Tangazo la nafasi za Kazi 1,904 kutoka Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma

Tangazo la nafasi za Kazi 1,904 kutoka Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma

Yaani kumlinganisha Jiwe na Maza Ni kumkosea heshima Maza kabisa.Jiwe hakua mtu yule,nafasi Kama hizi aliona akizitoa vijana watafaidi kishenzi.Hovyo Sana yule.
Kweli mkuu, yaani Bora Alifariki,watu wameteseka Sana.
 
Habarini wakuu.

Naomba yeyote mwenye WhatsApp group au watakuwa na group discussion ya Afisa Utumishi na Afisa Tawala anijuze na aniunge
 
Kama mkate unaotoka hapo unaridhisha mi naona uko sehemu sahihi
Niko kwenye NGO Mkuu,

Ila huku sio kwa kukimbilia wala kutamania sana kuliko serikalini, job stability and assurance ni asilimia 40/100.

Binafsi natamani nitoke huku niende gov walau walau hata kwa hii miaka michache niliyobakiza.

Serikalini privilege na security ni nyingi sana, I got experience from my colleagues.
 
  • Hizi Kazi zote TGS D LAKI 7
  • Kazi yenye 'angalau' mshahara mkubwa ni Daktari wa Mifugo anaenza na TGS F,
  • Wenye Nafasi ya kupiga Pesa ni Mawakili kwa sababu wanaweza wakawa wanafanya Kazi binafsi Kwa Siri huku na serikali, na CPA (T) unaweza ukafungua kiofisi au Ukawa unasaidia Watu kutengeneza Hesabu zao ukapiga kipato cha ziada Tena kingi, lakini AFISA Utumishi ni mshahara tu na makaratasi
Graduate wa sasa yuko tayari hata kulipwa laki na nusu, waache vijana wapate hicho kidogo
 
Hili tatzo limenipata Mimi, Yani kwenye tangazo la kazi sifa zilizoorodheshwa zote ninazo na zinaendana na zilizopo kwenye profile yangu, ila nikiclick apply inanambia FAILED

Sijui shida ni nini
huna vigezo hapo chuo chako inabidi itafute namna
 
Mama anaendelea kuupiga mwingi

kuanzia ktk miundombinu, ajira, maslahi, utawala bora na kila kitu.

Maendeleo ya watu na vitu kwa wakati mmoja
Oya mbona kazi za uhandisi hawa wang£s£ mbona hawatoi ? , it has been like a decade now these assholes haven't offered engineering oriented jobs ,only God knows the last time engineering jobs were offered .
Ni aibu taifa kubwa kama hili kujivubia kuimport wataalamu wakati mnashindwa kuwautilize wataalamu wenu wenyewe , upuuzi Sana hii nchi.

Kila nikiangalia kule indeed.com , Glassdoor kazi za uhandisi Australia ,Newzealand ,Canada , USA na UK zilivyotele na mishahara ya kufuru halafu you mtu unamaliza chuo unakaa mtaani miaka kumi + kusaga rumba huwa napata hasira Sana , Bora kuzaliwa mbwa ulaya kuliko kuzaliwa mtu Tanzania . Inatia hasira Sana
 
Nmesoma Public admnistration in LGAs ila kila nikia apply katika kada ya afisa tawala inakataa , kuna yeyote amekutana na changamoto hii anisaidie kutatua
 
Back
Top Bottom