Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi kuna mtu anaendelea na hii SCAM!
- Ooh yeah nimo tayari, nimeingiza watu wangu watatu.
Respect.
FMEs!
Baharia kiboko hujaamini hii kitu umeuvaa mkenge? Mzee kusafiri kwako sana hii hujashtuka tu ? kitu imeishakula kwako very unfortunately!
Masa
Updates!
ukiona hivyo ujue shem wangu alitoa $300Ha!ha!ha! bro vipi mbona umekomaa sana na baharia?
ukiona hivyo ujue shem wangu alitoa $300
Au inawezekana anatega tega mingo....akisikia tu lile dili si fake atie timu immediately....ha!ha!ha!ha!....! au sio?
unajua hawa mabaharia tangu zamani wanaingia mkenge.....walikufa sana baharini na kutigoishwa na wagiriki.....waliambiwa majuu life ni bwelele wakazamia meli.......Baharia ameingia mkenge sasa kukubali ndo ishu! ngoja niwasiliane na SHY mtaalamu wa IT wa FMES!
unajua hawa mabaharia tangu zamani wanaingia mkenge.....walikufa sana baharini na kutigoishwa na wagiriki.....waliambiwa majuu life ni bwelele wakazamia meli.......
Baharia ameingia mkenge sasa kukubali ndo ishu! ngoja niwasiliane na SHY mtaalamu wa IT wa FMES!
Thubutu....baharia mjuaji wa vyote, aingie mkenge then aje ajiseme hapa...Lol....! Dizaini atazuga zuga kiaina mpaka topic hii isahaulike......! bt naona mkuu unaifufua kila mara...!
Hii nitakuwa naifufua hata akisema wale 3 wamepata kazi Shy ataweka ukweli.... that was pathetic baadaye akakwepa ooohh watu wanapersonal na mimi kwasababu nakata issue za CCM hahahahaha nilicheka sana ! Ile post ya Mwalinga na Kyela naona mods wameificha hahahahah
- Wakuu wote JF, bila kumbagua yoyote nina rafiki wa kike wa kizungu anayefanya kazi kwenye mradi mmoja ambao ukitimiza msharti yake ambayo sio magumu sana, basi wanakupatia viza ya miaka mitano kwenda nchi moja majuu kufanya kazi, ni kwa professional mbali mbali na hata kwa wasio na professional wanakubalika,
- Ameniambia the goal ni matajiri flani hivi wa kizungu wanajaribu kuwasaidia watu kutoka nchi masikini, sasa naomba kusema hivi hapa JF wanaingia hata mabalozi mengi ya majuu bongo kila siku, kwa hiyo siwezi kuweka yote hapa wazi, lakini sina tatizo kumsaidia yoyote yule mwenye kuhitaji huu msaaada mradi tu msaidiwa awe bongo, na kuna fee ya dola mia tatu, mimi sifanyi lolote zaidi tu ya kuhakikisha kwamba una pass na unataka msaada, ninaku-connect una-deal nao mwenyewe, lakini ni lazima unifahamishe ili nimfahamishe huyu dada, aifuatilie fomu yako.
Tuwasiliane kwenye PM, au mtuwameli@yahoo.com. Mods na Utawala naomba muipe nafasi kidogo hapa ingawa sio pake, ili iwafikie ndugu zangu walalahoi, unajua sisi mabaharia huwa ni watu wa kusaidiana sana kwa sababu tusingefikia hapa tulipo bila kusaidiwa na wengine, na huwa hatusahau tulikotoa au kusahau wengine wenye shida.
Ahsanteni Wakuu.
Field Marshall Es, wazee wa sauti ya umeme!