Tangazo Maalum: Mradi wa Kazi Majuu!

Tangazo Maalum: Mradi wa Kazi Majuu!

Status
Not open for further replies.
Baharia kiboko hujaamini hii kitu umeuvaa mkenge? Mzee kusafiri kwako sana hii hujashtuka tu ? kitu imeishakula kwako very unfortunately!

Masa

- Unaona sasa mkuu unaanza kuwa mganga wa kienyeji badala ya great thinker! Ningekua nimeshituka nisingelipa dola 900! Hela zinaliwaje kabla hazijaliwa?

Respect.

FMEs!
 
Jamani tuambiane isije ikawa ni Deci maana watu wengi wanashida sana wasije wakadumbukia kwenye mtego.
 
Tracing ehhhhhhhhhhhhh!!!! Dots abcdefghijklmnopqrstuvwxyz connect each other!!!! I will not dare!!!
 
Au inawezekana anatega tega mingo....akisikia tu lile dili si fake atie timu immediately....ha!ha!ha!ha!....! au sio?

Baharia ameingia mkenge sasa kukubali ndo ishu! ngoja niwasiliane na SHY mtaalamu wa IT wa FMES!
 
Baharia ameingia mkenge sasa kukubali ndo ishu! ngoja niwasiliane na SHY mtaalamu wa IT wa FMES!
unajua hawa mabaharia tangu zamani wanaingia mkenge.....walikufa sana baharini na kutigoishwa na wagiriki.....waliambiwa majuu life ni bwelele wakazamia meli.......
 
unajua hawa mabaharia tangu zamani wanaingia mkenge.....walikufa sana baharini na kutigoishwa na wagiriki.....waliambiwa majuu life ni bwelele wakazamia meli.......

Hilo liko wazi kuna mpwa wangu walimtosa kwenye ufuko wa Msumbiji!
 
Baharia ameingia mkenge sasa kukubali ndo ishu! ngoja niwasiliane na SHY mtaalamu wa IT wa FMES!

Thubutu....baharia mjuaji wa vyote, aingie mkenge then aje ajiseme hapa...Lol....! Dizaini atazuga zuga kiaina mpaka topic hii isahaulike......! bt naona mkuu unaifufua kila mara...!
 
Thubutu....baharia mjuaji wa vyote, aingie mkenge then aje ajiseme hapa...Lol....! Dizaini atazuga zuga kiaina mpaka topic hii isahaulike......! bt naona mkuu unaifufua kila mara...!

Hii nitakuwa naifufua hata akisema wale 3 wamepata kazi Shy ataweka ukweli.... that was pathetic baadaye akakwepa ooohh watu wanapersonal na mimi kwasababu nakata issue za CCM hahahahaha nilicheka sana ! Ile post ya Mwalinga na Kyela naona mods wameificha hahahahah
 
Hii nitakuwa naifufua hata akisema wale 3 wamepata kazi Shy ataweka ukweli.... that was pathetic baadaye akakwepa ooohh watu wanapersonal na mimi kwasababu nakata issue za CCM hahahahaha nilicheka sana ! Ile post ya Mwalinga na Kyela naona mods wameificha hahahahah

Shy naye kwanini hajacomeback tangie apewe kile kibarua na Baharia?

Halafu mkuu kule kwa Dr. na Joji naona mzee uliwakomalia mpaka wakakuta secretary Shalom.....ha!ha!ha! nicheka sana aiseee!
 
hivi na nyie mnaaminigi research za specialist shy?
 
Unajua wale washikaji walitegemea kupewa taulo hapa na sababu zao za kitoto, walikuwa wanabadili ID wanatukana nawapa thanks...wakaona duuu huyu mzee wa Texas ni secretary na ujinga kama huo....mzee nani hii akaja na ID ya Samwel......nikakomaa na wazee wengine ikabidi thread ihamishiwe mafichoni....

NimeMP Shy aje na ufafanuzi...
 
Mods mbona mnakubali hizi mada za kitapeli kuwekwa hapa jamvini au mpaka msikie kelele za watu waliolizwa!! Kila mtu anajua huu ni wizi (hata nyinyi Mods mnajua) na research zinaonyesha hivyo!! Mimi sijawahi kusikia kazi ambayo unalipa fee in advance!!Wapi?

Mimi nilikuwa najua hapa ni "The Home of Great Thinkers" ..PLS KEEP IT THAT WAY!!
 
Last edited:
- Wakuu wote JF, bila kumbagua yoyote nina rafiki wa kike wa kizungu anayefanya kazi kwenye mradi mmoja ambao ukitimiza msharti yake ambayo sio magumu sana, basi wanakupatia viza ya miaka mitano kwenda nchi moja majuu kufanya kazi, ni kwa professional mbali mbali na hata kwa wasio na professional wanakubalika,

- Ameniambia the goal ni matajiri flani hivi wa kizungu wanajaribu kuwasaidia watu kutoka nchi masikini, sasa naomba kusema hivi hapa JF wanaingia hata mabalozi mengi ya majuu bongo kila siku, kwa hiyo siwezi kuweka yote hapa wazi, lakini sina tatizo kumsaidia yoyote yule mwenye kuhitaji huu msaaada mradi tu msaidiwa awe bongo, na kuna fee ya dola mia tatu, mimi sifanyi lolote zaidi tu ya kuhakikisha kwamba una pass na unataka msaada, ninaku-connect una-deal nao mwenyewe, lakini ni lazima unifahamishe ili nimfahamishe huyu dada, aifuatilie fomu yako.

Tuwasiliane kwenye PM, au mtuwameli@yahoo.com. Mods na Utawala naomba muipe nafasi kidogo hapa ingawa sio pake, ili iwafikie ndugu zangu walalahoi, unajua sisi mabaharia huwa ni watu wa kusaidiana sana kwa sababu tusingefikia hapa tulipo bila kusaidiwa na wengine, na huwa hatusahau tulikotoa au kusahau wengine wenye shida.

Ahsanteni Wakuu.

Field Marshall Es, wazee wa sauti ya umeme!

Hello,
Asante sana kwa ujumbe wako.
Lakini hizi connection nyingi zinakuwaga za kitapeli,kuna mwaka nazani 2006 kuna madereva waliandikishwa ili wakafanye kazi UAE wakalipishwa dola 100 kila mmoja nawalikuwa kama 75 wakatapeliwa wote.

kama vipi ichunie tu.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom