Hakya nani tangazo limekaa ki darasa la pili lilee!! Kwanza waigizaji wameshindwa kabisa kuvaa uhalisia! Alieshinda anaonekana ali concentrate na camera badala ya maudhui!! Kwenye hali ya kawaida hakuna lecture anaeweza kukubaliana na hali kama ile, ati ameshinda then anarudi kukaa na ticha anaendelea!! Pale ilitakiwa wanafunzi na mwl wote wahamaki na issue ya kitabu kukatishwa au tisha amtoe nje aloshinda buku liendelee!! Wenzake sasa, hawana mwamko kabisaaa!! JAMANI TUPENI AJIRA NA SIE HUKU TUNAWEZA ILA HATUNA MA GODFATHER!!!!!