Tangazo la kuitwa kwenye usaili TRA

Tangazo la kuitwa kwenye usaili TRA

Unapotosha watu ajira zote za serikali zinazotangazwa kwa public huwa majib yake yatawekwa public hata kam yatakuw na udanganyifu gan lazima yawekwe hadharani
 
Mkuu ni kweli....wameita watu kupitia njia hiyo, yote ni kuficha majina ya watoto wa vigogo na ndugu wa watumishi wa TRA.
Hapana hii kitu co 7bu ajira za serikali hutangazwa wazi na majib yake hutoka wazi co taasis binafsi hiyo
 
Unapotosha watu ajira zote za serikali zinazotangazwa kwa public huwa majib yake yatawekwa public hata kam yatakuw na udanganyifu gan lazima yawekwe hadharani
Dogo acha ubishi, watu wameshaitwa kazini tarehe 8 wanaenda kusaini mkataba.

Wewe endelea kusubiri yawekwe public utasubiri sana.

Hiyo ya lazima ndio naisikia kwako, sijui iko kwenye sheria ipi.

Bot walitangaza kazi hivi karibuni na wakaajiri, uliona majina public?

Endelea kusubiri yawekwe public kiongozi.
 
Hii inch inawenyewe....ukitaka kuamini, Watumishi wengi wa TRA wazazi wao nao walikua TRA.....bora hata kipindi Utumishi ilivyokua inaajiri, hata watoto wa masikini wasio na connections walipata....ila sio sasa!
 
Dogo acha ubishi, watu wameshaitwa kazini tarehe 8 wanaenda kusaini mkataba.

Wewe endelea kusubiri yawekwe public utasubiri sana.

Hiyo ya lazima ndio naisikia kwako, sijui iko kwenye sheria ipi.

Bot walitangaza kazi hivi karibuni na wakaajiri, uliona majina public?

Endelea kusubiri yawekwe public kiongozi.
Co kwel naongea with confidence 7bu source yangu ya kupata information ni relevant na sibahatishi
 
Hakuna mtu kaitwa kazini. Periodt, hizi ni rasha rasha...na ukiona hivi ujue jamaa wamekaribia kuachia mkeka wao
 
Hakuna mtu kaitwa kazini. Periodt, hizi ni rasha rasha...na ukiona hivi ujue jamaa wamekaribia kuachia mkeka wao
Sasa si bora wao Email, wengine waliitwa practical Interview Kwa sms...

Ila mimi Naona Bora wasitoe Majina Maana wakitoa majina ,kuna watu wana Pdf ya walioitwa Interview wataangalia na Pdf ya Walipata...So wata cross check waangalie mapungufu...

Tatu; kuna majina ambayo either mwisho yana ubini na wa viongozi lazima italeta shida...So walichotumia Tra ni busara.
 
Sasa si bora wao Email, wengine waliitwa practical Interview Kwa sms...

Ila mimi Naona Bora wasitoe Majina Maana wakitoa majina ,kuna watu wana Pdf ya walioitwa Interview wataangalia na Pdf ya Walipata...So wata cross check waangalie mapungufu...

Tatu; kuna majina ambayo either mwisho yana ubini na wa viongozi lazima italeta shida...So walichotumia Tra ni busara.
Mkuu hiyo ndio shida....wengi walio tumiwa email wengine hata hawajafanya interview ya Oral.....
 
Sasa si bora wao Email, wengine waliitwa practical Interview Kwa sms...

Ila mimi Naona Bora wasitoe Majina Maana wakitoa majina ,kuna watu wana Pdf ya walioitwa Interview wataangalia na Pdf ya Walipata...So wata cross check waangalie mapungufu...

Tatu; kuna majina ambayo either mwisho yana ubini na wa viongozi lazima italeta shida...So walichotumia Tra ni busara.
Mkuu hiyo ndio shida....wengi walio tumiwa email wengine hata hawajafanya interview ya Oral
 

Attachments

  • Screenshot_20231204-123823_WhatsApp.jpg
    Screenshot_20231204-123823_WhatsApp.jpg
    90.5 KB · Views: 24
Daahh, haya bana.

Ile hali "baba kanituma" ndio hii sasa
 
Hakuna mtu kaitwa kazini. Periodt, hizi ni rasha rasha...na ukiona hivi ujue jamaa wamekaribia kuachia mkeka wao
endelea ivyo ivyo kaa kwa kutulia taree nane njoo jkt hall mwenge
 
Back
Top Bottom