Tangazo Maalum: Mradi wa Kazi Majuu!

Status
Not open for further replies.

Janja yako kumbe ilikuwa kamanda kutafuta pesa za kampeni teh teh teh .....mzee mumeanza mapema sana angalia wapiga kura wasije sahau sera zenu.....
 
teh teh teh bongo !!!!duuh kila mtu chaujanja....FMES nae amekiunga kwenye ligi ya makanyanga.duuuuhhhhh si mchezo.
 
teh teh teh bongo !!!!duuh kila mtu chaujanja....FMES nae amekiunga kwenye ligi ya makanyanga.duuuuhhhhh si mchezo.

Naona SAUTI YA UMEME ameFULIA big time.Bongo ngumu jamani!!!!eeehehheehee.
 
Mwacheni Bahari apige kampeni bana......!

kampeni hazipigwi hivo banaaaa.....huyu Baharia KAFULIA big time.hii ni century ya bongo flavour sio zilipendwa za mabaharia/mazungu ya unga.
 
Mwacheni Bahari apige kampeni bana......!

where is" sauti ya umeme"????Au ndo katukimbia????Hivi kweli Ma great thinkers mnakubali hivihivi hii issue iishee????Ohhh msemo wa NN" Miafrika ndivyo........kitu kidogo tuu watu wanasahau DHAHAMA iliyojiri.
 
Kila mara cheap is expensive, sidhani kama ajira inaweza kupatikana straight namna hii, hii mm inanitia mashaka, namuomba mheshimiwa atupe e-mail ya huyo dada ili watu tuwasiliane nae straight, wengi tunahitaji, na atupe mfano wa watu walioenda na kupata ajira huko ili tuone ukweli wake. Kusadiki kwa Toma jamani. Dollar 300 sio nyingi kama imetumika kwa faida ila ni nyingi kama ikipotea au ikaibiwa au ikatapeliwa.
 

We mPM baharia utakuunganisha fasta.....watu wajifunzie kunyoa kichwa chako.......!
 
Hivi hii thread baharia huwa haioni eeehhhh hahahahahahahah!
 
tunashukuru kwa information hizo
hizo dola mia tatu wanataka za nini kama wamesema ni msaada ,
kuna watu wana shida sana lakini uwezo wa kuipata 300 usd ni tabu ..huo ni msaada gani wanaotaka kupewa hela kwanza teh teh teh
 
tunashukuru kwa information hizo
hizo dola mia tatu wanataka za nini kama wamesema ni msaada ,
kuna watu wana shida sana lakini uwezo wa kuipata 300 usd ni tabu ..huo ni msaada gani wanaotaka kupewa hela kwanza teh teh teh
Naomba urafiki na wewe FL.......
 
WA TZ bana! mnashukuru kwa kila kitu hata kama mnaenda kuuwawa te te te te! tujifunze kuangalia kitu kwa pande 2 sio 1 tu.....if we dont open our eyes and see far we'l think we are on top of the world.
 
Maslahi ya Taifa Mbele hasa Kipindi hiki kuelekea uchaguzi Mkuu...FMES ulikuwa utatafuta pesa za kampeni ama?
 
Maslahi ya Taifa Mbele hasa Kipindi hiki kuelekea uchaguzi Mkuu...FMES ulikuwa utatafuta pesa za kampeni ama?

Taratibu mzee.....baharia keshaanza kupata umaarufu huko kny campagn za chini kwa chini, utamharibia bana.......! Ningekuwa baharia, ngekuziba mdomo kwa chapaaa....ungetulia tu......!
 
Taratibu mzee.....baharia keshaanza kupata umaarufu huko kny campagn za chini kwa chini, utamharibia bana.......! Ningekuwa baharia, ngekuziba mdomo kwa chapaaa....ungetulia tu......!

Hapa ni $ 300 hahahahahaha mambo mengine bwana nitaenda jimboni kwake na huu upupu!
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…