kada zote wametumiwa?au baadhi
Mmh mbona kuko kimya sana mkuu sioni lolote kwenye mitandao...hizo email ni za kwelii?nina mashaka nazo mkuu em fuatilia vzrZote mkuu. Kama hujapata email hadi sasa consider yourself unsuccessful mkuu.
Basi endelea kusubiri mkuu. Tarehe 8 watu wataenda kusaini mkatabaMmh mbona kuko kimya sana mkuu sioni lolote kwenye mitandao...hizo email ni za kwelii?nina mashaka nazo mkuu em fuatilia vzr
Zote mkuu. Kama hujapata email hadi sasa consider yourself unsuccessful mkuu.
Duh haya mkuu...ila wamezngua kwa nini wasitoe list kwenye website yao kila mtu akaonaBasi endelea kusubiri mkuu. Tarehe 8 watu wataenda kusaini mkataba
Aisee em atusaidie hiz taarifa zina ukakasi mnooSamahani mkuu. We unajuaje kama kada zote wametumiwa . Kwamba Uko na mawasiliano na watu wa kada zote Au Embu tusaidie umepataje hizo taarifa
Aisee em atusaidie hiz taarifa zina ukakasi mnoo
Hili jambo linafikirishaaNajaribu kuwaza . Tax officer tu walikuwa wanahitajika watu 200 na .. Kwahyo wameona njia rahisi ni kutumia email mmoja mmoja Kuliko kutoa list ya majina mmmh
Hakuna kinachoshundikana kuhusu kutuma Kwa njia ya Email , japo mm pia sielewi huu utaratibu WA email km zimetoka kwenye TRA kweli.Najaribu kuwaza . Tax officer tu walikuwa wanahitajika watu 200 na .. Kwahyo wameona njia rahisi ni kutumia email mmoja mmoja Kuliko kutoa list ya majina mmmh
written tu watu wote walitumiwa email sembuse hao tuNajaribu kuwaza . Tax officer tu walikuwa wanahitajika watu 200 na .. Kwahyo wameona njia rahisi ni kutumia email mmoja mmoja Kuliko kutoa list ya majina mmmh
Pazeni sauti wapublish majina...TRA wanaleta habari za CCMDuh haya mkuu...ila wamezngua kwa nini wasitoe list kwenye website yao kila mtu akaona
Mkuu ni kweli....wameita watu kupitia njia hiyo, yote ni kuficha majina ya watoto wa vigogo na ndugu wa watumishi wa TRA.Haiwezekani hio kitu...zile email za kuitwa kwenye interview zilikua auto-generated kulingana na kada uliyoomba. I mean watu wengi mostly waliitwa hata kama haukua na qualification kwa position hio. Kwa hio ukisema wametuma email kwa kila mtu aliepita, hio sio kweli. Yani waje waanze tafuta kila mtu aliepita oral waitafute email yake afu ndo atumiwe ujumbe. Never to happen hio