Clark boots
JF-Expert Member
- Jun 5, 2017
- 6,770
- 6,202
Basi utaziona za Kilimo pia, kama Suala la kukaa Ofisini na kupiga story Kili kada wanafanya hvyo acha wivu kwa wakulima.. unakwenda chooni kwa sababu ya wakulima..Watu wa kilimo huwa hawana kaxi hasa huko halmashauri huwa wanakaa juu ya meza na kupiga stori tu .
Tutatoboa tu.... worry outDaah maengineer hii nchi tunakazi sana but lets wait and see.
The end justifies the means.
Oya mbona kazi za uhandisi hawa wang£s£ mbona hawatoi ? , it has been like a decade now these assholes haven't offered engineering oriented jobs ,only God knows the last time engineering jobs were offered .
Ni aibu taifa kubwa kama hili kujivubia kuimport wataalamu wakati mnashindwa kuwautilize wataalamu wenu wenyewe , upuuzi Sana hii nchi.
Kila nikiangalia kule indeed.com , Glassdoor kazi za uhandisi Australia ,Newzealand ,Canada , USA na UK zilivyotele na mishahara ya kufuru halafu you mtu unamaliza chuo unakaa mtaani miaka kumi + kusaga rumba huwa napata hasira Sana , Bora kuzaliwa mbwa ulaya kuliko kuzaliwa mtu Tanzania . Inatia hasira Sana
Hata mimi hapo sina nafasi lakini zipo nafasi mama alishazitoa na nishaziapply nasubiria...kama zile za TRA. Hivyo elewa hizo post zinawafaa wenzetu ambao hawajaitwa zile zingine kama za TRA. Sikutegemea eti daktari wa mifugo aone post yake TRA.Nafasi 1904.
Na hakuna sehemu naweza apply.
Acha kulia lia njoo gulf countries upige kazi zenu za mainjinia nje nje.We endelea kujifungia tu hapo.Oya mbona kazi za uhandisi hawa wang£s£ mbona hawatoi ? , it has been like a decade now these assholes haven't offered engineering oriented jobs ,only God knows the last time engineering jobs were offered .
Ni aibu taifa kubwa kama hili kujivubia kuimport wataalamu wakati mnashindwa kuwautilize wataalamu wenu wenyewe , upuuzi Sana hii nchi.
Kila nikiangalia kule indeed.com , Glassdoor kazi za uhandisi Australia ,Newzealand ,Canada , USA na UK zilivyotele na mishahara ya kufuru halafu you mtu unamaliza chuo unakaa mtaani miaka kumi + kusaga rumba huwa napata hasira Sana , Bora kuzaliwa mbwa ulaya kuliko kuzaliwa mtu Tanzania . Inatia hasira Sana
Hebu tupe ABC nasi tuweze kufika hukoAcha kulia lia njoo gulf countries upige kazi zenu za mainjinia nje nje.We endelea kujifungia tu hapo.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] same hereNafasi 1904.
Na hakuna sehemu naweza apply.
Mimi tangu nimalize chuo hakuna post ambayo nimeweza kuombaHata mimi hapo sina nafasi lakini zipo nafasi mama alishazitoa na nishaziapply nasubiria...kama zile za TRA. Hivyo elewa hizo post zinawafaa wenzetu ambao hawajaitwa zile zingine kama za TRA. Sikutegemea eti daktari wa mifugo aone post yake TRA.
Hakika mama Samia anachokifanya Mungu atamlipa mema zaidi. Tunamuombea kwa roho yake nzuri na kuwapenda waTanzania wenzie.
Mimi tangu nimalize chuo hakuna post ambayo nimeweza kuomba
My hujamboUmesomeq nini?
Politics and Social DevelopmentUmesomeq nini?
What's 8 jobs to hundreds of thousands engineering graduates in the streets ?Punguza mihemko mkuu,
Ukiangalia vizuri kwenye tangazo kuna nafasi 8 za Engineering and Construction, ama na wewe ulisomea uhandisi wa nini ?
Weka michongo hapaAcha kulia lia njoo gulf countries upige kazi zenu za mainjinia nje nje.We endelea kujifungia tu hapo.
Punguza kujilizaliza humu ndani as if sisi wasomaji ni mama au bibi zako.What's 8 jobs to hundreds of thousands engineering graduates in the streets ?
Mbona TRA huko wanatoa jobs in their thousands ,are accountants more valuable than engineers?
Weka michongo hapa
Afisa biashara hapo naona wamesema mtu aliyesoma Masoko ila ukiingia hapo inagoma imekaaje hiiAfisa Tawala ✔
Afisa Biashara ✔
Afisa Habari ✔
Afisa Usafirishaji ✔
Any way, au basi tu.
Afisa biashara hapo naona wamesema mtu aliyesoma Masoko ila ukiingia hapo inagoma imekaaje hii
Maisha hayakupiga vzur bado ungejua kuna kazi ya medical ilitoka tukakuta na HR ameombaaShida inakuja kila nikiwaza mlolongo wa mpka majina kutoka ,plus interview na Connection Kama zote
Nakosa nguvu ku apply