Masanilo
Platinum Member
- Oct 2, 2007
- 22,286
- 4,523
-Wakuu heshima mbele sana unajua tuko kwenye kampeni za siasa na uchaguzi, jamaa zangu watatu tayari wako US, toka last week wawili wako Florida na mmoja amekwenda Virginia, bado hawajakamilisha mipango yote kama inavyotakiwa inachukua muda, otherwise nitawajulisha maendeleo yake.
Ninarudi kwenye kampeni.
Respect.
FMEs!
Janja yako kumbe ilikuwa kamanda kutafuta pesa za kampeni teh teh teh .....mzee mumeanza mapema sana angalia wapiga kura wasije sahau sera zenu.....