sarcomere1
JF-Expert Member
- Dec 11, 2018
- 304
- 579
Namimi ni ivoivo Hadi nalaani Bora kungekuwa kuna option ya kutuma kwa njia ya postaHivi shida huwa ni nini hapo?
Nina tatizo kama lako mwaka wa tatu huu.
Sent from my TECNO B1g using JamiiForums mobile app
Kweli mkuu, yaani Bora Alifariki,watu wameteseka Sana.Yaani kumlinganisha Jiwe na Maza Ni kumkosea heshima Maza kabisa.Jiwe hakua mtu yule,nafasi Kama hizi aliona akizitoa vijana watafaidi kishenzi.Hovyo Sana yule.
ww pumbav Sana,unafikiri wakuria ni wajinga kama ww?Kabila zima mnafanana kwahiyo kawaambie wenzio
Natamani ama nakutamani mkuu mno. Unajua mnavyofanya mpaka unasema kuwa hii bima ikatwe kwa Bei Fulani vigezo mnavyotumia lakini.Yes sis ni wa actuaries pia naweza kufanya kwenye insurance company sema ndo ivo broo
A
Habarini wakuu.
Naomba yeyote mwenye WhatsApp group au watakuwa na group discussion ya Afisa Utumishi na Afisa Tawala anijuze na aniunge
Niko kwenye NGO Mkuu,
Ila huku sio kwa kukimbilia wala kutamania sana kuliko serikalini, job stability and assurance ni asilimia 40/100.
Binafsi natamani nitoke huku niende gov walau walau hata kwa hii miaka michache niliyobakiza.
Serikalini privilege na security ni nyingi sana, I got experience from my colleagues.
Lipuuze hilo lipuuzi mkuuww pumbav Sana,unafikiri wakuria ni wajinga kama ww?
Discussion ya nini sasa?Habarini wakuu.
Naomba yeyote mwenye WhatsApp group au watakuwa na group discussion ya Afisa Utumishi na Afisa Tawala anijuze na aniunge
Great!This is what I real meant.
Job stability & Security.
Najua kila Ktu broNatamani ama nakutamani mkuu mno. Unajua mnavyofanya mpaka unasema kuwa hii bima ikatwe kwa Bei Fulani vigezo mnavyotumia lakini.
Aisee nyie mtulie kidogo enzi za Magu mlifaidi sanaDaah maengineer hii nchi tunakazi sana but lets wait and see.
The end justifies the means.
Graduate wa sasa yuko tayari hata kulipwa laki na nusu, waache vijana wapate hicho kidogo
- Hizi Kazi zote TGS D LAKI 7
- Kazi yenye 'angalau' mshahara mkubwa ni Daktari wa Mifugo anaenza na TGS F,
- Wenye Nafasi ya kupiga Pesa ni Mawakili kwa sababu wanaweza wakawa wanafanya Kazi binafsi Kwa Siri huku na serikali, na CPA (T) unaweza ukafungua kiofisi au Ukawa unasaidia Watu kutengeneza Hesabu zao ukapiga kipato cha ziada Tena kingi, lakini AFISA Utumishi ni mshahara tu na makaratasi
huna vigezo hapo chuo chako inabidi itafute namnaHili tatzo limenipata Mimi, Yani kwenye tangazo la kazi sifa zilizoorodheshwa zote ninazo na zinaendana na zilizopo kwenye profile yangu, ila nikiclick apply inanambia FAILED
Sijui shida ni nini
Ni pm basi namba ,Najua kila Ktu bro
Oya mbona kazi za uhandisi hawa wang£s£ mbona hawatoi ? , it has been like a decade now these assholes haven't offered engineering oriented jobs ,only God knows the last time engineering jobs were offered .Mama anaendelea kuupiga mwingi
kuanzia ktk miundombinu, ajira, maslahi, utawala bora na kila kitu.
Maendeleo ya watu na vitu kwa wakati mmoja
Watu wa kilimo huwa hawana kaxi hasa huko halmashauri huwa wanakaa juu ya meza na kupiga stori tu .Watu wa kilimo wamechinjiwa baharini